ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makasiriko yanini mkuu mwenzio ndo alijiona kapendeza sasaNI SAWA KABISA,
NENDA KACHOMEKEE HUO MSHATI WAKO BARA BARANI MJINGA MKUBWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makasiriko yanini mkuu mwenzio ndo alijiona kapendeza sasaNI SAWA KABISA,
NENDA KACHOMEKEE HUO MSHATI WAKO BARA BARANI MJINGA MKUBWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjinga mwenyewe usinichanganye mimi
Umeongea ukweli mkuu.Kuna mada nyingine mnatunga ili mje kupata attention hapa jukwaani, mwisho wa siku unaonekana mshamba
Maxence popote ulipo kwa sasa hizi senior member na expert member itapendeza kama mtu atapata kwa kulipia au kwa content anazoshusha hapa jukwaani!
Yeye s lazima aende angetuma ata mtu mwingine angetafuta boya wake nae amtume amwambie ametumwa na boss au angeenda kwa muuza vitumbua angempa ela tu afu amwambie alete yeye mwenyew kingine Kama ulivosema inawezakana kuna kitu kingine tofaut na vitumbua au inawezakana n chai tu na uwongo wake wa kutunga story alete kikiiiHiyo busara itumike kwa nani? Mtuma vitumbua au mtumwa vitumbua?
Hivi ukiwa boss unaweza kufika officin ukamtuma officer wako vitumbua? Halafu ukamfukuza kazi sababu tuu hajaenda kukununulia vitumbua?
Huyu muafi kuna kitu hajasema Labda hiyo ilikua kati ya yale majukumu yake....
Au alikula vitumbua vya boss halafu akaambiwa akanunue vingine na yeye akagoma😂😂😂😂😂😂
Siwezi kukumbuka link ya story ya miaka 6 au saba iliyopita.
Tafuta taarifa za ajali ya ndege kwenye milima ya alpes iliua watu zaidi ya mia. Fuatilia taarifa za rubani msaidizi aliyekuwa na miaka chini ya 30 wakati huo matukio aliyofanya siku chache kabla ya ajali.
Mojawapo ni kutumwa na rubani mkuu kazi anazodai yeye hakusomea kama anavyolalamika mtoa mada kutumwa vitumbua 9 kitu ambacho hakusomea.
Umejiona mjanja? Mbona mimi nimekuona punguani mmoja usiejielewa? Kwa hiyo kuvaa kwake suti kulikuuma sana? Ukaona umkomeshe mwenyewe kwa lugha nyingine umtie adabu.Nimeupenda msimamo wa boss wako! Dawa ya vijana jeuri ni hiyo tu hakuna namna! Hii inanikumbusha mwaka 2005 kibaka mmoja eti akaja na suti ofisini wakati sisi tulikuwa watu wa field, akajitia ujuaji kupiga suti eti anikoge mimi boss wake! Sasa kimbembe kikaja umeme ukakata na generator halina mafuta, gari nalo limetoka nje hakuna usafiri, ikabidi nimbebeshe dumu lakubebea mafuta na suti yake! Hebu piga picha dumu liko kwenye mfuko wa Rambo (enzi hizo) na suti yako! Nilimkomesha siku hiyo! Hakurudia tena kuvaa suti, nyoko kabisa!
Hiyo kazi ulikuwa unafanya si kazi na jnaonekana haina hela.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Ukiwa kazini huwa hatuangalii una familia wala nini. Ndio maana halisi ya kazi. Na huenda ilikuwa kipimo tu.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Bro tupeane maujuzi inboxSafi Sana,huo ndio uanaume. Sawa kazi ni mzuri lakini isikufanye upoteze utu wako. Pambana tafuta shughuli yako mwenyewe ya kujipatia kipato huwe huru. Babu yangu kafa kwa heshima hakuajiriwa,baba mzazi tumemzika kwa heshima hakuajiriwa na mmi mwenyewe Sina mpango was kuajiriwa.
Unajua kimaadili kuna mavazi ya baadhi ya shughuli? Na zingine ukienda tofauti watu wanakuona kituko? Sasa kazi yetu ilikuwa inabagua nguo yeye kanajidai kujua ili anikomeshe, mbona alikoma mwenyewe! Mpaka amekuja kutoka hakuwahi kuvaa tena suti, nyoko!!Umejiona mjanja? Mbona mimi nimekuona punguani mmoja usiejielewa? Kwa hiyo kuvaa kwake suti kulikuuma sana? Ukaona umkomeshe mwenyewe kwa lugha nyingine umtie adabu.
Nafahamu yawezekana umeandika ili kufurahisha watu. Lakini Soma hapa chini, Itakusaidia.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Ni aina ya mtu anayejumlisha hadhi yake kwenye kazi. Akipewa majukumu ambayo anaweza kufanya mtu mwingine, hudhani kashushwa sana. Anaweza kuharibu kwa makusudi hata kazi ya taaluma yake ili kutuliza moyo wake kwa sababu ya kuhisi kudharauliwa kwa kupewa kazi anayodhani si hadhi yake.Kwahiyo mtoa mada hiyo ni aina gani ya mtu?pamoja na mtoa mada
vitumbua vya kunywea chaiAu labda mtoa mada aliombwa kitumbua cha ukwel ila anajaribu kupunguza ukal wa maneno kwa kutaja vitumbua vya mia Tisa,haiingii akilin boss kubwa akakuagiza vitumbua vya miamia tena kwa msisitizo wa kurudishiwa mia yake anataka tisa tu