Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio CHADEMA tu taasisi nyingi bongo upande wa TEHAMA tunafeli sana, ukiingia mpaka website za taasisi kubwa unakuta update ya mwisho ni miaka 3 iliyopita.Kitengo cha habari maelezo Chadema bado kinapwaya sana. Na hawafati ushauri sijui kwa nini
😄Dogo mmoja hivi baada ya kuibuliwa na Diamond CCM wamemparamia kama wao ndo walimuibua 😂😂😂
Hii nyimbo itupiwe na vibinzo vya Lissu na MboweSiku moja nikiwa mbeya ,ulipigwa kwenye kampeni za sugu da wakinamama wa chadema mbeya wanajua utendea haki Sana wimbo huu,
Iko poa lakini na hii nyingine ni kali zaidiHuu wimbo mkali sanaa wauachee huu huu
Nimeipenda comment yako.Siku moja nikiwa mbeya ,ulipigwa kwenye kampeni za sugu da wakinamama wa chadema mbeya wanajua utendea haki Sana wimbo huu,
Hii ina amsha amsha zaidi lakini hyo ya Aiyaya CHADEMA ipigwe ule muda ambapo kampeni imeisha uchukue nafasi ya One Love ya Bob Marley.Huu wimbo mkali sanaa wauachee huu huu
Yes umeshafanyiwa remix so umekua wa kitaifa utazinduliwa soon kwenye awamu ya 3 ya kampeni.Hii nyimbo itupiwe na vibinzo vya Lissu na Mbowe
Sasa tutaupata wapi for downloadYes umeshafanyiwa remix so umekua wa kitaifa utazinduliwa soon kwenye awamu ya 3 ya kampeni.
Safi sanaYes umeshafanyiwa remix so umekua wa kitaifa utazinduliwa soon kwenye awamu ya 3 ya kampeni.
Sana kwa kweliHii ina amsha amsha zaidi lakini hyo ya Aiyaya CHADEMA ipigwe ule muda ambapo kampeni imeisha uchukue nafasi ya One Love ya Bob Marley.
Watu wakihamasika na hoja alafu ukapigwa huu wimbo aisee kuna morale zinapanda balaa.
Kwa mujibu wa mkuu@zitto junior wameshaufanyia marekebishoHii nyimbo itupiwe na vibinzo vya Lissu na Mbowe
Piga misumali mataga wafie 'mbere'Not really, hiko kibwagizo kimepata umaarufu movie ya ''Sarafina'' nyimbo za kupigania uhuru. Huyo Zuchu kacopy huko so she's a nobody (Other than an overrated C*nt) hata afikie level ya kuigwa na CHADEMA!!
Youtube mkuu maana nyimbo zote za CHADEMA zipo. So hta huu utakua uploaded kule bila shakaSasa tutaupata wapi for download
Tunausubiri kwa hamuYoutube mkuu maana nyimbo zote za CHADEMA zipo. So hta huu utakua uploaded kule bila shaka
Nachowapendea CDM wote ni washauri...Chadema bhana...mipango hanna mengine mnakutana nayo huko huko njiani.
Kwasasa tumpatie kura JPM za kishindo baada ya uchaguzi tutawachangia ili mfurahie hilo jisongi lenu [emoji23][emoji23][emoji23].
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mipango gani hamna? Kwa mara ya kwanza tuna mawakala kwenye kila kituo cha nchi hii tokea CHADEMA ianzishwe halijawahi tokea.Chadema bhana...mipango hanna mengine mnakutana nayo huko huko njiani.
Kwasasa tumpatie kura JPM za kishindo baada ya uchaguzi tutawachangia ili mfurahie hilo jisongi lenu [emoji23][emoji23][emoji23].
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI