Malkia sawa ila deo darasa la pili B Kisa mbunge tu,PM wa England tu duka halifungwiShopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo
Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m
We hujitambui, mbunge ni huko kwa wapiga kura wake, alafu wabunge wenyewe wa CCM, elimu hawana, akili hawana, wazinzi tu hao na wabinafsi, huyo juzi tu mange Kam expose umalaya wake, hawa ni watu nchi zingine wananchi wanawafukuza au kumalizana nao kabisa. Hawa wanafuja pesa za umma kufanya umalaya ,huku familia za wengine zinateseka huku wao wanatibiwa nje.Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Mkuu kama duka langu siku nzima nauza 1m halafu ukasema funga duka nanunua mzigo wa 10m kwa raha zangu Walahi na mlo nakuagizia kabisa na barabara nafunga kabisa 😄 🤣Huku duniani nishaona, formula ni kuplay the game sio kujaribu kubadili game,
Hapa kikubwa tutafute pesa na sisi tufunge maduka tu 🤣
😆 😂 😆 😂Atanunua boxer 2tu
Aachiwe jimbo lote aishi peke yake tuoneNa mbunge akaridhika watu kufukuzwa ili yeye aingie?
Kuna wale wateja kila mzigo mpya ukiingia lazima anunue kwa wingi. Kuwatunza wateja wa hivyo ni gharama. Halafu kumbuka huyo ni mbunge, anazungukwa na wavaa suti wenzake. Akivaa akapendeza tayari anaweza kivutia wenzake zaidi ya kumi. Kwa hiyo kumuacha achague kwanza yeye ni namna ya kutaka kumridhisha tu.Duuuh,
Sema huyo supervisor kazingua, angekuacha labda angekataza wageni toka nje kuingia ila wa ndani muendelee tu kununua
Wabunge wa huku si tunakwenda choo zilezile pamoja wana nini cha kujiona bora zaidi kuliko wengine ndiyo maana wanalitumia vibaya hilo neno Mh na kujiona miungu watuKuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Mkuu mimi nawaona ni watu wanaopigana kufa ili wapate hayo madaraka iwe uganga, wizi, kuhonga, hata kuuwa ni kawaida kwenye nchi masikini ili wapate ubungeWabunge wa huku si tunakwenda choo zilezile pamoja wana nini cha kujiona bora zaidi kuliko wengine ndiyo maana wanalitumia vibaya hilo neno Mh na kujiona miungu watu
Wewe sis utaambiwa u act kama muhudumu bora uyo kafukuzwaSasa jamani kama wewe Tajiri mkuu wa Matajiri umefukuzwa sisi wengine si ndio tutadekishwa hapo dukani?
ni ujinga tu hakuna lolote, kwani mbunge si mwananchi wa kawaida tu kwenye biashara ya mtu binafsi?Duuuh,
Sema huyo supervisor kazingua, angekuacha labda angekataza wageni toka nje kuingia ila wa ndani muendelee tu kununua
nenda karume,,jense kali 20,000Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
huna hela ww picha yenyewe umepiga sijui na infinix gani kwanza ani ukungu ukungu tu.Pesa ninazo la kusomba hata duka zima, nilienda tu kumuunnga mkono Mkinga mwenzangu, ni wao walionialika nikanunue kwao na walinipa catalogue [emoji415] book yao
Ungekua wewe ungefanyaje..We hujitambui, mbunge ni huko kwa wapiga kura wake, alafu wabunge wenyewe wa CCM, elimu hawana, akili hawana, wazinzi tu hao na wabinafsi, huyo juzi tu mange Kam expose umalaya wake, hawa ni watu nchi zingine wananchi wanawafukuza au kumalizana nao kabisa. Hawa wanafuja pesa za umma kufanya umalaya ,huku familia za wengine zinateseka huku wao wanatibiwa nje.
Tafuta pesa ,huna pesa harafu unaenda kumzonga Mbunge? [emoji23][emoji23]