Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?
Mm ningekubali afu navitia mchanga kidogo namletea.
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?

Office gani hiyo?
Ulikua na mkataba wa kazi?
Kwa hiyo barua imeandikwa umefukuzwa kazi kwa kugoma kumfuatia koss vitumbua? Au utovu huo wa nidhamu haujatajwa?
 
Kuna mada nyingine mnatunga ili mje kupata attention hapa jukwaani, mwisho wa siku unaonekana mshamba

Maxence popote ulipo kwa sasa hizi senior member na expert member itapendeza kama mtu atapata kwa kulipia au kwa content anazoshusha hapa jukwaani!
Inaweza kuwa kweli labda ni houseboy wa mhindi au mchina ukikataa atakufukuza tu
 
Kama boss anaweza kukutuma vitumbua, sipati picha mshahara aliokuwa akikulipa.

Umefanya jambo la maana, bora upige ishu zingine.

Boss gani huyo anakula vitumbua tena vya sh900 kwa mama ntilie
Kwa 900 hata sambusa mbili za nyama hununui,boss bahili sana hapo kamwagiza kwa mama ntilie alete vitumbua vya mia mia
 
Habari zenu

Katika hali isiyo ya kawaida siku ya leo nimepewa rasmi barua ya kuachishwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu

Shughuli ilianzia alhamisi iliyopita mida ya saa tatu bosi aliniita ofissini na kuniagiza vitumbiua vya mia tisa

Kwakweli kulingana na nilivyokua mi mtu mzima nimevaa nimependeza, nimechana nywele vizuri na nimechomekea

Nilikuwa nimevaa yale mashati ya kuwaka waka yale ya tetroni na nimechomekea na kuvaa suruali ya kitambaa nimechomekea, kitendo cha bosi kuniagiza vitumbua vya mia tisa kwangu niliona kama ni fedheha kubwa sana

Yaani mimi nitoke ofisisni niende nje eti nimeagizwa vitumbua? Nilimwambia bosi kua sitaweza kwenda maana nina kazi na niko bize

mi nina mke na watoto uniagize vitumbua?

Ijumaa nilisimamaishwa kazi na leo rasmi nimeachishwa kazi

Hivi hii ni sawa kweli?
mama D njoo uone maajabu ya mabosi wa nchi hii


Huyo boss nimemtamani kwa kweli
 
Aaah achana nae mimi nakuunga mkono kwa huo msimamo Bora Hata angekuagiza vya buku, maana vya mia tisa afu uanze kusubiri na hio chenji sh mia, afu mtu umevaa tetroni yako na jua likuwakie ufe bure.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo hajaja jamaa yangu [mention]Alexander The Great [/mention]
 
Kama boss anaweza kukutuma vitumbua, sipati picha mshahara aliokuwa akikulipa.

Umefanya jambo la maana, bora upige ishu zingine.

Boss gani huyo anakula vitumbua tena vya sh900 kwa mama ntilie
Apige issue gani wakati alikuwa hajajipanga kwa hilo?
 
Aaah achana nae mimi nakuunga mkono kwa huo msimamo Bora Hata angekuagiza vya buku, maana vya mia tisa afu uanze kusubiri na hio chenji sh mia, afu mtu umevaa tetroni yako na jua likuwakie ufe bure.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilisomaga mtandaoni kuna ajali ya ndege ilitokeaga kama sio 2014! Kwa mujibu wa taarifa za kisanduku cheusi ndege ilidondoshwa kwa makusudi kwa sababu dakika chache sana kabla ya kudondoka ilisikika sauti ya mtu anayegonga kwa nguvu mlango kama mtu anayetaka kufunguliwa katika mlango wa chumba cha marubani.
Hii inaonesha aliyeiangusha ndege kwa makusudi ni rubani msaidizi na aliyekuwa anagonga ni rubani kwa sababu kuna sauti ilinaswa kabla ya hapo ilisikika rubani mkuu akimuaga msaidizi kwamba anaenda kujisaidia, hivyo msaidizi akaitumia hiyo fursa kujifungia na kuilazimisha ndege ishuke chini kwa nguvu na kusabisha ajali.

Ripoti zinasema kabla ya pale huyo jamaa alikuwa kama ana msongo wa mawazo na alikuwa anajitapa kuwa siku moja atakumbukwa kwa sababu atafanya tukio la kukumbukwa.
Alikuwa analalamika kuwa anatumikishwa na rubani kufanya kazi ambazo hakusomea.
Kuna siku alipigana makonde na rubani kisa aliambiwa ahesabu abiria akasema sio kazi yake, yeye amesomea kurusha ndege.
Nadhani upo kwenye kundi

Kundi gani
 
Back
Top Bottom