Nimefukuzwa kwenye duka la Kene Beibure ili apishwe mbunge Festo Sanga kufanya shopping

Malkia sawa ila deo darasa la pili B Kisa mbunge tu,PM wa England tu duka halifungwi
 
We hujitambui, mbunge ni huko kwa wapiga kura wake, alafu wabunge wenyewe wa CCM, elimu hawana, akili hawana, wazinzi tu hao na wabinafsi, huyo juzi tu mange Kam expose umalaya wake, hawa ni watu nchi zingine wananchi wanawafukuza au kumalizana nao kabisa. Hawa wanafuja pesa za umma kufanya umalaya ,huku familia za wengine zinateseka huku wao wanatibiwa nje.
 
Huku duniani nishaona, formula ni kuplay the game sio kujaribu kubadili game,

Hapa kikubwa tutafute pesa na sisi tufunge maduka tu 🤣
Mkuu kama duka langu siku nzima nauza 1m halafu ukasema funga duka nanunua mzigo wa 10m kwa raha zangu Walahi na mlo nakuagizia kabisa na barabara nafunga kabisa 😄 🤣
 
Duuuh,
Sema huyo supervisor kazingua, angekuacha labda angekataza wageni toka nje kuingia ila wa ndani muendelee tu kununua
Kuna wale wateja kila mzigo mpya ukiingia lazima anunue kwa wingi. Kuwatunza wateja wa hivyo ni gharama. Halafu kumbuka huyo ni mbunge, anazungukwa na wavaa suti wenzake. Akivaa akapendeza tayari anaweza kivutia wenzake zaidi ya kumi. Kwa hiyo kumuacha achague kwanza yeye ni namna ya kutaka kumridhisha tu.
 
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Wabunge wa huku si tunakwenda choo zilezile pamoja wana nini cha kujiona bora zaidi kuliko wengine ndiyo maana wanalitumia vibaya hilo neno Mh na kujiona miungu watu
 
Wabunge wa huku si tunakwenda choo zilezile pamoja wana nini cha kujiona bora zaidi kuliko wengine ndiyo maana wanalitumia vibaya hilo neno Mh na kujiona miungu watu
Mkuu mimi nawaona ni watu wanaopigana kufa ili wapate hayo madaraka iwe uganga, wizi, kuhonga, hata kuuwa ni kawaida kwenye nchi masikini ili wapate ubunge

Ila kichwani ni wachache sana wenye akili wengine ubongo umeshikiliwa na nywele tu hauna kazi nyingine
 
Umeamua na kuwatangazia biashara Yao Bure! Pole sana tafuta Hela ulizonazo haitoshi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Duuuh,
Sema huyo supervisor kazingua, angekuacha labda angekataza wageni toka nje kuingia ila wa ndani muendelee tu kununua
ni ujinga tu hakuna lolote, kwani mbunge si mwananchi wa kawaida tu kwenye biashara ya mtu binafsi?
 
Mwenye duka hilo atakuwa mshamba

Ova
 
nenda karume,,jense kali 20,000
 
Pesa ninazo la kusomba hata duka zima, nilienda tu kumuunnga mkono Mkinga mwenzangu, ni wao walionialika nikanunue kwao na walinipa catalogue [emoji415] book yao
huna hela ww picha yenyewe umepiga sijui na infinix gani kwanza ani ukungu ukungu tu.
Afu mikono yenyewe ni ya chinga mikono migumu ka jiwe
 
Ungekua wewe ungefanyaje..
🤓🤓🤓🤓
Miakili mingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…