Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

NI SAWA KABISA,

NENDA KACHOMEKEE HUO MSHATI WAKO BARA BARANI MJINGA MKUBWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makasiriko yanini mkuu mwenzio ndo alijiona kapendeza sasa
 
Kuna mada nyingine mnatunga ili mje kupata attention hapa jukwaani, mwisho wa siku unaonekana mshamba

Maxence popote ulipo kwa sasa hizi senior member na expert member itapendeza kama mtu atapata kwa kulipia au kwa content anazoshusha hapa jukwaani!
Umeongea ukweli mkuu.
 
Yeye s lazima aende angetuma ata mtu mwingine angetafuta boya wake nae amtume amwambie ametumwa na boss au angeenda kwa muuza vitumbua angempa ela tu afu amwambie alete yeye mwenyew kingine Kama ulivosema inawezakana kuna kitu kingine tofaut na vitumbua au inawezakana n chai tu na uwongo wake wa kutunga story alete kikiii
 

Kwahiyo mtoa mada hiyo ni aina gani ya mtu?pamoja na mtoa mada
 
Umejiona mjanja? Mbona mimi nimekuona punguani mmoja usiejielewa? Kwa hiyo kuvaa kwake suti kulikuuma sana? Ukaona umkomeshe mwenyewe kwa lugha nyingine umtie adabu.
 
Hiyo kazi ulikuwa unafanya si kazi na jnaonekana haina hela.

Umepewa nafasi ya kupata kazi nyingine yenye pesa zaidi.
 
Ukiwa kazini huwa hatuangalii una familia wala nini. Ndio maana halisi ya kazi. Na huenda ilikuwa kipimo tu.
Nimewahi kufanya kazi sehemu fulani wiki ya kwanza ya ajira ilikuwa kusafisha mazingira kwa kuondoa majani wakati tumetangaziwa kazi nzuri tu. Tuliajiriwa kwa pamoja kama watu 20 hivi. But waliondoka watu 12 tukabaki 8 baada ya hapo tukawa kwenye vitengo vyetu na pesa tamu kabisa.
 
Bro tupeane maujuzi inbox
 
Umejiona mjanja? Mbona mimi nimekuona punguani mmoja usiejielewa? Kwa hiyo kuvaa kwake suti kulikuuma sana? Ukaona umkomeshe mwenyewe kwa lugha nyingine umtie adabu.
Unajua kimaadili kuna mavazi ya baadhi ya shughuli? Na zingine ukienda tofauti watu wanakuona kituko? Sasa kazi yetu ilikuwa inabagua nguo yeye kanajidai kujua ili anikomeshe, mbona alikoma mwenyewe! Mpaka amekuja kutoka hakuwahi kuvaa tena suti, nyoko!!
 
Nafahamu yawezekana umeandika ili kufurahisha watu. Lakini Soma hapa chini, Itakusaidia.

Tito 3:1-2
"Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema;
wasimtukane mtu ye yote, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakionyesha upole wote kwa watu wote."

Tubu dhambi yako ya kukataa kuitii mamlaka iliyoko juu yako.
 
Mkuu kama umekubal kuajiriwa bas jaribu kadri uwezavyo kufuata matakwa ya boss wako vinginevyo utaangukia pua kilasiku
 
Kwahiyo mtoa mada hiyo ni aina gani ya mtu?pamoja na mtoa mada
Ni aina ya mtu anayejumlisha hadhi yake kwenye kazi. Akipewa majukumu ambayo anaweza kufanya mtu mwingine, hudhani kashushwa sana. Anaweza kuharibu kwa makusudi hata kazi ya taaluma yake ili kutuliza moyo wake kwa sababu ya kuhisi kudharauliwa kwa kupewa kazi anayodhani si hadhi yake.
 
Au labda mtoa mada aliombwa kitumbua cha ukwel ila anajaribu kupunguza ukal wa maneno kwa kutaja vitumbua vya mia Tisa,haiingii akilin boss kubwa akakuagiza vitumbua vya miamia tena kwa msisitizo wa kurudishiwa mia yake anataka tisa tu
vitumbua vya kunywea chai
 
Mkuu kama umekubal kuajiriwa bas jaribu kadri uwezavyo kufuata matakwa ya boss wako vinginevyo utaangukia pua kilasiku
kwaiyo wewe bosi akikuagiza ukamfatie nyanya sokoni unaaenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…