Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Haiko hivyo na haijawahi tokea
 
Tundu Lissu HAWEZI kamwe kumkubali mtu aliyetaka KUMTOA UHAI wake kwa rosasi 16 alizomiminiwa mwilini.

Kama ametumia jina Magufuli kwenye maneno yake basi ametumia ili kujenga hoja anayotaka kuifikisha kwenye hadhira aliyoilenga
 
Tundu Lissu HAWEZI kamwe kumkubali mtu aliyetaka KUMTOA UHAI wake kwa rosasi 16 alizomiminiwa mwilini.

Kama ametumia jina Magufuli kwenye maneno yake basi ametumia ili kujenga hoja anayotaka kuifikisha kwenye hadhira aliyoilenga
Wenye akili washa elewa na Tundu Lissu katambua Jpm sio mbaya wake ,Sisi S gang tuko pamoja nae
 
Namna pekee na nzuri zaidi kwa upinzani kuchukua dola ni muungano wa vyama husika na kumsimamisha mgombea makini.
 
Uncle Kulwa Jilala ashageuka naye anamtaka Lissue, wakati CCM tuna watu nguli kama, Lusinde, Phd Msukuma, Deo Sanga, Mwijaku, Tivu ake, Maulidi Kitenge, Zembwela.
🀣🀣🀣🀣
 
Lissu HAPANA
Atafutwe mgombea mwingine atakae tuunganisha wote
 
Thu
Thubutu. Msidanganywe na mitandao. Mama anakubalika kila pembe ya nchi. Wakulima huwezi kuwaambia kuhusu mama. Leo nipo hapa singida wakulima wa alzeti na mbaazi wanasema mama aongoze mpaka anifie mwenyewe mana mbaazi Sasa zina soko la uhakika na alzeti pia wakati mazao hayo jpm aliua yote kwa ubabe. Ajira zipo kila Kona ambapo alitengeneza machinga tu kila Kona ya nchi. Vijana wakigeuka nyuma tu Kuna ajira kote serikalini na private sector na wafanyakazi wanaongezewa mishahara Yao kila mwaka kitu ambacho jpm hajawahi fanya. Hivyo usidanganywe na mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…