Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Ukisoma uzi wa mtoa mada utaelewa nazungumzia ukubwa upi.Mkuu Hassan,
Unazungumzia udogo upi?
Kilomita za mraba au udogo wa maendeleo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma uzi wa mtoa mada utaelewa nazungumzia ukubwa upi.Mkuu Hassan,
Unazungumzia udogo upi?
Kilomita za mraba au udogo wa maendeleo?
Waambie wakupeleke Oksjeni. Ndio mjini kati.Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
We umetokea mkoa upi. Maana humu kila mtu anaishi Dsm. We bwege ni mshamba, umetokea huko porini baada kufika unaona kwa babu yako, rudi kwenu Dsm ni mkoa wa watuNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
[emoji1787]Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
Haaahaaa we jamaa umeuwaMi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
Mkuu huko tabora wenyeji wengi ni mamwinyi Sana na wanaendekeza Sana Imani za kishirikina ndio maana hakuna maendeleoNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Uarabu + Uislam baba..... Mahali alipopita Muarabu, akaacha uislamu, sawa na mtu alopita akaachia "USHUZI".....Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Pale wenyeji walipo jiona wanaweza na wakapandisha bei ya nyumba katikati ya mji kila walipotaka kuvuliwa.🤣🤣🤣 Tabora ni mji wa kikoloni,mji mkongwe,uswahili mwingi ndomana haubadiliki miaka nenda Rudi
Pole ndo mboka ya manyema hiyooo
Hao wenyeji wamebakia mitaa ya Mwinyi, Chemchem, Bhachu, Kanyeye na Kiyungi.Mkuu huko tabora wenyeji wengi ni mamwinyi Sana na wanaendekeza Sana Imani za kishirikina ndio maana hakuna maendeleo
Hahahaha ila watuKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
Sikonge ni kawilaya kahivyo kupindikia, yaani wazee wa kule wakiamka asubuhi ni kukaa vibarazani na kucheza bao na wakitoka msikitini wanamalizia siku kwenye vijiwe vya kahawa.Nimeishi tabora sehem inaitwa sikonge aiseh tabora to honest ni mkoa wa hali ya chini sana
Kaka,unauliza malaya Tabora? nimepita majiji yote makubwa ila Tabora Malaya wamezagaa hovyo.Kuna sehemu nimesahau jina Kuna Danguro hapo,aisee ni kama utitiri wamejaaKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
Urambo bodaboda Kama zote hela yako tuHata Tabora Urambo ni hivi hivi