ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hongera Kibakuli kwa kuchukua tuzo ahahahahahahChawa huko insta wanatukana balaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Kibakuli kwa kuchukua tuzo ahahahahahahChawa huko insta wanatukana balaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah kazi za maskini ndio hizi Sasa😂😂... Anyway Dua la kuku halimpati mweweNisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania.
Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa tuzo tujuane hapa.
Leo napiga bia nyingi kufurahia tuzo ya burnaboy [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Wanyonge gani waliumizwa? Wewe ulitunga wimbo gani kupiga kelele.Watu hawana shida nae! Shida ni pale wanyonge wanapoumizwa na serikali yeye anawatungia nyimbo kuwa wacha akae kimya!
Shida ni kuungana na watesi ...
Shida ni yeye kuchukia wenzake!!
Shida ni kutosamini michango ya mashabiki wake akiamin hawana mchango kwake
Sio kwa chuki hizi kwa Hayati JPM, Au ni cheti feki weweLile likofia la Magu linamtosha
Diamond ana wivu na nani?Nisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania.
Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa tuzo tujuane hapa.
Leo napiga bia nyingi kufurahia tuzo ya burnaboy [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Hahaaaa.. Ila angeshindaa tungetukanwaaa!Nipo hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan leo nna furaha, utadhani nimepata sakramenti ya komunio. Hahah
People can always learn a hard way!!!Nisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania.
Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa tuzo tujuane hapa.
Leo napiga bia nyingi kufurahia tuzo ya burnaboy [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Vipi dea?[emoji1786][emoji1786][emoji1786]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyukilia alipigwa domokaya wako jana, japo alienda kiulinzi kabisa, poleeeeehMpambano gani nakusikiliza ili nishushe nyuklia nzito nzito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh kwa kuteseka. Kunywa maji mengi na u relaaaaax.Vazi la kimasai ni Vazi la kizalendo achana na masuti ya kikoloni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maumivu yakizidi muone daktari.Hongera Kibakuli kwa kuchukua tuzo ahahahahahah
Kwanza nchi ingesimamaa kwa muda wa siku 21,Hahaaaa.. Ila angeshindaa tungetukanwaaa!
Yule International acha kumlinganisha na wauza mitumba wa kkoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyukilia alipigwa domokaya wako jana, japo alienda kiulinzi kabisa, poleeeeeh
Maji ya nini kashindwa na Burnaboy , au unafikiri Kashindwa na Kibakuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh kwa kuteseka. Kunywa maji mengi na u relaaaaax.
Acha kujidanganya wewe za uso umpe mama Dangote humjui hakujui ahahahahha team Kibakuli mnapenda kujiaminisha ujinga sana[emoji23][emoji23][emoji23] mama dangote kapost muhemko wake, kapewa za uso na wana, huko aliko anajuta kuwafahamu wa Tz.
Kashindwa na best musician, hajashindwa na Kibakuli wala Mmakonde ahahahahaha sawa team Kiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maumivu yakizidi muone daktari.
Watoto wake damu anao wamuhudumie, aache kuangaika na watoto wakambo hawaeleweki ahahahahahaNasikia Mzee Abdul Jana kalala usingizi murua kabisa.
Baada ya diamond kukosa tuzo..