zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
- #41
Mbona upo? Umepigwa sana kwenye kampeni hizi. hta kule Tarime, Geita ulipigwa sana hzi kampeni unless unafuatilia kampeni ukiwa unategemea TBC.Hivi ule wimbo wa CHADEMA CHADEMA peoples power mmeupeleka wapi CDM?.
Ulikuwa mzuri zaidi ya huu.
Ila nyimbo zote zitaimbwa lakini CCM mbele kwa mbele wa marehemu Komba ni baba lao.
Acha waisome nambaa eee waisome nambaaa....[emoji3][emoji3]