Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #41
Bisma...Wewe mzee nakufikiria sana enzi zako ulikuwa mjanjamjanja sana.
Una mambo fulani hivi hutaki yakupite licha ya umri wako.
Kumb. Sisi wengine ni wajukuu zako kwahiyo kwenye uzi wako usishangae tukaleta utani utani wa mjukuu na babu.
Nakuja kukuibia mke mzee wangu
Nilichojifunza, ni kuwa baadhi ya Watanzania wenzetu hawapendi kusikia ukweli. Na ukizungumza ukweli sana, unakuwa adui wao!,
Hili pia linajitokeza kwa viongozi wetu, hawataki kusikia ukweli zaidi ya kusifiwa na kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, hapo na cheo kitapanda.
Ndo ujue athari ya brainwash inayofanywa kwa wananchi.NIMEFUKUZWA TENA
BAADA ya kuweka video hii ya TBC nikatolewa kundini:
View: https://youtu.be/-bwoz3jI7RA?si=rJdx_0PlMIHxm4Wm
Nilikuwa kwenye group moja nikafukuzwa naamini wengi mlisoma makala ile.
Bahati nikawa nimebakia katika group kwa no. yangu nyingine ambayo siitumii sana na kwa sababu hiyo ikawa sijui kama bado niko kundini.
Nikajiambia mwanzo hapa nimetimuliwa kwa makala niandikazo na moja ya sababu nilielezwa sielezi vizuri historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Nikaamua kuanzia sasa hapa kundini nitaweka vipindi nilivyofanya na TBC, AZAM na stesheni nyingine na vikarushwa kwa wananchi wote wa Tanzania.
Niliamini kwa kufanya hivyo nitakuwa nimewadhihirishia viongozi wa group kuwa Mohamed Said anakubalika hadi na vyombo vikubwa ikiwemo TBC.
Nikaweka video kama tatu hivi nazungumza historia ya Baba wa Taifa.
Haikunisaidia kitu.
Nadhani nimedumu kundini kwa siku kama tatu hivi leo wamenifukuza.
Inaelekea historia ya Mwalimu Nyerere itakiwayo ni ile ya zamani yuko peke yake wasitajwe wenzake
Sema asalaaaleBisma...
Kwa umri wenu nyie ni wanangu kwani mimi ni miaka 71 na mjukuu wangu wa kwanza ana miaka 10.
Msanii,Sema asalaaale
Miaka hii kuwa na watoto 10 si mchezo.
Tatizo nflation
We acha umbavu! DPW haiongezi wala haipunguzi chochote katika maisha yako, acha kudemka wimbo usio ujua, acha kujijaza ujinga.Mzee wangu tusaidie basi waboreshe mkataba wa DPW au utafukuzwa na msikitini kabisa
Core...ni kwa sababu hakuna Maheikh wanao amini Mungu aliye kuwa nakunya
😆😆😆yuko peke yake wasitajwe wenzake
Hili lina mantiki sana mkuu.1. Msikiti una uhusiano sana na DPW, kuna fununu kuwa watajenga msikiti mkubwa sana Mbeya, hii imekaaje?
2. Ni ajabu sana karibu waislam wote wameuelewa mkataba wa bandari kuliko wanasheria...hii imekaaje? (PAMOJA NA ELIMU YA MASHEIKH NI TIA MAJI TIA MAJI LKN MKATABA WAMEUELEWA KWA HARAKA SANAA)
3. Masheikhe wengi wametoa matamshi tata ya kuwakemea na kuwakejeli TEC waliochagua kulinda maslahi ya nchi...hii nayo imekaaje?
Kuna HARUFU YA UDINI ULIOJIFICHA CHINI YA DPW.
Nikwambie tu, moto huwezi kufunikwa na kipande cha khanga mzee Mohamed, tusubiri, tuombe uzima
ShukraniCore...
Neno ulilotumia si katika lugha ya Qur'an.
Allah hakusema hivyo kwani ni tusi.
Allah kasema "kula chakula."
Ukifasiri ndiyo unapata kuwa ukila inabidi ujisaidie.
Lione hili bumunda nalo sijui la wapi🤣🤣🤣We acha umbavu! DPW haiongezi wala haipunguzi chochote katika maisha yako, acha kudemka wimbo usio ujua, acha kujijaza ujinga.
Hapa watu wanaongelea historia, Bumunda ni wewe unaeharibu mada za watu kwa ujinga uliobebeshwa.Lione hili bumunda nalo sijui la wapi🤣🤣🤣
Siri yangu
Haya tutamalizana nayo Mabwepande subiri mda ufike tumechoka kufanywa watumwa 2025 hatoboiLione hili bumunda nalo sijui la wapi🤣🤣🤣
Siri yangu
Mwndiko wako wako pekee umekutambulisha, asanteni kwa sababu hakuna Maheikh wanao amini Mungu aliye kuwa nakunya
Tayari tumekujua, haya wahi kuna nyama ya ngamia🤣Hapa watu wanaongelea historia, Bumunda ni wewe unaeharibu mada za watu kwa ujinga uliobebeshwa.
Glenn,
Kwa nini unanilazimisha nikujibu?
Nina umuhimu upi kwako?
Huu ni uwanja huru sote tunajadiliana.
Hatutishani wala kupeana "ultimatum," hapa.
Umejitahidi, kwangu wewe ni baba mdogo.Bisma...
Kwa umri wenu nyie ni wanangu kwani mimi ni miaka 71 na mjukuu wangu wa kwanza ana miaka 10.
Kumbe maaskofu wote ni zero kichwani?Glenn,
Unadhani Maaskofu wameelewa?
Msikiti una uhusiano gani na DPW?
Masheikh ni tofauti na Maaskofu hawana uwezo wa kuikaripia serikali wala kumfukuza mtu msikitini wala kufuta dhambi zake.
Kumbe upo vitani huku na hujanishtua wakunyumbaKumbe maaskofu wote ni zero kichwani?
Walikurupuka bila kuusoma mkataba?
Masheikh ndio waliuelewa zaidi?
Nyie watu dini imeharibu.
Tunajua fika mnachokitetea nyuma ya mlango wa DPW.
Katika hili tutaambiana bila woga.
Tutawanyooshea kidole bila woga.
Tutawakemea tena na tena.
Nasemaje?
Bwana huwalinda wasio na hila; Nalidhilika, akaniokoa.
Zaburi 116:6