Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

kama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Umejuaje kuwa hamlei au wewe wa Mkoa!!!!!! ok! hamlei kwa hiyo?? km mlezi hataki je?karidhika unataka atembee nae mgongoni? Sungura Madini unamjua au unaleta zako za Mkoa???
 
Haswaaa , haijapunguza kitu bali imemuongezea thamani na kuwajua binadamu walivyo.
Tena ngoja tuwaongezee nyundo ya Msumari '' Chuki zenu ndo Sala na Mafanikio yetu!! Diamond piga kazi Baba mpaka kieleweke wajifukie na udongo tani saba hao visokolokwinyo!!! Mambo badoooooooooooooO!O!O!O!O!O!O!O!O!O!Oo
 
View attachment 1833467

Pastor umechagua njia nzuri ya kumriwaza ndugu yako, ila pastor kama ulishindwa kukemea pepo la kukana mzazi, pepo la BET utaliweza?
Umeanza ya sizitaki mbichi tena hizi!!! haya wee!!!! lkn mambo badooo mtalia sana!!! mtachukia sana!! lkn hakuna Msamaha!! afadhali Sungura yeye hakuchukia wala kulia lia eti ili akate Mgomba bali alisusa kijanja!! tena mara moja tu!!

Huu wako mkuu bado ni mafano mfu!! leta mwingine '' Siku ya gulio katerelo'' au kabanga ampiga Mkoloni''
 
kama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Hiyo sio kazi yako, akimlea au asipo mlea , lakini ukweli utabaki pale sio baba yake mzazi, kama hataki ubini utumike taratibu zipo, na Diamond amempa Go ahead
 
kama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Najua wajua ya kuwa km ipo ipo tu Baba!! na Mungu akisema Yes..........Majibu unayo!! piga ua galagaza yes ya Mungu haipingwi mtafurahia anguko dogo sana lkn yanakuja makubwa na tegemea makubwa ya kuku maliza

Najua utakuwa umesharudi kuzimu kumwambia Shetani ilivyo ngumu kumshusha Mond na kwa taarifa yako ni kawaida ya Shetani atakumaliza huenda ndo tusikuone humu tena!!

Kwenye kazi zake shetani hatakagi mchezo wa kushindwa yule bwana namjua fika mie !! wewe km mjanja nikuombee sala ya toba sasa hivi uachane nae!! hatakuweza ila tu usiwe Mwoga. SEMa km uko tayari
 
Umejuaje kuwa hamlei au wewe wa Mkoa!!!!!! ok! hamlei kwa hiyo?? km mlezi hataki je?karidhika unataka atembee nae mgongoni? Sungura Madini unamjua au unaleta zako za Mkoa???
Kwani we ndo msemaji wa familia?

Mara ngapi waandishi wa habari wamekua wakionesha mazingira yake yalivyo duni kiasi cha kuto afford basic needs properly?
 
Umeanza ya sizitaki mbichi tena hizi!!! haya wee!!!! lkn mambo badooo mtalia sana!!! mtachukia sana!! lkn hakuna Msamaha!! afadhali Sungura yeye hakuchukia wala kulia lia eti ili akate Mgomba bali alisusa kijanja!! tena mara moja tu!! huu wako mkuu bado ni mafano mfu!! leta mwingine '' Siku ya gulio katerelo'' au kabanga ampiga Mkoloni''
Analia nani kati ya aliye loose na aliye win?

Aliye loose kama analia basi ujue kilio cha furaha iliyo zidi, ila huyo kibopa ni uchungu
 
Hiyo sio kazi yako, akimlea au asipo mlea , lakini ukweli utabaki pale sio baba yake mzazi, kama hataki ubini utumike taratibu zipo, na Diamond amempa Go ahead
Ni kweli sio kazi yangu kwasababu sijari, ila nilikua najibu kwa wanaomuona kama ni mtu fulani hivi mwenye roho nzuri asiye stahili kupingwa kwa mambo yake
 
Najua wajua ya kuwa km ipo ipo tu Baba!! na Mungu akisema Yes..........Majibu unayo!! piga ua galagaza yes ya Mungu haipingwi mtafurahia anguko dogo sana lkn yanakuja makubwa na tegemea makubwa ya kuku maliza...
Sala ya toba kamuombee sadala probably ata change na kumsaidia baba yake

Kama huoni tatizo kwa sadala dhidi ya baba yakr basi we ndio unahitaji zaidi kuombewa kuliko mimi
 
Kiukweli umeyumba kinoma Mondi everywhere anakubalika atakama kakosa tuzo leo...iko siku ataipata so tusubiri time will tell na pia punguza wivuu sometime sio mzurii """Naomba kuwasilisha"""
 
Ifike kipindi tuanze kubadili mioyo yetu kuelekea kujenga upendo na mshikamano kama zamani.
Yaliyopita si ndwele. Hizi hate tulipandikizwa lakini sasa tuna nafasi ya kuziondoa.
 
Back
Top Bottom