Bosi wako alikuwa wa kike au wa kiume?!Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri kama kazi inavyotaka
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana kwasababu sio majukumu yangu na ni kama dharau kwangu,
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli? nakusudia kwenda kwenye vyombo vya sheria
Unasema???????Kwani ungeenda ungepungukiwa nini?
Bila hearing, barua ya onyo, hapo hakuna uhalali wa kufukuzwa kazi.Kama ulikubali kipengele kwenye mkataba kinachosema "pamoja na kazi nyingine kama utakavyopangiwa na mwajiri wako", hicho ndicho kilichohalalisha kufukuzwa kazi.
NI SAWA KABISA,
NENDA KACHOMEKEE HUO MSHATI WAKO BARA BARANI MJINGA MKUBWA
Hahahaha, kwamba bora angemwagiza vya buku.Aaah achana nae mimi nakuunga mkono kwa huo msimamo Bora Hata angekuagiza vya buku, maana vya mia tisa afu uanze kusubiri na hio chenji sh mia, afu mtu umevaa tetroni yako na jua likuwakie ufe bure.
Deo, kumbe wewe ndio boss? Mrudishe jamaa kazini basi....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani ungeenda ungepungukiwa nini?
angeenda tu,mbona haina shidaDeo, kumbe wewe ndio boss? Mrudishe jamaa kazini basi....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inawezekana bei ni Tsh. 300 kwa kitumbua kimojaHivyo vitumbua vya miamia vinauzwa wapi? Maana huku kwetu vitumbua ni mia mbili kimoja kwahiyo huwezi kupata vya mia tisa.
Wewe ni mtumwa wa akili utumwe vitumbua? wewe ni houseboy wake au muajiriwa chini ake?Kwani ungeenda ungepungukiwa nini?
Kama unamkataba nenda mahakama ya kazi utafurahi mwenyewe.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri kama kazi inavyotaka
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana kwasababu sio majukumu yangu na ni kama dharau kwangu,
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli? nakusudia kwenda kwenye vyombo vya sheria
umeshaambiwa utovu wa nidhamu hayo ya vitumbua hayajaandikwaKwenye barua ya kukufukuza kazi wameandikaje?
Hakukuwa na hearing?
Ama unafanya kazi kwa wahindi mkuu?
Hiyo kesi unaweza kuwashinda wakakulipa..