Mwita...watayamiss madini yako
Kijakazi,na mimi pia nina swali, je bila ya Kanisa A.Sykes angesoma na kuelimika kama alivyoelimika? Je, elimu yako Mzee Mohamed kuna mchango wowote ule wa Kanisa? Kwa maana nyingine, je, unatambua mchango wa kuja kwa Ukristo na Elimu mliyoipata Tanzania?
Hili nalo neno.na mimi pia nina swali, je bila ya Kanisa A.Sykes angesoma na kuelimika kama alivyoelimika? Je, elimu yako Mzee Mohamed kuna mchango wowote ule wa Kanisa? Kwa maana nyingine, je, unatambua mchango wa kuja kwa Ukristo na Elimu mliyoipata Tanzania?
Glenn,Hili nalo neno.
Muulize...madrasa ingetosha kuwafungua macho kiasi kile?
Mzee Mohamed Said amejipambanua kuwa ni mwanaharakati wa dini yake.Hata akiwa mimi ndiye adm na ukaleta upotoshaji nakupiga block.
Kuna wakati mnapandikiza uongo ili uwe kweli sababu mnaweza kuunda kutokana na kusikia kutoka kwa waliokuwepo na ambao hata wao kuna mengine wana_adjust au updates to new version of history.
Mada zako hizo ni kwa Mwl. Nyerere tu au hata issues nyingine za mapinduzi ya zanzibar unawaandikia huko groupuni?.
Kijakazi,
Nimeanza madrasa Msikiti wa Ijumaa Moshi, Mtaa wa Chini kwa Maalim Mussa.
Nimeanza darasa la kwanza Lutheran Primary School, Moshi ndani ya kanisa.
Nimesoma Kinondoni Primary School kisha St. Joseph's Convent Dar-es-Salaam.
Kabla la Wamishionari kujenga shule Waislam Pwani ya Afrika ya Mashariki ndiyo walikuwa watu wa kwanza kuelimika katika madrasa wakisomeshwa na zile 3Rs yaani Reading, Writing na Arithmetic wakitumia maandishi ya Kiarabu.
Elimu haikuanza na Wamishionari.
Glenn,Mzee Mohamed Said amejipambanua kuwa ni mwanaharakati wa dini yake.
Huwa najiuliza kuwa ni yeye pekee ndiye anaijui historia ya kweli ya nchi hii?
Kwanini lazima ahusianishe historia na dini?
Kuna kitu kinatia shaka.
Kijakazi,Lakini swali langu ni kama unatambua mchango wa Kanisa katika kutoa Elimu na kuelimisha jamii yote wote Waislamu na wasio Waislamu, mfano hata Lugha ya Kiswahili grammer karibia yote kama tuijuavyo leo hii Kanisa lina mchango wake, Kiswahili kilikuwa kinaandikwa kiarabu ingawaje Kiswahili siyo Semitic languages bali ni familia ya Bantu languages jambo ambalo limesaidia watu wengi sana ambao ni Wabantu kujifunza Kiswahili kwa urahisi na kuenea nchi nzima, moja ya sababu kuu ni kwamba mwanzoni Kanisa la Tanzania ya leo lilitumia Kiswahili na kutengeneza grammer kama tuijuavyo leo hii, sasa nini maoni yako kuhusu mchango wa Kanisa na Ukristo katika ustawi wa jamii wa nchi yetu kihistoria?
Sio kwamba sipendezwi bali naona unaelemea upande wa dini kuliko uhalisia.Glenn,
Mimi ndiye niliyebahatika kufunguliwa Nyaraka za Sykes na kutokana na nyaraka hizo nikaandika kitabu.
Ndiyo sababu ya mimi kuijua historia hii.
Na ndiyo sababu wengi wameisoma historia hii kutoka kwangu.
Historia hii ina uhusiano mkubwa na harakati za Waislam kupambana na ukoloni.
Ikiwa hupendezewi na ukweli huu hiyo ni bahati mbaya kwako.
Mmmh hii kauli inaukakasi sana.Kijakazi,
Wamishionari na serikali walihujumu madrasa za Waislam zilizokuwa zikisomesha Waislam kwa kupiga marufuku matumizi ya herufi za Kiarabu na kulazimisha matumizi ya herufi za Kirumi.
Elimu ikawa chini ya shule za wamishionari na serikali na ikatolewa kwa kuwabagua Waislamu.
Kijakazi,
Wamishionari na serikali walihujumu madrasa za Waislam zilizokuwa zikisomesha Waislam kwa kupiga marufuku matumizi ya herufi za Kiarabu na kulazimisha matumizi ya herufi za Kirumi.
Elimu ikawa chini ya shule za wamishionari na serikali na ikatolewa kwa kuwabagua Waislamu.
