Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Mkuu Ashakum si matusi ila hii ni mindset ya kipumbavu.

Being an artist sio lazima ufanye show off. Show off ni utoto na ushamba. Pitia kwenye Instagram ya Taylor Swift, Ed Sheran, Justin Timberlake uone kama wanaposti sijui magari n.k! na wanapendwa vibaya sana

Tengeneza muziki mzuri, jibrand, connect na your fans inatosha, sio lazima uoneshe magari yako sisi yanatuhusu nini. Kushow off ni sawa unawakomoa watu wanaonunua muziki wako na kukusupport. Its nonsense.


Alafu mbona kina Mo wana mipunga mingi na hawana show off? Ushawahi kuona simu ya Kusaga?

Kimachonishangaza ana show off Bongo hii hii ambayo kuna watu wanaacha kunnua chakula waweke bando wakastream ngoma zake. Nonsense!
Unatoa mifano ya akina Justin Timberlake vipi ungetumia mifano ya akina Rick Ross and the likes, kwa kifupi majority ya celebrities wana hulka ya showoff hivi hiyo trend hata Sadala ameikuta na ataiacha. It's part of the game whether you like it or not, mfano wa Mo ni wa kipumbavu kabisa kwani yeye si msanii.
Showoff unazoona ona ni ushamba yeye ndiyo strategy yake na inamlipa hivyo kama ataiacha kwa sababu ya kelele za haters ndiyo itakuwa ni ushamba, aendelee kuwa focused na kuamini strategy na instincts zake kwani ndiyo vimemumfikisha alipo sasa mpaka watu wanaojifanya intellectuals wihangaika kumosoa na kutamani aporomoke kisanaa wanamfanya topic kwa kupoteza muda wao wakimjadili huku mioyo yao imejaa chuki dhidi yake.
 
Unatoa mifano ya akina Justin Timberlake vipi ungetumia mifano ya akina Rick Ross and the likes, kwa kifupi majority ya celebrities wana hulka ya showoff hivi hiyo trend hata Sadala ameikuta na ataiacha. It's part of the game whether you like it or not, mfano wa Mo ni wa kipumbavu kabisa kwani yeye si msanii.
Showoff unazoona ona ni ushamba yeye ndiyo strategy yake na inamlipa hivyo kama ataiacha kwa sababu ya kelele za haters ndiyo itakuwa ni ushamba, aendelee kuwa focused na kuamini strategy na instincts zake kwani ndiyo vimemumfikisha alipo sasa mpaka watu wanaojifanya intellectuals wihangaika kumosoa na kutamani aporomoke kisanaa wanamfanya topic kwa kupoteza muda wao wakimjadili huku mioyo yao imejaa chuki dhidi yake.


Boy, uko sawa sana kwenye haya maelezo. Fif kwenye live interviews always anakwambia I've got money. Chris Rock sio mwimbaji lakini stand up set zake anasema I'm very rich. Sasa huyo Samuel L. Jackson ndio achana nae kabisa yule babu. Yeye anasema kabisa, I made $35 million this year and don't give a damn f what people say.

Kitu watu wasichoelewa ni kwamba, from zero zero point zero till you make bags of money, why not shouting? Why not showing off? It's inspiration for me. I could do the same too. Like telling your people look at what I did. You can do it too. But brothers get jealous instead.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Unampa pole mwakilishi wa Africa Mashariki na kati huko BET ahahahahah ila team Kibakuli ni tatizo ahahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kavaaa km mlinzi wa sungu sungu na bado akakalishwa,
 
Hao ni team Kibakuli wana hasira maana Ata tuzo za Zumari hawapo ahahahahha haha

Ulitaka avae kanzu kama kibakuli ahahahhahah yule sio imamu wa msikiti , masai ni waafrika wenzetu hakuna tatizo
Ila yule mlinzi wa sungu sungu, alikua abashangaa pale Red carpet, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mjomba anavyopenda show off, nimeona mavideo huko YouTube anapewa hugs na Swizz beat, Alicia Keys, Dj Khaleed, Rick Ross. Yaani hao watu we huwezi kuwasogelea hata mita tano tu. Hizi chuki nyingine ni ukosefu wa elimu tu. Na ndio mtaburuzwa sana kwa upumbavu wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kavaaa km mlinzi wa sungu sungu na bado akakalishwa,
Lile Vazi la kiafrica, na zile ni tuzo za watu weusi, ulitaka avae kanzu kama kibakuli ahahahhahah
 
Hakuna wa kumsumbua mama Dangote, yule ni mama Staa aswa ndio maana mnakesha kwenye page zake ahahahahaha
Mie nikeshe kwenye page yake nigundue nn? Ile siku nlikuta post yake nkasoma comments ndo nkaona makavu yanavoshushwa na wana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maumivu hayajakwisha tyuuh? Au upewe dawa 3
Maumivu gani tena team Kibakuli mwaka huu mtapata uchizi, watu wako US wanaendelea na maandalizi ya Albam ya dunia ahahahahha
 
Mie nikeshe kwenye page yake nigundue nn? Ile siku nlikuta post yake nkasoma comments ndo nkaona makavu yanavoshushwa na wana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wewe ulete humu habari ya mama dangote halafu unatuuliza sisi ukeshe ugundue nini? ahahahha kati ya wewe na mama Dangote nani anaangaika na mwenzie? ahahaha mashabiki wa Kibakuli ahahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazungu hawana time na ulinzi shirikishi, kwani sadala hakua anajua hilo?
Wazungu ndio wamemnominate, au ulijua wana shida na kanzu za Kibakuli ahahahhahah ah
 
Back
Top Bottom