Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?

Sasa kama pamoja na kuvaa vizuri na kuchomekea ulishindwa kuelewa kwamba kuagizwa vitumbua ni sehemu ya kazi yako?

Ungetambua kwamba kwa kuagizwa vitumbua, mkeo na watoto wanaweka foleni ya kwenda msalani ungekimbia kununua fasta.

Unaona ulivaa vizuri kwasababu unalipwa mshahara na huyo uliyemtunishia misuli. Kodi ya ofisi ulimokaa yeye ndo analipa, kimsingi wewe ni ndezi kama ndezi wengine tu.
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?

Na kama kweli uliagizwa vitumbua, tambua uwezo wako na umahiri wako ni katika eneo hilo. Yamkini hakuona thamani ya wewe kujifanya uko bize wakati hakuna tija.
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?
Ni sawaa kbs we hufai kuwa mtumiahi yaani hujajua maana ya bosi haya njoo uraiani tuote njaa hiyo nssf hadi ukose nauli ya 400 haaa kwanz tu hapa umedhalilisha eti vya mia sita ulitaka akutume vya sh ngapi ndo uende
 
sasa mkuu,kuna kitu hutuambii hii tabia ya kutumwa kitumbua imeanza lini?me nahisi boss amezoea kukutuma siku zote alafu umezira iyo siku moja boss lazima amind. boss haikosei lazima anasababu zake kwanin ww na sio wengine, kama hufanani na kitumbua .
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?
We kutumwa vitumbua tu unaona taabu je ungefanya kazi kwa wahindi unashangaa unapewa kutawaza mtoto amekunya ndo urudi oficn.
Kuna jamaa aliwahi kufanya kazi kwa tajiri flani alishawahi kuagizwa kwenda kutupa kondom zilizotumika yaani jamaa limemaliza kuchakata mbususu likamuita mfanyakazi akapewa kipande cha gazeti lililokunjwa eti akatupe kwenye pipa la taka jamaa alipofika nje akafungua akakuta kondom mbichi zina shahawa
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?
Imeandikwa lakini... Tutii mamlaka!
 
Kama boss anaweza kukutuma vitumbua, sipati picha mshahara aliokuwa akikulipa.

Umefanya jambo la maana, bora upige ishu zingine.

Boss gani huyo anakula vitumbua tena vya sh900 kwa mama ntilie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Au labda mtoa mada aliombwa kitumbua cha ukwel ila anajaribu kupunguza ukal wa maneno kwa kutaja vitumbua vya mia Tisa,haiingii akilin boss kubwa akakuagiza vitumbua vya miamia tena kwa msisitizo wa kurudishiwa mia yake anataka tisa tu
Labda aliombwa kifurushi cha Yatosha akagoma kumpa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ajira hizi zina mambo ndio maana mimi niliamua kujiajiri kwa kuuza majeneza
 
Changamoto ifanye fursa anza biashara ya kuuza vitumbua uwe unampelekea ofisini
ila hakikisha unauza mwenyewe ukimpa mke wako ndo apeleke boss anaweza akanunua vitumbua vyote 70 biashara iishie mapema palepale ofisini ili apate muda wa kula kitumbua chako kimoja uanze kutupigia nduru Tena humu.
 
Back
Top Bottom