Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hey hey hey ayayaya chadeemaSiku moja nikiwa Mbeya, ulipigwa kwenye kampeni za sugu da wakinamama wa chadema mbeya wanajua utendea haki Sana wimbo huu,
Hahaaaa huu wakupiga sasa hivi badala ya watu kuimba watabaki wanalia nakwambia manake kama namba tumeisoma mpaka za kirenoUle wimbo wa ''CCM ni ile ile.... Wacha waisome namba eeh'' uliwapa sana political capital CCM. Ulikua na amsha amsha balaa
Unafanyiwa remixMbona wimbo bado unamtaja Msigwa mwanzo mwisho? Inakuwaje uwe wa chama huu?
CHAUMA tunakuja na bonge la song soon.
Huu unapigwa in place of one love... Huoni itajenga brand ya chama kila wanakopita.UPuzi mtupu huu,
Wimbo ule ule wa Singeri unatosha
Labda ushindi wa kutumia njia nyingine sio sanduku la kura manake mpaka sasa mnapumulia mashineMkuu tusubirie October 28 yaani CCM itawapa somo zuri sana.
Ni ushindi wa kishindo kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Naona ni vyema ungeenda kuuliza pande zile ule wimbo wa ccm mbele kwa mbele mbona upo doro siku hizi kunani?Yericko Nyerere toa mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha tulizochanga kuboresha wimbo!
Uko wapi sasa tuanze kukariri mabeti. Unafaa kusomba watu mtaani kuelekea ikulu
Previously nyimbo ilikua ya kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.
Source:
View attachment 1590825
Yericko Nyerere
Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho wimbo wa "Chadema" ulioimbwa na Vijana wa Mh
@MsigwaPeter ili uwe wa kampeni za Urais/kitaifa. Tumefanikiwa kupata kiasi cha 1,051,000/=. Tayari maboresho yamefanyika, Wimbo uko tayari kwa matumizi ya kampeni.
Mkuu winbo huo umehaririwa upya, ulipelekwa studio jana, utakuwa kampeni kitaifaSafi sana. Huu wimbo asili yake ni toka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili wa zimbabwe anayeitwa mkhululi bhebhe. Wimbo unaitwa Namata ikiwa na maana ya "pray". Huu wimbo ulipata umaarufu ndani ya Joyous celebration. Huu wimbo ukiusikiliza tafsiri yake ni kwamba wanamkemea shetani. Wanamwambia
"shetani tunakuja kwaajili yako , na mapanga ya injili tukipiga kelele kwasababu wewe huna nguvu."
Mistari yake ya mwanzo hii hapa na tafsiri yake[emoji116][emoji116]
Iwe satani (Hey you Satan!) Hayi!
Tinouya (We're coming) Hayi!
Kwauri (For you) Hayi!
Nomunondo (With the sword) Hayi!
Weshoko (Of the gospel) Hayi!
Tichiti (Shouting) Hayi!
Hauna simba (You have no power) Hayi!
Kuvakomana (On the boys) Hayi!
Nevasikana (And the girls) Hayi!
Vakatengwa (For the've been bought) Hayi!
RaJesu (Of Jesus) Hayi!
Viva Jesu (Long live Jesus) Viva! x4
Naye Jesu (Yes Jesus) Naye! x4.
Hakika aliyefanya hii cover ya huu wimbo kajitahidi sana. Nashauri huu wimbo ungejikita kunadi mgombea urais na kuipraise chadema. Hayo maneno kama 'msigwa' au 'iringa' yanaomdoa radha kwa maeneo mengine mfano arusha. Nawasilisha wadau ni wazo tu.
Wimbo halisi huu hapa
Hii nyimbo tutaiimba huku tukibubujika machozi na kukimbia katika maeneo mbalimbali ya Tanzania tukisherekea ushindi hapo mwezi November mwaka huu.
Kama Mungu Mwenyezi Muumba wa mbingu na ardhi aishivyo lazima hili litokee kwa Jina la Yesu!
Una impact gani? Maana Chadema hii haitakasiki hata ka mafuta ya mawese.
Previously nyimbo ilikua ya kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.
Source:
View attachment 1590825
Yericko Nyerere
Nawashukuru wote mliojitokeza kuchangia chochote kugharamia maboresho wimbo wa "Chadema" ulioimbwa na Vijana wa Mh
@MsigwaPeter ili uwe wa kampeni za Urais/kitaifa. Tumefanikiwa kupata kiasi cha 1,051,000/=. Tayari maboresho yamefanyika, Wimbo uko tayari kwa matumizi ya kampeni.
Jadi hubadirika, kamuulize baba yako bado ana tambika?Wewe jamaa una high spirit ila ukweli ni kwamba Lisu atashindwa vibaya sana.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
basi itakuwa ni bonge la ngoma kwenye kampenMkuu winbo huo umehaririwa upya, ulipelekwa studio jana, utakuwa kampeni kitaifa
Hubadirkaje nielimishe maana mimi ninachojua mila na desturi huwa zinaboreshwa zaidi sio kubadilika..Mmasai anaweza kuacha kuvaa lubega lakini hiyo haimbadilishi kuongea kimasai na kuwa kabila la Mmasai.Jadi hubadirika, kamuulize baba yako bado ana tambika?