ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Diamond usiiache ccm kabisa, hao wa chadema kwani wamekushinda nini?endeleeni kumtia moyo ndugu yenu
Ila hakikisheni mnavaa kondomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond usiiache ccm kabisa, hao wa chadema kwani wamekushinda nini?endeleeni kumtia moyo ndugu yenu
Ila hakikisheni mnavaa kondomu
Zile tuzo ilikuwa ni mtego wa kutoka kwa Shetani ili ammalize Mondi kimuzuki!!! ndo maana hazikwenda kwake!!Sawa paroko kimahubiri sikuwezi naona kila sehu unaifanya madhabahu
Ila sijajua kwanini hukumshikirisha Yesu kwenye tuzo za BET
Ni kweli unahubiri yesu anaponya, ila sio kwenye BET mkuu
Ulitaka apewe na BET ya Mbowe ahahahahahaAtapewa na Bet ya ccm
kama ambavyo burna haiachi tuzoDiamond usiiache ccm kabisa, hao wa chadema kwani wamekushinda nini?
Zile tuzo ilikuwa ni mtego wa kutoka kwa Shetani ili ammalize Mondi kimuzuki!!! ndo maana hazikwenda kwake!!
Pastor umechagua njia nzuri ya kumliwaza ndugu yako, ila pastor kama ulishindwa kukemea pepo la kukana mzazi, pepo la BET utaliweza?kwa mfano Shetani aliwahi kumpatia Yesu Mikate ale wakati wa mfungo!
lkn sasa Shetani alivo muongo akamdanganya eti ni Mawe!! hapo alimajaribu kuona km anajua ni Mawe! ili sasa Yesu ale japo ni kweli alikuwa na Njaa ya Mfungo!! na alijua kweli yale si mawe ni Mikate! lkn alikataa!
Shetani alitaka Yesu amuulize mbona haya wanipa ni mawe?? lkn sasa Shetani akapewa jibu tofauti!!, Shetani akachoka mbaya!!! Sawa na Mtoa tuzo alivoitoa kwa mshindi tofauti but kwa mazingaombwe kichawi.... Ndo maana Mondi hakujuta kuikosa!!
Ndo sawa na hii tuzo aliyoikosa Mondi!!! lilikuwa ni bonge la mtego wa Mikosi, na lile limkosi ndani ya tuzo ndo lingemmaliza kimuziki wengi hawakujua!! we subiri uone kwa huyu aliyeipokea ndo itakuwa hiyohiyo!! usipende kupata kila kitu!!! ni hatari!!
vingine viache vipite
Hakuna shida kukosa tuzo mbele ya Burnaboy maana uwezo anao, shida ni kukosa tuzo kwa vimeo , ccm mbele kwa mbele, kwani hao wakina Roma wasio ccm wamepata nini?kama ambavyo burna haiachi tuzo
Kama mtu sio baba yake unamlazimisha?ahahahahahaView attachment 1833467
Pastor umechagua njia nzuri ya kumriwaza ndugu yako, ila pastor kama ulishindwa kukemea pepo la kukana mzazi, pepo la BET utaliweza?
hata shida ingekuwepo who cares?Hakuna shida kukosa tuzo mbele ya Burnaboy maana uwezo anao, shida ni kukosa tuzo kwa vimeo , ccm mbele kwa mbele, kwani hao wakina Roma wasio ccm wamepata nini?
Sasa shobo za nini kutumia jina lake kama sio mzazi wake?Kama mtu sio baba yake unamlazimisha?ahahahahaha
Baba mlezi sio baba mzazi ni kawaida kutumia jina sio jambo la ajabu, kama huyo baba mlezi hataki taratibu zipoSasa shobo za nini kutumia jina lake kama sio mzazi wake?
Roho mbaya tu kama mchawi.Nisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania.
Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa tuzo tujuane hapa.
Leo napiga bia nyingi kufurahia tuzo ya burnaboy [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Who cares? kutwa kuangaika na nyuzi za diamond mpaka unamlazimishia mzazi wakati kasema sio baba yake mzazihata shida ingekuwepo who cares?
Mbona alishakosa sana hii mara ya 3 au wewe unasema maumivu gani?Ajue maumivu ya kukosa na kushindwa, sio kila siku kuwapiga spana wasanii wengine na kuwaona mbuzi tu!
kama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?Baba mlezi sio baba mzazi ni kawaida kutumia jina sio jambo la ajabu, kama huyo baba mlezi hataki taratibu zipo
Mbona alishakosa sana hii mara ya 3 au wewe unasema maumivu gani?