Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Jibu kilichoandikwa siyo unaleta hadithi ambazo huna ushahidi nazo, binadamu na viumbe vilivyopo duniani vimetokea by chance from no where, au vimeumbwa? na hizo arrangement za galaxy, sijui solar system na nguvu zilizoziweka hivyo na zenyewe zimetokea by chance, au kuna uumbaji wenye mamlaka na nguvu za kutisha, ambaye ni Mungu Mkuu (Almighty God)........haya lete ngonjera nyingine.​
km kila kitu au nafsi lazima viumbwe je yeye aliyeviumba aliumbwa na nani? yeye alitokea wapi?
 
Hapo umeenda kinyume na uhalisia. Siyo tu kwamba nitakubali bali wewe ni mjinga tena muovu.
Kumbe kauli ya kusema akili salama sio ya kuaminika wala kuipa dhamana ya kukubali madai yanayopendekezwa kwasababu inaweza kutamkwa na mjinga yeyote

Kipi kinachokufanya ujione wewe sio moja ya wajinga wanaotumia neno hilo?
 
Kumbe kauli ya kusema akili salama sio ya kuaminika wala kuipa dhamana ya kukubali madai yanayopendekezwa kwasababu inaweza kutamkwa na mjinga yeyote

Kipi kinachokufanya ujione wewe sio moja ya wajinga wanaotumia neno hilo?
Shida yako unarukia rukia kauli bila kujua vigezo na masharti. Usiwe unapenda kusema tu,bali jua kwanza kisha useme.

Kinachonifanya nijione kuwa si katika wajinga sababu nina elimu juu ya kauli hiyo na sisemi tu ilimradi.
 
Ongeza umakini kijana. Sasa kama umetoka inakuwaje unapuyanga kijana ?
Hiyo ni personal interpretation, nami siwezi kukuzuia kutafsiri unavyotaka huu ni mjadala huru, kuna mwenzako kaniita mpagani, ye ndo kanitafsiri hivyo ntamzuia?
 
Shida yako unarukia rukia kauli bila kujua vigezo na masharti. Usiwe unapenda kusema tu,bali jua kwanza kisha useme.

Kinachonifanya nijione kuwa si katika wajinga sababu nina elimu juu ya kauli hiyo na sisemi tu ilimradi.
Mjinga yeyote anaweza kuongea hiki ulichokiandika, unafikiri itakuwa kigezo cha kutomfanya asionekane mjinga?
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Kuna siku utaidownload na kuisoma,
 
Unayohaki yakufuta Biblia kwenye simu yako,sababu haiwezekani kuchanganya Biblia na bangi.
Ahahahaha.
Nimecheka sana
Ila mwenzangu umezidi, unaimba kwaya madhabahuni simu iliyojaa ngono umeweka mfukoni.
Eti umeziligia password
 
Hakuna muujiza hapo wajinga tu ndio wanaoamini habari za kuumbwa na kiumbe anaitwa Mungu
wakati wa formation ya galaxy yetu ya Milkiway jua lilijikuta limekaa katika Habitable zone
Huo ukanda upo kwenye Kila Galaxies
Hii Dunia ikaangukia katika eneo hai yaani Sayari ya tatu Toka jua kimahesabu ukiipiga utaona ni eneo linalosapoti viumbe hai automatically Kwa nguvu za Asili na sio Dunia tu katika matrillion ya Galaxies Kuna habitable zone na Kuna Sayari zinasifa Sawa na Dunia mpaka Sasa wanasayansi wameigundua Moja
Kepler 452- B
Hiyo ipo umbali wa 4 light years kutoka duniani kiasi kwamba Kwa teknolojia yetu ya spacecraft hatuwezi ifikia
Hivyo mnavyokuja na nadharia za Dunia kuumbwa muwe mnaangalia upande wa pili Huku!
Mwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.
Asiyatibue kwa muda wa miezi 12 atakuta kambare wameshakua.
Je, wameumbwa na nani?
 
Mwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.
Asiyatibue kwa muda wa miezi 12 atakuta kambare wameshakua.
Je, wameumbwa na nani?
Hawa wapuuzi hawajui hii Dunia Ina chembe chembe za uhai Toka mwanzo wake pale ulipojitokeza mfumo wetu wa jua hivyo Kuna viumbe vikikutana na Hali Fulani baada ya mchanganyiko wa element kinatokeza kiumbe!
 
