Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kwa akina Kalunde, Sizya, Tatu na wengine kama haoWapi huko kuna modern buildings?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akina Kalunde, Sizya, Tatu na wengine kama haoWapi huko kuna modern buildings?
Na huyu Kasinde wa humu je?Kwa akina Kalunde, Sizya, Tatu na wengine kama hao
Hii ni Tabora ya kufikirika.... Siyo maghorofa, starehe, miundo mbinu Tabora kamwe hauwezi ifananisha na Mwanza...! Kuifananisha Tabora na mwanza nikuikosea Mwanza heshima. Tabora bado wako local sana, nenda bachu na nakaribia na mjini nyumba za udongo kibao, mji mdogo sana ukitoka kidogo tu upo nje ya mji... Hiyo kanyenye yenyewe ni hurumaAcha uongo mkuu.
Tabora mjini kuna ghorofa nyingi kuliko jiji la Mbeya, Tanga na Mwanza na mji ni mkubwa kuliko Dodoma, Morogoro, Tunduma na Moshi
Hajapelekwa Kanyenye huyu....🤨Kaka,unauliza malaya Tabora? nimepita majiji yote makubwa ila Tabora Malaya wamezagaa hovyo.Kuna sehemu nimesahau jina Kuna Danguro hapo,aisee ni kama utitiri wamejaa
Jirani, mie staki matani ya kweli alloooo....Na huyu Kasinde wa humu je?
Unaendeleaje hapo Oxygen Jirani 😀Jirani, mie staki matani ya kweli alloooo....
Hiyo vita sikusaidii ukipigwa🤣🤣
Nyumba za tope ni 80% kuanzia Bachu, Kanyenye, Isevya, Liwali, Chemchem, Mwinyi, Kiyungi na huko ndipo wamejaa wenyeji na mamwinyi na umasikili ulio kithiriHii ni Tabora ya kufikirika.... Siyo maghorofa, starehe, miundo mbinu Tabora kamwe hauwezi ifananisha na Mwanza...! Kuifananisha Tabora na mwanza nikuikosea Mwanza heshima. Tabora bado wako local sana, nenda bachu na nakaribia na mjini nyumba za udongo kibao, mji mdogo sana ukitoka kidogo tu upo nje ya mji... Hiyo kanyenye yenyewe ni huruma
... Niji yote waliyokaa wale tuliowapa Bandari Haina Maendeleo ! Chunguza.... [emoji846]Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Pale Uhazili lazima mjihadhari na Azuma, maana pana nunu grade one hadi za kupima unapata.Nenda Uhazil
Saizi nipo huku Serengeti nachamba koo jirani.Unaendeleaje hapo Oxygen Jirani 😀
Fika KaliuaUrambo na Sikonge hazijaendelea kabisa mkuu, tangu miaka ya 80's to date bado naiona haibadiliki kabisa
Eti nikubebishe 😂😂 tapeli jirani angu mi sikujui kwani?Saizi nipo huku Serengeti nachamba koo jirani.
Karibu unibebishe...😋
Nakuja sana nikiwa na safari ya Urambo/Kaliua mkuuFika Kaliua
Nikiwa narudi huko nyumbani, nitakubebea abuja toka police mess pale jirani yangu..😜Eti nikubebishe 😂😂 tapeli jirani angu mi sikujui kwani?
Usisahau kuagiza Abuja ule ushibe.