Binafsi naamini kanisa limejaza watu ujinga (mass brain washing) kwa mgongo wa elimu.Lakini swali langu ni kama unatambua mchango wa Kanisa katika kutoa Elimu na kuelimisha jamii yote wote Waislamu na wasio Waislamu, mfano hata Lugha ya Kiswahili grammer karibia yote kama tuijuavyo leo hii Kanisa lina mchango wake, Kiswahili kilikuwa kinaandikwa kiarabu ingawaje Kiswahili siyo Semitic languages bali ni familia ya Bantu languages jambo ambalo limesaidia watu wengi sana ambao ni Wabantu kujifunza Kiswahili kwa urahisi na kuenea nchi nzima, moja ya sababu kuu ni kwamba mwanzoni Kanisa la Tanzania ya leo lilitumia Kiswahili na kutengeneza grammer kama tuijuavyo leo hii, sasa nini maoni yako kuhusu mchango wa Kanisa na Ukristo katika ustawi wa jamii wa nchi yetu kihistoria?
Binafsi naamini kanisa limejaza watu ujinga (mass brain washing) kwa mgongo wa elimu.
peleka kelele jikoni. Kimaadili ya kiislamu, wanaume wakiongea unafunga bakuli lako hilo. Kenge kabisaUmeiona video clip au umekurupuka tu?
Mzee wangu usipoelewa utafukuzwa magroup mengi sana.Niqu...
Hili swali la dini nimelijibu mara nyingi sana.
Wananitimua kwa kuwa wao wangependa historia ya Mwalimu Nyerere ibaki kama ilivyoandikwa.
Mimi kuja na historia ya Abdul Sykes na wazalendo wengine hawakupenda.
Itazame video ya Earle Seaton iko hapa uone vipi mwaka wa 1950 hadi 1952 yeye na Abdul Sykes pamoja na TAA Political Subcommittee walivyoweka mikakati ya kufungua maongezi na UNO.
Wao wangependa haya yasiwepo wanaona inaharibu historia ya Julius Nyerere.
Lakini ukweli ni kuwa Nyerere hakuwapo.
Hapa dini iko wapi?
Au kwa kuwa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Said Chaurembo walikuwa wajumbe wa TAA Political Subcommittee?
Au kueleza historia hii ndiyo kumsema vibaya Mwalimu Nyerere?
Hapana, siyo dunia nzima, rudi kafanye homework. Mfumo huo tuliletewa wajinga ndiyo waliwao. Hata waliotuletea hawaufati.inawezekana uko sahihi labda lkn kulinganisha na nini au mfumo gani? Dunia nzima inafwata mfumo wa Kanisa kwa maana western capitalistic system ni christian bila ya Kanisa kusingekuwepo na mfumo huu wa kiuchumi unaotawala Dunia ya leo, mfumo ambao umerahisisha maisha na ku uplift maisha ya watu klk mfumo wowote ule kuwahi kutokea Duniani, hakuna kipindi ambacho binadamu ana maisha ya nafuu kama leo hapa Dunia thanks to capitalism, hivyo kusema kwamba Kanisa limejaza watu ujinga unaweza kuwa uko sahihi lkn kulinganisha na nini?
Glenn,Sio kwamba sipendezwi bali naona unaelemea upande wa dini kuliko uhalisia.
Na ilikuwaje hizo nyaraka upewe wewe peke yako?.
Insonywsha ulikuwa bado kijana, ilikuwaje ukapewa umuhimu huo na si wengine?
Kwa hiyo wewe ndiye mwenye historia ya Tanganyika kwa usahihi?
Tujadili kwa amani tu
Nje ya mada naomba nikuulize hivi nini sababu ya kutokuwepo uraia pacha?.NIMEFUKUZWA TENA
BAADA ya kuweka video hii ya TBC nikatolewa kundini:
View: https://youtu.be/-bwoz3jI7RA?si=rJdx_0PlMIHxm4Wm
Nilikuwa kwenye group moja nikafukuzwa naamini wengi mlisoma makala ile.
Bahati nikawa nimebakia katika group kwa no. yangu nyingine ambayo siitumii sana na kwa sababu hiyo ikawa sijui kama bado niko kundini.
Nikajiambia mwanzo hapa nimetimuliwa kwa makala niandikazo na moja ya sababu nilielezwa sielezi vizuri historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Nikaamua kuanzia sasa hapa kundini nitaweka vipindi nilivyofanya na TBC, AZAM na stesheni nyingine na vikarushwa kwa wananchi wote wa Tanzania.
Niliamini kwa kufanya hivyo nitakuwa nimewadhihirishia viongozi wa group kuwa Mohamed Said anakubalika hadi na vyombo vikubwa ikiwemo TBC.
Nikaweka video kama tatu hivi nazungumza historia ya Baba wa Taifa. Haikunisaidia kitu.
Nadhani nimedumu kundini kwa siku kama tatu hivi leo wamenifukuza.
Inaelekea historia ya Mwalimu Nyerere itakiwayo ni ile ya zamani yuko peke yake wasitajwe wenzake
Mashehe darasa la pili B wanajiona waarabu kisa wanaongea kiarabuGlenn,
Unadhani Maaskofu wameelewa?
Msikiti una uhusiano gani na DPW?
Masheikh ni tofauti na Maaskofu hawana uwezo wa kuikaripia serikali wala kumfukuza mtu msikitini wala kufuta dhambi zake.