Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

Usisahau kuulizia kitu inaitwa Abuja hapo Tabora
20240306_202830.jpg
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Mpaka tunapata uhuru mji wa Tabora ulikuwa mji wa tatu yaani Dar, Tanga na Tabora. Tabora ni mji wa njiapanda kati ya Dar, Kigoma na Mwanza na ulikuwa na shule mbili maarufu yaani Tabora Girls na Tabora Boys, shule zilizoanzishwa na mkoloni kwa ajili ya watoto wa machifu, hata hivyo viongozi wengi walisoma hapo, pia kuna chuo cha Uhazili na chuo cha Reli.
Kwenye harakati za Uhuru Tabora ilikuwa ndiyo kitovu cha harakati za uhuru mikutano ikifanyika kwenye ukumbi wa kanisa Katoliki.
Kilichotokea baada ya uhuru ni kunyofolewa nishani zote ulizokuwa nazo na ukatelekezwa, hayo mambo ya siasa na mitazamo hasi ya kikabila, kumbukeni kesi ya chifu Fundikira wakati huo alikuwa Waziri, kesi
iliyowashitua wanyamwezi na ndiyo chanzo cha wanyamwezi kujaa Kigamboni kwani wakati wa kesi walikuja toka Tabora wakawa wanalala nje ya mahakama karibu na Dar Es Salaam Yatch Club wakati huo, walipoondolewa wakahamia Kigamboni ambapo ni karibu na mahakama.
Wanaoujua mji huo kabla na wakati wa uhuru ni mji uliokuwa na ustawi mkubwa, ulikuwa makao makuu ya Kamishna wa Jimbo la Magharibi.
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Mwarabu MAYOR bado anapiga noti kwenye restaurant yake?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.

Ngoja usiku upajue vizur mkuu
 
Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo

Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Daah
 
Hapa sio poa asee anakimbiza kama kawa Tabora mji mdogo ila unaongoza kwa dhambi asee anyways nipo hapa KIOTA kesho narudi zangu Dasalama mwaka mzima nipo huku TBR kifupi nime Enjoy unyamwezini
 
Kaka,unauliza malaya Tabora? nimepita majiji yote makubwa ila Tabora Malaya wamezagaa hovyo.Kuna sehemu nimesahau jina Kuna Danguro hapo,aisee ni kama utitiri wamejaa
Niliwahi kuingia kwenye danguro moja kuangalia kazi huwa zinafanyikaje nikakuta milango kama 20 yote imefungwa hakuna mwanamke ila nje wapo wanaume kama 10 wamekaa kama vile wanasubiri gari kumbe ndo folen hiyo mademu wako ndani na masela wengine mlango ukifunguliwa jamaa anakuja kufungia zipu nje alafu yule alie kwenye folen anakimbilia ndani fasta nilicheka kichizi hiyo siku
 
Hii ni Tabora ya kufikirika.... Siyo maghorofa, starehe, miundo mbinu Tabora kamwe hauwezi ifananisha na Mwanza...! Kuifananisha Tabora na mwanza nikuikosea Mwanza heshima. Tabora bado wako local sana, nenda bachu na nakaribia na mjini nyumba za udongo kibao, mji mdogo sana ukitoka kidogo tu upo nje ya mji... Hiyo kanyenye yenyewe ni huruma
Hujaelewa nilichoandika mkuu.
 
Mkuu ebu njoo hapa Oxygen then twende tukale monde hapo Terres kwa nje tukitazama geti la Uhazili uone watoto wakareeeee wanavyo kwenda na kurudi...๐Ÿ˜‹
Mzee kwa tabora watoto wazuri wapo hasa hayo machimbo uliyoyataja ....ukiongeza na informer na seregeti pub nimetoka leo now nipo shy hapa Robis pub kesho naelekea Rock city nipo na Road trip nazungukia mikoa kadhaa
 
Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo

Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari

[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom