Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

Hivi ule wimbo wa CHADEMA CHADEMA peoples power mmeupeleka wapi CDM?.

Ulikuwa mzuri zaidi ya huu.

Ila nyimbo zote zitaimbwa lakini CCM mbele kwa mbele wa marehemu Komba ni baba lao.

Acha waisome nambaa eee waisome nambaaa....[emoji3][emoji3]
Mbona upo? Umepigwa sana kwenye kampeni hizi. hta kule Tarime, Geita ulipigwa sana hzi kampeni unless unafuatilia kampeni ukiwa unategemea TBC.
 
Mipango gani hamna? Kwa mara ya kwanza tuna mawakala kwenye kila kituo cha nchi hii tokea CHADEMA ianzishwe halijawahi tokea.

Kwa mara ya kwanza tumesimamisha wabunge na madiwani wengi kuliko chaguzi yoyote ile.

CHADEMA inatumia zaidi kanda zake kwenye kuandaa kampeni ndio maana kila anapopita mgombea Urais anakuta organization tofauti na kampeni za Slaa kila kitu kinaratibiwa ufipa.

Alafu unadai hatuna mipango? Umeona feedback ya mikutano ya Lissu kote alipopita? Hvi huoni kwa propaganda za Magu miaka 5 amepata serious contender tofauti na wengi tulivyofikiria kuwa upinzani umekufa?

Be serious
Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.

Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.

Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.

Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.

Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Sema atatangazwa tu
 
Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.

Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!

Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.


Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!

Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
YES,,,bonge la idea........

Natamani wazo hili lifanyiwe kazi, tena kwa haraka zaidi
 
Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.

Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.

Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Nani aliyekwambia 2015 hatukushinda? Mnapenda kurudia hii hoja sana wakati mnajua ukweli wa kilichotokea mlipovamia Tallying center mbili ya UKAWA na THRDC. Kma huna taarifa usiwe unaropoka tu.

Alafu nyomi ya 2015 ilikua halala maana CHADEMA walifanya M4C kila mwezi kupitia kanda zao so mikutano na kampeni zilikua kila siku kiasi CHADEMA ikafahamika mpaka maporini. Ila 2015-20 hakuna mikutano wala vikao vya ndani so maeneo kma Rukwa/Tabora/Mpanda ambako hatuna mbunge hata mmoja hawakuwahi ona mkutano wa kuuza sera za CHADEMA sasa ulitegemea Lissu alipoenda akute nyomi ni kitu kidogo? Msilinganishe situations ni tofauti kabisa, imagine tumekimbiwa na wabunge kibao na madiwani zaidi ya 200 nani alijua kampeni za Lissu zingepata momentum hivi? Was that the exact situation back in 2015?

Be reasonable
 
Sio CHADEMA tu taasisi nyingi bongo upande wa TEHAMA tunafeli sana, ukiingia mpaka website za taasisi kubwa unakuta update ya mwisho ni miaka 3 iliyopita.

Nadhani ofisi ya msajili wa vyama ilazimu vyama kuajiri professional IT experts ili waendane na mpango wa taifa wa maendeleo eneo la teknolojia. Nilidhani CHADEMA digital ingesolve hili ila naona bajeti wamepewa ndogo sana.
Chief, nawezaje kuudownload huo wimbo....?
Kiukweli una mzuka sana...tutautumia kwenye kampeni za madiwan wetu huku Mara
 
Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.

Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.

Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Magufuli hazidi asilimia 30 za kura za mwaka huu. Kubali kataa. Lissu atamchakaza vibaya saaana!!
 
Magufuli hazidi asilimia 30 za kura za mwaka huu. Kubali kataa. Lissu atamchakaza vibaya saaana!!
Mkuu tusubirie October 28 yaani CCM itawapa somo zuri sana.

Ni ushindi wa kishindo kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Chief, nawezaje kuudownload huo wimbo....?
Kiukweli una mzuka sana...tutautumia kwenye kampeni za madiwan wetu huku Mara
Huu mpya bado haujatoka public, utazinduliwa Lissu akisimama tena jukwaani.
 


Previously nyimbo ilikua ya kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.

Source:


Yericko Nyerere toa mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha tulizochanga kuboresha wimbo!
 
Back
Top Bottom