Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma

Mlio karibu na huyu jammaa Dj DON NALIMISON angalieni namna ya kumsaidia. Haya maandishi yake yanaonesha kuna kitu hakipo sawa kichwani kwake na pia katika roho yake.
 
Vizuri sana mkuu. Pia kavichome moto hivyo vyeti mkuu. Ukiona elimu haikusaidii chochote achana nayo.

Choma hivyo vyeti aisee. Usikae na makaratasi ambayo hayana faida yoyote mkuu.
 
Salaamj Wana jf.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu. Mimi sitishiki na mamlaka ya kijeshi kwani Majeshi ya Tanzania Ni dhaifu Sana Ila huwa na wachora tu mnavyojiona wajanja kumbe mbumbu wa kutupwa.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM. Mimi najitambua kuliko mitakataka ya CCM. Viongozi CCM wote Ni mbumbu wa kutupwa lakini wanavyojiona wa maana huku hawana Malinda NYUMA ya mapazia yao.

Nimechoma Moto biblia AGANO jipya Mara mbili 2020/2021 baada ya kutambua Yesu sio Mungu Bali Ni mshikaji anayepeleka watu Motoni wakiamini Ni Mungu huku alikuwa mtoto wa usaliti wa kambo wa Yusufu. Mimi sijiungi na Uislamu nako WANAABUDU MAJINI badala ya Mungu. Mungu anaishi rohoni mwangu. Hivyo nimeamua kutimiza ndoto zangu kwa mziki wangu wa HIP-HOP/RNB katika lugha ya kiingereza. Hivyo nimefungua UKURASA MPYA.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
All the best bro
 
Hata kufikia uamiz huo umetoka na ujuz ulioupata katk elimu hiyoo yaan unaajrbu kukat tawi ulilokalia na kuona halina msaada kwako
 
Hata uwe na mavyeti kontena zima Mungu akiamuwa kukupa anakupa au kukunyima. unakuta wa std 7 adi 4 wanahela wakati Mwenye mavyeti kitandani anasota 😁 ndiyo mujuwe Mwenyezi anampa mtu amtakae,

قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ

Sema: Ewe Mwenyezi Mungu uliye miliki ufalme wote! Wewe humpa ufalme umtakaye, na humwondolea ufalme umtakaye, na humtukuza umtakaye, na humuangusha umtakaye. Kheri yote iko mikononi mwako. Hakika Wewe ni Muweza wa kila kitu.

تُولِجُ اللَّيْلَ فِي النَّهَارِ وَتُولِجُ النَّهَارَ فِي اللَّيْلِ ۖ وَتُخْرِجُ الْحَيَّ مِنَ الْمَيِّتِ وَتُخْرِجُ الْمَيِّتَ مِنَ الْحَيِّ ۖ وَتَرْزُقُ مَنْ تَشَاءُ بِغَيْرِ حِسَابٍ

Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na maiti, na humtoa maiti kutokana na aliye hai. Na unamruzuku umtakaye bila ya hisabu.
 
Mimi sio mpumbavu, najua mbinu zote za kijeshi na kanuni zote za Majeshi. Sibabaishwi. Tena wanikome maana Kuna uovu mkubwa Sana wamenifanyia Hawa wanajeshi. Nawasubiri kwenye Kona ICC.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaaah
 
Nimecheka hapo kuhusu swala la nyuma ya mapazia ya makada wa chama 😂

By the way Dj DON NALIMISON usisahau kuchanachana fweza kama unazo ukimaliza ndiyo uchane mistari yako.
 
Tutasikia mengi chini ya awamu hii ya ndugu zangu CCM
 
Salaamj Wana jf.

Naitwa DJ. DON NALIMISON Ni Mtanzania mwenye asili ya Kimarekani. Yaani baba Mzazi ni raia wa Marekani na mama Mzazi ni raia wa Tanzania. Nimezaliwa 28.06.1980 wilayani Kahama , SHINYANGA, Tanzania.

Nimefikia uamuzi wa kuchanachana vyeti vyangu vyote vya Kitaaluma baada ya kuona sifaidiki na elimu niliyosoma, zaidi Ni kuwekewa vikwazo vya kuwa maskini na serikali ya Tanzania.

