Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729

Previously wimbo ulikua wa kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.

Source:


Yericko Nyerere

Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho wimbo wa "Chadema" ulioimbwa na Vijana wa Mh
@MsigwaPeter ili uwe wa kampeni za Urais/kitaifa. Tumefanikiwa kupata kiasi cha 1,051,000/=. Tayari maboresho yamefanyika, Wimbo uko tayari kwa matumizi ya kampeni.

UPDATE
Wimbo mpya huu hapa
 
Huu wimbo waingize maneno ya Lissu na wabunge na madiwani wa Chadema Ni mzuri sana kwa kweli!!

Kweli kusini mwa Tanzania wana roho kama za wa South Africa. Hii nyimbo ni kama nyimbo za freedom fighters wa South Africa. Ni hatari kwa kweli!!
 
Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.

Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!

Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.

Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!

Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
 
Wimbo ukitumiwa vizuri utawapa CDM Mileage! Watanzania tunashawishika na vitu vidogo
Huu wimbo ni hatareeeee!!! Unakupa mzigo wa kwenda kupiga kura kumpiga Lissu, wabunge na madiwani wa Chadema hata kama ulikuwa hujisikii kwenda kupiga kura!!

Mungu wabariki na kuwawezesha Chadema kwa Jina la Yesu!
 
Wimbo ukitumiwa vizuri utawapa CDM Mileage! Watanzania tunashawishika na vitu vidogo
Ule wimbo wa ''CCM ni ile ile.... Wacha waisome namba eeh'' uliwapa sana political capital CCM. Ulikua na amsha amsha balaa
 
Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.

Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!

Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.

Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!

Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
Wonderful idea [emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Wimbo upo vizuri una bit fulani ya harakati zama zile South Africa. Mwalimu JK aliwahi kusema " kaburu ni kaburi tu hata akiwa mweusi..." Kaburu aliwabagua weusi SA , leo yupo anabagua watu kwa uchama, kipato nk " mtajuta, nakamua majizi na mafisadi..." Mnajua kwanini barabara ya lami iliishia kwa Kagi, ndio maana hamna taa za barabarani...."
 
Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.

Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!

Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.

Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!

Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
Kitengo cha habari maelezo Chadema bado kinapwaya sana. Na hawafati ushauri sijui kwa nini
 
Huu wimbo ni hatareeeee!!! Unakupa mzigo wa kwenda kupiga kura kumpiga Lissu, wabunge na madiwani wa Chadema hata kama ulikuwa hujisikii kwenda kupiga kura!!

Mungu wabariki na kuwawezesha Chadema kwa Jina la Yesu!
Hata huu mkuu unamizuka sana


Nakumbuka ulipigwa pale Mbagala wakati Lissu anasindikizwa, ulileta hamasa sana kila mtu anaruka ruka tu.

Hizi burudani zina nafasi yake kwenye hamasa za kampeni.
 
Back
Top Bottom