Sawa kabisaTumechelewa sana, 2025 ni Tundu Lissu "Hapa kazi tu na demokrasia ya kweli"
Tundu Lissu hakuwahi kumkosea lolote Magufuli bali Magufuli ndiye alimkosea Lissu kwa kutuma watu wamuue. Lakini Lissu mwenyewe alishamsamehe Magufuli hata kabla mauti hayajamkuta. Tusipoteze focus, wote tukatae kuuzwa utumwani kwa kumrudisha Sultan kwa mlango wa nyuma.Tundu Lisu akitubu na kwenda Chato kumlilia Magufuli kwenye kaburi lake ,tutamkubali
Habari,
Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.
Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.
View attachment 2671785
Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.
Kupiga kura na kuzilinda ?Sio kwa njia ya kura. Kwenda kusimama kwenye mstari wa box la kura ni kupoteza muda.
Hata mungeenda na Putin sijui Obama kamwe hamuwezi kupata Urais .Habari,
Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.
Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.
View attachment 2671785
Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.
Narudia tena, kwenda kusimama kwenye mstari wa kura kwa mwanaume anayejitambua ni kupoteza muda. Tutafute njia nyingine, hiyo ya kura ni kufanyana wajinga. Hiyo njia nyingine itatuacha wengi na maumivu, lakini ndio njia sahihi kwa sasa.Kupiga kura na kuzilinda ?
Wew endelea na matumizi yako ya mafuta laini pimbi wewSukuma gang neema yenu ilizikwa rasmi tarehe 17 March 2021. Hamtakaa mpewe hata ukuu wa wilaya.
Never and never again.
Ni mivutano ya kisiasaTundu Lissu hakuwahi kumkosea lolote Magufuli bali Magufuli ndiye alimkosea Lissu kwa kutuma watu wamuue. Lakini Lissu mwenyewe alishamsamehe Magufuli hata kabla mauti hayajamkuta. Tusipoteze focus, wote tukatae kuuzwa utumwani kwa kumrudisha Sultan kwa mlango wa nyuma.
Wewe RNA bila shaka ndiwe pia Kulwa Jilala au siyo?Habari,
Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.
Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.
View attachment 2671785
Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.
And it has to be real and not wishes !!!Any of that does not matter. ALL of that is irrelevant.
It is time, CCM as we know it today, has to GO under any circumstance you can imagine.
It is going to be real. No buts.And it has to be real and not wishes !!!
Under any circumstance without having a plan? How will that be accomplished mkuu?🤔Any of that does not matter. ALL of that is irrelevant.
It is time, CCM as we know it today, has to GO under any circumstance you can imagine.
"By any means necessary."Under any circumstance without having a plan? How will that be accomplished mkuu?🤔
Safari hii ni tofauti kabisa na nyakati nyingine zote zilizokwishapita.Sio kwa njia ya kura. Kwenda kusimama kwenye mstari wa box la kura ni kupoteza muda.
Njia ya kura imeshashindikana, kuendelea kushiriki hizo chaguzi ni kutegemea matokeo tofauti kwa njia zilezile. Kwa Sasa vyombo vya dola ndio kinga ya CCM kuendelea kukaa madarakani. Mfano mrahisi ni juzi maandamano ya kuuzwa kwa bandari yetu.Safari hii ni tofauti kabisa na nyakati nyingine zote zilizokwishapita.
"Njia ya Kura" na kuhakikisha kura inahesabika. Zoezi hilo likitishiwa, hiyo njia nyingine uliyonayo kwenye mawazo siku nyingi itafuata kwa haki kabisa, na mwenyekulaumiwa atakuwa huyo aliyezoea kuchezea kura za wananchi.
Ni lazima pawepo na pakuanzia, kabla ya kufikia huko kwenye njia yako.
"Mfano" mzuri kabisa huu ulioutumia.Njia ya kura imeshashindikana, kuendelea kushiriki hizo chaguzi ni kutegemea matokeo tofauti kwa njia zilezile. Kwa Sasa vyombo vya dola ndio kinga ya CCM kuendelea kukaa madarakani. Mfano mrahisi ni juzi maandamano ya kuuzwa kwa bandari yetu.
Do you think having CHADEMA's plan of "NO ELECTION IN 2024/25" will work effectively as all cohesive forces support CCM? For me, I think We should first have the whole country's massive demonstration to demand for some REFORMATIONS in Constitution and electoral Committee. By doing that, might be awakening call for international institutions to support Tanzanian citizens."By any means necessary."
This is no cliche'.
Anything is better than having CCM continue in power.
Plan? We will have a plan as we move along.
For starters, we will borrow CHADEMA's "plan" of there being "no elections in 2024/25"; if for any reason they fail to take the leadership role in implementing it.