Hakuna kiumbe alimuumba Humanoids yeyote hizo hekaya za wayahudi na waarabu peleka Huko huko makanisani na misikitini kwenu
Huko
Yaani Leo nyie Zamadamu wa Oldupai gorge mlioishi miaka millions
Leo mnadai mliumbwa na Mungu miaka 6000 BC hapo huoni kiroja hicho?
😁😁😁
Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....😀
 
Hawa wapuuzi hawajui hii Dunia Ina chembe chembe za uhai Toka mwanzo wake pale ulipojitokeza mfumo wetu wa jua hivyo Kuna viumbe vikikutana na Hali Fulani baada ya mchanganyiko wa element kinatokeza kiumbe!
Hizo chembe za uhai asili yake ni nini?
 
Wewe ACHA kuleta mashairi ya kiyahudi hapa narudia hakuna Mungu mkuu Wala
taka taka zake Hizo ni hekaya tu hakuna ukweli wowote Ulimwengu ulitokea tu Kwa formula maalumu na Mahesabu makali bila kuumbwa na kiumbe wa kufikirika anaitwa Mungu kama huyo Mungu wenu yupo basi ni mdogo Sana Hana nguvu yoyote na yeye anafungwa kwenye kanuni za ulimwengu maana anashindwa kuzikontrol huyo Mungu Gani kituko anaumba na kutengeneza vitu halafu vinamzidi nguvu na still mnaendelea kumwamini
Wake up dude huyo kikaragosi mliemtwngeneza Kwa mabichwa Yenu ni hekaya tu hayupo Katika uhalisia!
😁😁😁
Formula maalumu na mahesabu makali yaliwekwa na nani?
 
Hiyo ni personal interpretation, nami siwezi kukuzuia kutafsiri unavyotaka huu ni mjadala huru, kuna mwenzako kaniita mpagani, ye ndo kanitafsiri hivyo ntamzuia?
Na mimi nakuita wewe ni MJINGA. Unakataa ?
 
km kila kitu au nafsi lazima viumbwe je yeye aliyeviumba aliumbwa na nani? yeye alitokea wapi?
Ndo maana anaitwa Mungu Muweza (The Almighty God) hana mwanzo wala hana mwisho (Alfa na Omega).........is an everlasting God.
 
Mjinga yeyote anaweza kuongea hiki ulichokiandika, unafikiri itakuwa kigezo cha kutomfanya asionekane mjinga?
Nakupa miaka kumi ukikosoa nilicho kiandika naacha kutumia hii ID.

Hakuna mjinga anae weza kuandika hiki nilicbokiandika. Sababu nilianza kusoma kwanza na kuelewa kabla ya kuandika.

Naona mada imekushinda kijana.
 
Mwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.
Asiyatibue kwa muda wa miezi 12 atakuta kambare wameshakua.
Je, wameumbwa na nani?
Kwa hiyo watu wa aquaculture hawana haja ya kuzalisha vifaranga vya samaki, ni kuchimba shimo tu samaki wanajizalisha🙄
 
Ndo maana anaitwa Mungu Muweza (The Almighty God) hana mwanzo wala hana mwisho (Alfa na Omega).........is an everlasting God.
yeye mwenyewe alisema hivyo au mmesoma tu hadithi za watu?
 
Hizo chembe za uhai asili yake ni nini?
swali la kipuuzi sana hujui uhai una maana Pana,uhai hauhusishi viumbe hai tu Bali mfumo Wote wa galaxy yetu ni hai na sisi tupo Habitable zone sehemu ambayo inasapoti uhai Kwa viumbe automatically
Hivyo kama huyo Mungu yupo na ni kiumbe hai basi atakua sehemu ndogo sana katika mfumo na Hana ubavu wa kuumba chochote Labda kama ni mmoja wa Alliens aliyepandikiza uhai pahali ila kusema ndie aliyefanya formation ya Big bang ni Uwendawazimu mkuu!
 
Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....😀
acha habari za kusadikika huyo shetani anaishi wapi?
 
Back
Top Bottom