Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Pole sana Mangi

Kwa kukusaidia Taasisi yoyote huwa unahitaji kuji brand kila baada ya muda ili ije na mwelekeo tofauti. Mara nyingi katika macho ya Watumiaji ( consumers) ni lazima uje na mkakati tofauti hata wa kimuonekano.
Mkuu chukua maua yako πŸ’πŸ’πŸ’
 
Mimi nilishauri sana Mbowe amfukuze Lissu kwenye chama chake mkanidharau... angalia sasa hivi mnateseka.. acha Lissu awavuruge tu hakuna namna.
 
Huyo Red blood cell mwenyewe ni mfuasi mwaminifu wa Mzee Nkurunzinza aache kujikomba komba vipi na yeye achukuliwe hatua? ... Chadema wanamkanda bundi kizazi..
 
Mwenyekiti alishaweka wazi kama sii huu mchakato na kuwa watu watatafsiri ni kwa sababu kagombea uenyekiti basi lisu angeshaliwa kichwa
 
Huyo Red blood cell mwenyewe ni mfuasi mwaminifu wa Mzee Nkurunzinza aache kujikomba komba vipi na yeye achukuliwe hatua? ... Chadema wanamkanda bundi kizazi..
Mkuu sijakuelewa πŸ€”
 
Sasa si ungeweka orodha na matusi yao? Wewe hujui ila unataka watu waote tu? Ungekuwa na majina na ushahidi ungeweka hapa tum forwardie katibu na mwenyekiti
 
Huyo Red blood cell mwenyewe ni mfuasi mwaminifu wa Mzee Nkurunzinza aache kujikomba komba vipi na yeye achukuliwe hatua? ... Chadema wanamkanda bundi kizazi..
Nimemtukana nani?
 
I think you are the Next!
 
Nasema hivi kama nyie ni wanaume kweli mkateni muone muziki wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…