sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Mikwara hii, thibitisha kwanza kama MUNGU yupo.Kwa mamlaka ya Yesu natamka nguvu ikushikie.Na utakuwa MTU wa kwanza Ulipo kuona Ukuu wa Mungu.Tubu Leo mambo yako yote yatakuwa sawa futa kauli chafu