Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Habari zenu

katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu,

shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa,

kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea,

nilikua nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize,

ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

hivi hii ni sawa kweli?
Samahani una uhakika wewe sio MTANESCO?
 
Kwenye barua ya kukufukuza kazi wameandikaje?

Hakukuwa na hearing?

Ama unafanya kazi kwa wahindi mkuu?

Hiyo kesi unaweza kuwashinda wakakulipa..
Utovu wa nidhamu au unakurupuka tuu? Hapo halali yake kisheria Ni malipo ya mwezi mmoja ambao hajaufanyia Kazi mengine porojo tuu. Kwani wakati anakuajiri kulikuwa na hearing?
 
Una mkataba wa ajira? Ulipewa barua za onyo za huo utovu wa nidhamu? Umepewa stahiki zako zote na fidia ya kuvunja mkataba? Inawezekana unaonewa kipumbavu pumbavu sana sababu umejipa thamani inayolingana na ya kitumbua. Mtu mwenye thamani hafukuzwi kazi kipumbavu hivyo.
 
Utovu wa nidhamu au unakurupuka tuu? Hapo halali yake kisheria Ni malipo ya mwezi mmoja ambao hajaufanyia Kazi mengine porojo tuu. Kwani wakati anakuajiri kulikuwa na hearing?
Utovu wa nidhamu kukataa kumnunulia Boss vitumbua? Kwani hiyo ipo kwenye job description yake? ...

Na wewe kichwani hazimo kumbe.. bure kabisa
 
Habari zenu

katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu,

shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa,

kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea,

nilikua nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize,

ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

hivi hii ni sawa kweli?
Kwanza kabla sijasoma, nakupa like halafu nakupongeza kwa kujitambua, lazima upiganie uhuru wako na kulaani kila aina ya utumwa!
Ni heri kupigania uhuru kuliko fedha ya masharti
 
Umefanya vizuri sana, sasa jiulize utaishi vipi?
Usipokuwa makini mkeo ataliwa na bodaboda kiulaini.
Nakuonea huruma sana kama ni kweli, otherwise kama ni chai poa tu.
 
Habari zenu

katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu,

shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa,

kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea,

nilikua nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize,

ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

hivi hii ni sawa kweli?
Pumbafu....
 
Utovu wa nidhamu kukataa kumnunulia Boss vitumbua? Kwani hiyo ipo kwenye job description yake? ...

Na wewe kichwani hazimo kumbe.. bure kabisa
Mimi pia Ni boss ukikataa nakufuza. Kwani ulinisaidia kutafuta Mali? Acha kuajiriwa Kama una jeuri.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Habari zenu

katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu,

shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa,

kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea,

nilikua nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize,

ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

hivi hii ni sawa kweli?
Ni sawa uachishwe. Na inawezekana wewe umelelewa na Single parent
 
Nilisomaga mtandaoni kuna ajali ya ndege ilitokeaga kama sio 2014! Kwa mujibu wa taarifa za kisanduku cheusi ndege ilidondoshwa kwa makusudi kwa sababu dakika chache sana kabla ya kudondoka ilisikika sauti ya mtu anayegonga kwa nguvu mlango kama mtu anayetaka kufunguliwa katika mlango wa chumba cha marubani.
Hii inaonesha aliyeiangusha ndege kwa makusudi ni rubani msaidizi na aliyekuwa anagonga ni rubani kwa sababu kuna sauti ilinaswa kabla ya hapo ilisikika rubani mkuu akimuaga msaidizi kwamba anaenda kujisaidia, hivyo msaidizi akaitumia hiyo fursa kujifungia na kuilazimisha ndege ishuke chini kwa nguvu na kusabisha ajali.

Ripoti zinasema kabla ya pale huyo jamaa alikuwa kama ana msongo wa mawazo na alikuwa anajitapa kuwa siku moja atakumbukwa kwa sababu atafanya tukio la kukumbukwa.
Alikuwa analalamika kuwa anatumikishwa na rubani kufanya kazi ambazo hakusomea.
Kuna siku alipigana makonde na rubani kisa aliambiwa ahesabu abiria akasema sio kazi yake, yeye amesomea kurusha ndege.
Nadhani upo kwenye kundi
 
Back
Top Bottom