Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimefurahi wimbo huu kuwa rasmi wa kampeni CHADEMA

Amini amini nakwambia Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Wewe jamaa una high spirit ila ukweli ni kwamba Lisu atashindwa vibaya sana.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Hii nyimbo tutaiimba huku tukibubujika machozi na kukimbia katika maeneo mbalimbali ya Tanzania tukisherekea ushindi hapo mwezi November mwaka huu.

Kama Mungu Mwenyezi Muumba wa mbingu na ardhi aishivyo lazima hili litokee kwa Jina la Yesu!

Huu wimbo ukikarabatiwa na kuwekwa maneno ya kuhamasisha na kusherehekea ushindi wa Chadema na waTanzania dhidi maCCM na mfumo dola unaoongoza, utakuwa ni wimbo wa kushangilia ukombozi!
Kudos!
 
Mbona wimbo bado unamtaja Msigwa mwanzo mwisho? Inakuwaje uwe wa chama huu?

CHAUMA tunakuja na bonge la song soon.
 
Wewe jamaa una high spirit ila ukweli ni kwamba Lisu atashindwa vibaya sana.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Take it from me!! Kuliko hii nchi kuwekewa vikwazo na kuwa Zimbabwe part II wenye akili wote wameona bora apewe Lissu wamuongoze aweke mifumo imara ambayo itamdhibiti Raisi.

Jiwe akirudi tena watu wengi sana atawaua kwa visasi na chuki ikiwemo vigogo wa CCM na pia nchi itakuwa kwenye wakati mgumu kutokana na vikwazo !!
 
Wimbo mzuri. Huo ulioboreshwa uko wapi? Katika kuboreshwa ungetaja mikoa yote Tanzania
 
Mbona wimbo bado unamtaja Msigwa mwanzo mwisho? Inakuwaje uwe wa chama huu?

CHAUMA tunakuja na bonge la song soon.
Soma uzi uelewe unaambiwa umefanyiwa remix baada ya michango ya wanachama
 
Wimbo mzuri. Huo ulioboreshwa uko wapi? Katika kuboreshwa ungetaja mikoa yote Tanzania
Utazinduliwa kwenye awamu ya 3 ya kampeni za Lissu. Since amepigwa ban basi utakua released sio muda mrefu
 
Safi sana. Huu wimbo asili yake ni toka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili wa zimbabwe anayeitwa mkhululi bhebhe. Wimbo unaitwa Namata ikiwa na maana ya "pray". Huu wimbo ulipata umaarufu ndani ya Joyous celebration. Huu wimbo ukiusikiliza tafsiri yake ni kwamba wanamkemea shetani. Wanamwambia

"shetani tunakuja kwaajili yako , na mapanga ya injili tukipiga kelele kwasababu wewe huna nguvu."

Mistari yake ya mwanzo hii hapa na tafsiri yake[emoji116][emoji116]

Iwe satani (Hey you Satan!) Hayi!
Tinouya (We're coming) Hayi!
Kwauri (For you) Hayi!
Nomunondo (With the sword) Hayi!
Weshoko (Of the gospel) Hayi!
Tichiti (Shouting) Hayi!
Hauna simba (You have no power) Hayi!
Kuvakomana (On the boys) Hayi!
Nevasikana (And the girls) Hayi!
Vakatengwa (For the've been bought) Hayi!
RaJesu (Of Jesus) Hayi!
Viva Jesu (Long live Jesus) Viva! x4
Naye Jesu (Yes Jesus) Naye! x4.


Hakika aliyefanya hii cover ya huu wimbo kajitahidi sana. Nashauri huu wimbo ungejikita kunadi mgombea urais na kuipraise chadema. Hayo maneno kama 'msigwa' au 'iringa' yanaomdoa radha kwa maeneo mengine mfano arusha. Nawasilisha wadau ni wazo tu.

Wimbo halisi huu hapa
Mkuu huu ni ule wa iringa this time wanauboresha uwe wa taifa sasa na niliona yeriko alisema uko tayari hope utakuwa hatua za mwisho kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ule " Tundu lisu wapeleke mchakamcha " nani kautunga ? Ule wimbo ni babu kubwa maana kweli TL anawapelekesha kuazia mwenyekekit wa chama jiwe, viongozi wa time, IGP hadi makada wa ccm huko chini
 
Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.

Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!

Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.

Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!

Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
Ingia websites ya CHADEMA andika haya maoni

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ule " Tundu lisu wapeleke mchakamcha " nani kautunga ? Ule wimbo ni babu kubwa maana kweli TL anawapelekesha kuazia mwenyekekit wa chama jiwe, viongozi wa time, IGP hadi makada wa ccm huko chini
MC Mwingira anaitwa.
Huu wimbo ume-fit haswaa kwa mgombea husika.
 
Mkuu huu ni ule wa iringa this time wanauboresha uwe wa taifa sasa na niliona yeriko alisema uko tayari hope utakuwa hatua za mwisho kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Ni jambo jema sana kamanda angu but nilitaka tu kuonesha asili yake. Nimependa sana jamaa aliyeimba kapita mulemule
 
Back
Top Bottom