Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Kwa mamlaka ya Yesu natamka nguvu ikushikie.Na utakuwa MTU wa kwanza Ulipo kuona Ukuu wa Mungu.Tubu Leo mambo yako yote yatakuwa sawa futa kauli chafu
Mikwara hii, thibitisha kwanza kama MUNGU yupo.
 
Maelezo matupu hakuna hata picha halisia ya kuambatanisha kwamba MUNGU yupo? Leta evidence wazi isiyo na makando kando
 
Unaanza kunikwepa? Thibitisha kwanza uwepo wa MUNGU kwa ushahidi ulio hai.
Mimi sikukwepi ila hua napenda mtu niende nae taratibu mpaka aelewe. Umekubali kuwa majini wapo. Na huko juu nimeona unamwambia mtu kuwa alete picha ya Mungu. Kupitia kwenye uwepo wa majini utaelewa tu. Umekubali kuwa majini yapo je unaweza kuniambia majini wana maumbile gani?
 
Kipi hasa ambacho unataka nifanye ili ndio iwe uthibitisho wa kuwepo Mungu?
Unachoona kinafaa
Thibitisha,
Sisi tunakuthibitishia hayupo kwa maandishi tu. Hatuwezi kukuonyesha au kumeleta au kumwambia afanye hili au lile kwakuwa hayupo.
Wewe unayesema yupo thibitisha
 
Unachoona kinafaa
Thibitisha,
Sisi tunakuthibitishia hayupo kwa maandishi tu. Hatuwezi kukuonyesha au kumeleta au kumwambia afanye hili au lile kwakuwa hayupo.
Wewe unayesema yupo thibitisha
Mimi nataka wewe unayetaka uthibitishiwe ndio uniambie ni kitu gani nifanye ambacho kitakuwa ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Maana ni nyie ndio ambao mnasema hakuna Mungu na hakuna uthibitisho hivyo ni vyema ukaeleza ambacho kifanyike ili iwe ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.

Kuhusu ninyie hamjaambiwa mthibitishe kisichokuwepo bali mnaambiwa mthibitishe kutokuwepo kwa hicho mnachodai kuwa hakipo,mtofautishe kusema kitu fulani hakipo na uhakika wa kutokuwepo hicho kitu.
 
Daaaahhh ngoma ngumu.
Hivi kati ya watu 2 ambao mmoja anasema humu ndani hakuna mtu na mwingine anasema humu ndani kuna mtu, ni yupi atapaswa kuthibitisha kauli yake mara watakapoingia humo ndani?
 
Daaaahhh ngoma ngumu.
Hivi kati ya watu 2 ambao mmoja anasema humu ndani hakuna mtu na mwingine anasema humu ndani kuna mtu, ni yupi atapaswa kuthibitisha kauli yake mara watakapoingia humo ndani?
Wote wanasema(wanadai) hivyo wote wanapaswa kuthibitisha madai yao. Kusema tu kuna mtu hakufanyi huyo mtu kuwepo na kusema tu hakuna mtu hakufanyi huyo mtu asiwepo.

Niambie ni kipi unahitaji nifanye ili iwe uthibitisho wa kuwepo Mungu? Mimi naamini uwepo wa Mungu ila wewe unataka uthibitisho.
 
Nashukuru kaka
 
fanya chochote ilimradi uthibitishe tu, nakumpa uwanja mpana
 
Ufute usite siku ya hukumu ya haki ipo pale pale. Kama hakuna Mumgu nani husababisha kifo na wafu roho zao zimekwenda wapi?
 
Kuhusu machafuko na maradhi yanayozidi kuikumba dunia hilo sio kosa la MUNGU.Ni kosa la mwanaadamu mwenyewe kukataa na kubadili sheria ya MUNGU.Ndiyo maana laana inaitafuna dunia(ISAYA 24:1-5)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…