- Thread starter
- #61
Haiko hivyo na haijawahi tokeaWewe RNA bila shaka ndiwe pia Kulwa Jilala au siyo?
Kuna bandiko hili 👇👇👇
Tundu Lissu umebakiza kutubu kwenye kaburi la Hayati Magufuli
Binafsi nilikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu. Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dares salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM...www.jamiiforums.com
Maudhui yake na mwandiko neno kwa neno, paragraph Kwa paragraph inafanana na la kwako kasoro heading tu
Mmekosea wapi? Na kwanini mnafanya hivi? Dhamira yenu ni nini? Mnalipwa kwani? Au ndo uzalengo uchwara huu,?