Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
Mimi ni mkristo na hilo la nyanda juu kusini sikupingi,nipo huku now naona,japo inawezekana kutokana na wingi wa wakristo na uchache wa waislam!!!VAA KOBAZ ZAKO ONDOKA WAKRISTO WA MIKOANI NI WABAGUZI HASA NYANDA ZA JUU KUSINI
Sasa hayo uliyo yaandika yana mahusiano gani na mada ?Nilihudhuria harusi moja ya kiislam ukumbini, cha ajabu sikuona aliyevaa kanzu, baraghashia, hijabu wala jumba, yaani hakukuwa na alama yoyote ya kiislam. Watu walivalia kimagharibi kuanzia maharusi hadi wahudhuriaji huwezi kuwatambua dini zao. Miziki ilikuwa ni ya kidunia na kidogo ya kiinjili. Naambiwa huko msikitini ilikufungwa hiyo ndoa ndio walivalia kiislam tena mtindo wa kinigeria ila ukumbini wakapiga suti na shela plus muziki mnene na vyakula na vinywaji vya kumwaga
Unalaani hiyo chai aliyoleta huyu jamaa?Sidhani Kama ni kweli, Sie Wakristu, especially sie wakatoliki ambao ndio wakristu Halisi na Original hatuna tabia hiyo.
Hatufukuzi hata Mpagani Kanisani.
Kwa Niaba ya TEC nalaani Kitendo Hicho.
Binadamu wote ni ndugu, na tunaweza kujenga Jamii, kufurahia Maisha yetu ya Kujamiiana bila kuweka tofauti zetu za Kidini.
AMDG!
Kila kitu kinacho tokea katika maisha Yako nisehem ya mafundisho hivyo yahitaji utafakari Kwa kina ili sikunyingine USI jichanganye natumai misingi ya hekima unaifahamu nduguTukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Acha uchonganishi tz hatujafikia huko,, utafaid nn tukianza mikwaruzano kati ya wakristo na waisilamu? Alye kupa kadi si ndo mwenye sherehe? Huyu aliyekuzuia ni mlinzi au ni huyo huyo aliyekupa kadi? Kama ulizuiwa na mtu mwingine ulichukua hatua kumpigia mwenye shereh kumtaarifu dhidi ya wajakazi wake wanaokuzuia usiingie ndan kugonga pilau,na nyama za kukaanga na kuku?Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Ubwabwa unaumaHaifai kwa muislamu kushiriki sherehe ambazo hazipo katika sherehe za dini yake.
Misiba, harusi kwa jirani zako ruksa kwenda, kipaimara marufuku.
Ahahahahh π€£ π€£ π€£. Huo ni uongo, wakristo hatuna huo ukritimba...
. Yawezekana ulikuwa umevaa sare/dera/gauni/kazu na kikofia juu, maana huwa hamchelewi kila sehemu utakayofika Haijalishi upo eneo gani ni mwendo wa SALAM WALEKHO.
hayana uhusiano na mada ila ni kuonesha tu kunako sherehe ya maakuli hakuna ubaguzi wa diniSasa hayo uliyo yaandika yana mahusiano gani na mada ?
Au na ww ni mkosefu wa akili kama mleta mada?