Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Emb Link tumuaibisheDuh! Ulisema umeacha ujambazi wewe kulikoni Tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emb Link tumuaibisheDuh! Ulisema umeacha ujambazi wewe kulikoni Tena?
Wafanyakazi kama ww nawafahamu sana. Wala sio vitumbua tu. Wewe asili yako ni mbishi. Hakuna boss anayetaka mfanyakazi mbishi. Umebisha mambo mengine mengi na sio hilo tu. Unaajiriwa ili usaidie kazi ikiwa ni pamoja na kutumwa. Boss ana mambo mengi. Na maybe alishindwa kwenda yeye kununua kitafunia cha breakfast. Watu wote wako chini yake. Ulitakiwa umsaidie.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize
mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Mtu akikuajiri hata akitaka umtawaze unakubali kwa vile ni bosi? Je akitaka akugeuze utakubali uonekane una nidhamu?Huo ni utovu wa nidhamu mkuu, pia kumbuka boss anuniwi
Sawa, Bosi wako anakutuma unakataa?Mh. We utakuwa na lako moyoni mkuu...
Ulikuwa katika nafasi gani hapo ofisini?Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize
mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Endelea kupendekeza na mashati yako sasa.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize
mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Kama ulikubali kipengele kwenye mkataba kinachosema "pamoja na kazi nyingine kama utakavyopangiwa na mwajiri wako", hicho ndicho kilichohalalisha kufukuzwa kazi.Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Kuna statement moja kwenye barua za kuajiliwa zinazotaja majukumu yako, huwa tunazichukuliaga poa sana kwa wakati huo. Lakini huja kutukaba baadaye.... nanukuu... NA KAZI NYINGINE UTAKAZOPANGIWA NA BOSI WAKO... mwisho wa kunukuu...Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
Huyu itakuwa walipanga kumfrastreti... ili mwenyewe asalimu amri...Kama boss anaweza kukutuma vitumbua, sipati picha mshahara aliokuwa akikulipa.
Umefanya jambo la maana, bora upige ishu zingine.
Boss gani huyo anakula vitumbua tena vya sh900 kwa mama ntilie
Nimeupenda msimamo wa boss wako! Dawa ya vijana jeuri ni hiyo tu hakuna namna! Hii inanikumbusha mwaka 2005 kibaka mmoja eti akaja na suti ofisini wakati sisi tulikuwa watu wa field, akajitia ujuaji kupiga suti eti anikoge mimi boss wake! Sasa kimbembe kikaja umeme ukakata na generator halina mafuta, gari nalo limetoka nje hakuna usafiri, ikabidi nimbebeshe dumu lakubebea mafuta na suti yake! Hebu piga picha dumu liko kwenye mfuko wa Rambo (enzi hizo) na suti yako! Nilimkomesha siku hiyo! Hakurudia tena kuvaa suti, nyoko kabisa!Habari zenu
Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu
Shughuli ilianzia Alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofisini na kuniagiza vitumbua vya mia tisa
Kwakweli kulingana na nilivyokuwa mimi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea
Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana.
Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kuwa sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize.
Mimi nina mke na watoto uniagize vitumbua?
Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi
Hivi hii ni sawa kweli?
"Vitumbua vyamfuta kazi mtumishi.."😃Eeh “Mtumishi afutwa kazi kisa vitumbua”
Hahahahaa"Vitumbua vyamfuta kazi mtumishi.."😃
Kuna nyakati bosi amekutafuta weeeeee kakukosa sasa anajaribu kila turufu.Sawa, Bosi wako anakutuma unakataa?
Nenda kaning'inize tai mtaani?
Haya mabo sio ya kuchekea hata siku mojaNimeupenda msimamo wa boss wako! Dawa ya vijana jeuri ni hiyo tu hakuna namna! Hii inanikumbusha mwaka 2005 kibaka mmoja eti akaja na suti ofisini wakati sisi tulikuwa watu wa field, akajitia ujuaji kupiga suti eti anikoge mimi boss wake! Sasa kimbembe kikaja umeme ukakata na generator halina mafuta, gari nalo limetoka nje hakuna usafiri, ikabidi nimbebeshe dumu lakubebea mafuta na suti yake! Hebu piga picha dumu liko kwenye mfuko wa Rambo (enzi hizo) na suti yako! Nilimkomesha siku hiyo! Hakurudia tena kuvaa suti, n
yoko kabisa!