Vyeti nilivyochana Ni pamoja na Elimu ya msingi(Kahama Primary school-1996) kwa jina la utotoni MASHAKA KISANDU. Vyeti vya Elimu ya Sekondari(Kishimba Sekondari-iv, Kahama 2002). Cheti Cha Uandishi wa habari(Royal college of Journalism-2003). Vyeti vya Advanced Sekondari (Tabora Sekondari-Private Candidate-2007 na Kahama sekondari-2008), Cheti za induction course(Chuo Cha ualimu Tabora-2007). Cheti Cha degree ya kwanza Cha Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa(SEKUCO/SEKOMU)-2012. Vyeti vya vyuo vya Utunzaji wa kumbukumbu. Hivi vyote nilisoma kwa jina Langu la zamani la DEOGRATIUS PIO KISANDU kabla sijaapa nakuwa DEOGRATIUS NALIMI KISANDU. Na haya yote yamefanyika baada ya kuapa na kuwa DON NALIMISON kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Sasa sihitaji Ajira ya Serikali Wala Ajira kwenye makampuni. Serikali ilinifunga jela miaka mitatu 2018-2020 kuonesha elimu yangu haifai. Hivyo nimechana vyeti vyote na kubadili jina jumla Maisha yangu yote na sitasikiliza ushauri wa Majeshi yote Wala ushauri wa Serikali. Nachotaka nikutimiza ndoto zangu kwa jina Langu DJ. DON NALIMISON nasivinginevyo.

Tanzania Ni Nchi chafu Sana, kuanzia viongozi mpaka Majeshi. Wananchi wanapata kiburi Cha kufanya unyama kwangu kupitia Majeshi. Sitaki kupewa jina lolote na serikali maana Ni na uelewa wa kutosha kuliko vigogo wa serikali wasio kuwa na lolote kwangu. Mimi sitishiki na mamlaka ya kijeshi kwani Majeshi ya Tanzania Ni dhaifu Sana Ila huwa na wachora tu mnavyojiona wajanja kumbe mbumbu wa kutupwa.

Leo nimenyimwa kitambulisho Cha Taifa kwa jina Langu la DON NALIMISON eti mpaka nioe TAKATAKA za Serikali na CCM. Mimi najitambua kuliko mitakataka ya CCM. Viongozi CCM wote Ni mbumbu wa kutupwa lakini wanavyojiona wa maana huku hawana Malinda NYUMA ya mapazia yao.

Nimechoma Moto biblia AGANO jipya Mara mbili 2020/2021 baada ya kutambua Yesu sio Mungu Bali Ni mshikaji anayepeleka watu Motoni wakiamini Ni Mungu huku alikuwa mtoto wa usaliti wa kambo wa Yusufu. Mimi sijiungi na Uislamu nako WANAABUDU MAJINI badala ya Mungu. Mungu anaishi rohoni mwangu. Hivyo nimeamua kutimiza ndoto zangu kwa mziki wangu wa HIP-HOP/RNB katika lugha ya kiingereza. Hivyo nimefungua UKURASA MPYA.

Nawatakia Maisha mema wote mnaotegemea vyeti vya taaluma ili muwe na Maisha mazuri maana Mimi Vyeti havijanisaidia.

Wenu,
DJ. DON NALIMISON
View attachment 2009076
HUYU KUNA BANGI AMEPANDA HAZIJAKOMAA AMEANZA KUZIVUNA NA KUZIVUTA. HAPA SERIKALI WAENDE VIZURI KWAKE ATAWAONYESHA SHAMBA LAKE NA MASHAMBA MENGINE YA RAFIKI ZAKE!
 
Hizi Shahwa mshua ako alizomwagia maza ako zikakutengeneza wewe zilikuwa ni dhaifu sana kiasi ambacho umezaliwa ukiwa na ubongo finyu sana kuliko hata wa sisimizi! Yaani sisimizi wanna uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya vitu mara mia kuliko wewe.
Kwa hayo matusi mbona ni kama mna akili sawa wote. Mchukue ndugu yako shaurianeni kama ndugu
 
Back
Top Bottom