Kwenye misiba hawakosekani watu wenye jamii yenu, huitwa "watani". Kama umeuliza kwa kejeli,basi, maumivu haya huwa yana kawaida ya kuhama hama.Queen of Sheba alikufungulia Uzi ,unahusika na kumtapeli ,kuna ukweli ktk hilo?
Pole mkuu.ni jambo gumu kuondokewa na mzazi.lkn ashukuriwe Mungu hata ulipata time ya kumuuguzaHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Inna Lillah wa Inna iLayhi RajiounHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Dah but not an excuse oooh. Ngoja nipite mbali mie
Pole sana Kwako, kwa Familia yako nzima na Wadau wako wa karibu. Baba ameshaumaliza mwendo wake kikubwa tumuombee tu Makazi mema huko aendako, tuendeleze Mema yake na tumshukuru mno Mwenyezi Mungu kwa Kumpenda zaidi kwani ndiye aliyemuumba pia.Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.