km kila kitu au nafsi lazima viumbwe je yeye aliyeviumba aliumbwa na nani? yeye alitokea wapi?Jibu kilichoandikwa siyo unaleta hadithi ambazo huna ushahidi nazo, binadamu na viumbe vilivyopo duniani vimetokea by chance from no where, au vimeumbwa? na hizo arrangement za galaxy, sijui solar system na nguvu zilizoziweka hivyo na zenyewe zimetokea by chance, au kuna uumbaji wenye mamlaka na nguvu za kutisha, ambaye ni Mungu Mkuu (Almighty God)........haya lete ngonjera nyingine.
Kumbe kauli ya kusema akili salama sio ya kuaminika wala kuipa dhamana ya kukubali madai yanayopendekezwa kwasababu inaweza kutamkwa na mjinga yeyoteHapo umeenda kinyume na uhalisia. Siyo tu kwamba nitakubali bali wewe ni mjinga tena muovu.
Shida yako unarukia rukia kauli bila kujua vigezo na masharti. Usiwe unapenda kusema tu,bali jua kwanza kisha useme.Kumbe kauli ya kusema akili salama sio ya kuaminika wala kuipa dhamana ya kukubali madai yanayopendekezwa kwasababu inaweza kutamkwa na mjinga yeyote
Kipi kinachokufanya ujione wewe sio moja ya wajinga wanaotumia neno hilo?
Hiyo ni personal interpretation, nami siwezi kukuzuia kutafsiri unavyotaka huu ni mjadala huru, kuna mwenzako kaniita mpagani, ye ndo kanitafsiri hivyo ntamzuia?Ongeza umakini kijana. Sasa kama umetoka inakuwaje unapuyanga kijana ?
Mjinga yeyote anaweza kuongea hiki ulichokiandika, unafikiri itakuwa kigezo cha kutomfanya asionekane mjinga?Shida yako unarukia rukia kauli bila kujua vigezo na masharti. Usiwe unapenda kusema tu,bali jua kwanza kisha useme.
Kinachonifanya nijione kuwa si katika wajinga sababu nina elimu juu ya kauli hiyo na sisemi tu ilimradi.
Kuna siku utaidownload na kuisoma,View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.
Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.
Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.
Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.
Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.
Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.
Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.
Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?
Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.
Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.
Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Ahahahaha.Unayohaki yakufuta Biblia kwenye simu yako,sababu haiwezekani kuchanganya Biblia na bangi.
Mwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.Hakuna muujiza hapo wajinga tu ndio wanaoamini habari za kuumbwa na kiumbe anaitwa Mungu
wakati wa formation ya galaxy yetu ya Milkiway jua lilijikuta limekaa katika Habitable zone
Huo ukanda upo kwenye Kila Galaxies
Hii Dunia ikaangukia katika eneo hai yaani Sayari ya tatu Toka jua kimahesabu ukiipiga utaona ni eneo linalosapoti viumbe hai automatically Kwa nguvu za Asili na sio Dunia tu katika matrillion ya Galaxies Kuna habitable zone na Kuna Sayari zinasifa Sawa na Dunia mpaka Sasa wanasayansi wameigundua Moja
Kepler 452- B
Hiyo ipo umbali wa 4 light years kutoka duniani kiasi kwamba Kwa teknolojia yetu ya spacecraft hatuwezi ifikia
Hivyo mnavyokuja na nadharia za Dunia kuumbwa muwe mnaangalia upande wa pili Huku!
Hawa wapuuzi hawajui hii Dunia Ina chembe chembe za uhai Toka mwanzo wake pale ulipojitokeza mfumo wetu wa jua hivyo Kuna viumbe vikikutana na Hali Fulani baada ya mchanganyiko wa element kinatokeza kiumbe!Mwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.
Asiyatibue kwa muda wa miezi 12 atakuta kambare wameshakua.
Je, wameumbwa na nani?
Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....πHakuna kiumbe alimuumba Humanoids yeyote hizo hekaya za wayahudi na waarabu peleka Huko huko makanisani na misikitini kwenu
Huko
Yaani Leo nyie Zamadamu wa Oldupai gorge mlioishi miaka millions
Leo mnadai mliumbwa na Mungu miaka 6000 BC hapo huoni kiroja hicho?
πππ
Hizo chembe za uhai asili yake ni nini?Hawa wapuuzi hawajui hii Dunia Ina chembe chembe za uhai Toka mwanzo wake pale ulipojitokeza mfumo wetu wa jua hivyo Kuna viumbe vikikutana na Hali Fulani baada ya mchanganyiko wa element kinatokeza kiumbe!
Formula maalumu na mahesabu makali yaliwekwa na nani?Wewe ACHA kuleta mashairi ya kiyahudi hapa narudia hakuna Mungu mkuu Wala
taka taka zake Hizo ni hekaya tu hakuna ukweli wowote Ulimwengu ulitokea tu Kwa formula maalumu na Mahesabu makali bila kuumbwa na kiumbe wa kufikirika anaitwa Mungu kama huyo Mungu wenu yupo basi ni mdogo Sana Hana nguvu yoyote na yeye anafungwa kwenye kanuni za ulimwengu maana anashindwa kuzikontrol huyo Mungu Gani kituko anaumba na kutengeneza vitu halafu vinamzidi nguvu na still mnaendelea kumwamini
Wake up dude huyo kikaragosi mliemtwngeneza Kwa mabichwa Yenu ni hekaya tu hayupo Katika uhalisia!
πππ
Na mimi nakuita wewe ni MJINGA. Unakataa ?Hiyo ni personal interpretation, nami siwezi kukuzuia kutafsiri unavyotaka huu ni mjadala huru, kuna mwenzako kaniita mpagani, ye ndo kanitafsiri hivyo ntamzuia?
Ndo maana anaitwa Mungu Muweza (The Almighty God) hana mwanzo wala hana mwisho (Alfa na Omega).........is an everlasting God.km kila kitu au nafsi lazima viumbwe je yeye aliyeviumba aliumbwa na nani? yeye alitokea wapi?
Nakupa miaka kumi ukikosoa nilicho kiandika naacha kutumia hii ID.Mjinga yeyote anaweza kuongea hiki ulichokiandika, unafikiri itakuwa kigezo cha kutomfanya asionekane mjinga?
Kwa hiyo watu wa aquaculture hawana haja ya kuzalisha vifaranga vya samaki, ni kuchimba shimo tu samaki wanajizalishaπMwambie achimbe shimo mahali penye kivuli kiasi, kisha aweke maji baridi.
Asiyatibue kwa muda wa miezi 12 atakuta kambare wameshakua.
Je, wameumbwa na nani?
yeye mwenyewe alisema hivyo au mmesoma tu hadithi za watu?Ndo maana anaitwa Mungu Muweza (The Almighty God) hana mwanzo wala hana mwisho (Alfa na Omega).........is an everlasting God.
swali la kipuuzi sana hujui uhai una maana Pana,uhai hauhusishi viumbe hai tu Bali mfumo Wote wa galaxy yetu ni hai na sisi tupo Habitable zone sehemu ambayo inasapoti uhai Kwa viumbe automaticallyHizo chembe za uhai asili yake ni nini?
acha habari za kusadikika huyo shetani anaishi wapi?Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....π