Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Watu hawana shida nae! Shida ni pale wanyonge wanapoumizwa na serikali yeye anawatungia nyimbo kuwa wacha akae kimya!
Shida ni kuungana na watesi ...
Shida ni yeye kuchukia wenzake!!
Shida ni kutosamini michango ya mashabiki wake akiamin hawana mchango kwake
 
Kwani angeshinda diamond ingetokana na mahaba yenu wakurya?

Eti kapiga pigo za kimasai, nani alimuambia BET wanagawa tuzo za kihuruma?
 
Kama ni hivyo basi wachawi tuko wengi, uchawi huu naupenda na nitakosana na mtu ambaye atajaribu kuutoa
Ulikosea mkuu chimba shimo uji fukie!! Mondi anamkwanja mrefu wa kutosha!! tuzo nini bana!! aliyoikosa si kitu kwake! Na bado komaa na uchawi wako tu!! kwanza mbinguni huendi!!! shetani wako huyo atakudamp tu baada ya kukutumia!!

Yako hayo ni kawaida tangu zama, Yesu watu walifurahia kusurubiwa kwake!! mpaka leo watu wanafurahi alikomeshwa!!! lkn haimuzuiii kula Bata Mbinguni kwa Mungu, shetani na nyie wafuasi wake vimbeni mpasuke ndo ilivo!! Mond alisha pata tuzo nyingi, na atapata nyingi! kufeniiiiiiiiiii
 
Kwa upande wangu nimesikitika, japo angeshinda kwa manufaa ya familia yake na watu wanaomzunguka, kuhusu vaz kapendeza, katangaza utalii, alafu kasubutu, kijana mwenzetu, si haba kuwa watatu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuendelee kujuana alivaa mpaka kimasai lakini bado kaambulia[emoji874]
 
Hiyo ni kawaida kwa msanii yoyote dunia au mtu anayetaka kuishi kwa matukio

Ova
 
Eti tuzo sio kitu, baada ya kuzirukia banana na kuzikosa

Mkwanja wa mond mimi unanihusu nini kama tu baba yake mzazi haumjui?

Kipi kinachowafanya mfikirikie wingi wa pesa za diamond ndio chanzo cha watu kutomkubali?

Diamond ana pesa kumzidi mo? Huko kote mbali, AY ana mkwanja ushawahi ona mtu ana mkandia?

Unataka kujenga hoja kua wasiokubalika wote ni masikini, hivyo diamond ana mkwanja kumzidi manji, baharesa na mo?

Sina haja ya kwenda mbinguni na ndio maana sipendi kufa, ningepata option ya kutokufa mbinguni mngeenda nyinyi mi mngeniacha
 
Kweli Huna haja na Mbinguni wewe ni shetani hasa!! ndo maana uko ivo mahala pako!! hatukushangai!! na huwezi kutushusha sisi kamwe!! tutakuwa juu Daima km kaka yetu Yesu!! tutakuchoma tu siku moja! moto ndo zako subiri. nenda kalale kuzimu!!

Bakhresa hana hela yule!! zaidi ya kufuga majini!! hela za ndago zile ulimpa wewe shetani!! huyo atamzidi Oginga Odinga?? familia ya Kenyata ina hela ukoo mzima!! Mwita Gachuma yule pale hela yake siyo ya Majini.ana viwanda mpka Angola!!

Mengi ana kampuni kibao Dubai!! juzi tu Mondi kafungua kiwanda cha vijiti Japani hela halali ile na bado anapaa kimuziki !! amini nakwambia andaa shimo kabisa uingie ujifukie....
 
Mimi ni shabiki wake lakini katika hili nilisimama pamoja na wanaharakati maana yeye alisimama na wauaji na watesaji kipindi cha utawala wa yule dikteta

Lazima watu waheshimu haki za binadamu
 
Kama ni hivyo basi wachawi tuko wengi, uchawi huu naupenda na nitakosana na mtu ambaye atajaribu kuutoa
Scars manake majikovu wa la maisha!! utakoma na badooooooo!!! zitamiminika hivi na sisi tunapiga maombi weye shetani huwezi kitu!! ulishindwa calvary vibaya na mpaka leo unashindwa tu!! wewe ni mtu wa kushindwa tu Yesu wetu akisema ndiyo ni ndiyo tuuuu!!

MONDI HOYEEEEEEEEEE!! kajinyonge babu
 
Na vile alivyovaa kimasai ndo katia kinyaa kabisa!
Hahahahaa!!!kaka upooo!???Leo angeshinda humu kuna watu wangeanzisha thread 1000 na ushee...pole yao machawa wake!!wamepoa balaa
 
Showbiz huenda na show-off, ndiyo branding. Wanaomnanga Sadala kwa show-off basi celebrities wa Nigeria ndiyo wamezidi, na ukija USA ndiyo balaa kwenye hizo show-off na bragging.

Kwenye siasa nadhani kidemokrasia kila mtu ana uhuru wa ku-support chama akipendacho, freedom of choice.
BET mshindi alistahili, ni msimu mzuri kwake ndiyo maana hata Grammy aliibeba.

Kushangilia Sadala kukosa tuzo naona ni kitu cha ajabu na ninaamini ni wivu, kumuonea mtu wivu mpaka kuwa hater kwa mtu usiye na connection naye ya aina yoyote ile naamini ni matatizo ya kisaikolojia kwani hiyo huambatana na self hate.

Kutokumpenda huyo Sadala na hata kuto kumsupport ni kitu cha kawaida, si sheria wala lazima kuwapenda watu wote, ndiyo dunia halisi ilivyo.

Ukweli utabaki kuwa dogo ni fighter, anapambana na habweteki. From grass to grace, yaani hapo madogo wengine ingekuwa kila siku ni kupombeka, mabangi na unga lakini dogo bado anakesha studio karibu kila siku.

Bado ana malengo makubwa kikubwa aongeze maarifa kwani hardworking peke yake haitoshi.
 
Kwa hiyo kwenye BET yesu alisema No kwa diamond?
 
Kwa hiyo kwenye BET yesu alisema No kwa diamond?
Halafu ukisha kuwa Shetani ni li Shetani tu!! kamwe halita jua kitu!! yesu ndo nani sasa??? inaonyesha hata humujui kaa na ujinga wako huko kwani Shetani wenu hawafundishi jinsi ya kujitaja?? na kuhakikishia Hautamjua kamwe pamoja na kukufundisha wazi!!
 
Sawa paroko kimahubiri sikuwezi naona kila sehu unaifanya madhabahu

Ila sijajua kwanini hukumshikirisha Yesu kwenye tuzo za BET

Ni kweli unahubiri yesu anaponya, ila sio kwenye BET mkuu
 
Haters mnasahau kuwa tuzo ya bet haijapunguza kitu chochote miongoni mwa vitu vilivyosababisha chuki zenu kaa diamond,Kumbukeni hii ni tuzo ya tatu kupotza lakini bado yupo on top.Poleni sana
Haswaaa, haijapunguza kitu bali imemuongezea thamani na kuwajua binadamu walivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…