sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Mikwara hii, thibitisha kwanza kama MUNGU yupo.Kwa mamlaka ya Yesu natamka nguvu ikushikie.Na utakuwa MTU wa kwanza Ulipo kuona Ukuu wa Mungu.Tubu Leo mambo yako yote yatakuwa sawa futa kauli chafu
Maelezo matupu hakuna hata picha halisia ya kuambatanisha kwamba MUNGU yupo? Leta evidence wazi isiyo na makando kandoMungu kakuumba na utashi unaokuwezesha uchague unavhotaka. Ila anakushauri umsikilize Yeye maana atakupa jawabu bora kwa kila utakalouliza. Lakini mwanadamu unajifanya akili nyingi kisa tu umeumbwa kwa sura na mfano wake. Ukipata matokeo ya uchaguzi wako unarudi kulalamika kuwa Mungu hayupo.
Mungu sio dikteta. Unayoyaona duniani ni matokeo ya ukaidi wa mwanadamu. Onjeni mpate kujua ya kuwa Bwana yu mwema. Ndugu nakukuombea ukutane na Bwana kwa njia ya kipekee hakika utaishi kuelezea matendo makuu ya Mungu.
#Mwanadamu alianguka
#Yesu alikamilisha
#Biblia ni Neno la Mungu
Unakubali uwepo wa kiumbe anayeitwa jini?Maelezo matupu hakuna hata picha halisia ya kuambatanisha kwamba MUNGU yupo? Leta evidence wazi isiyo na makando kando
Nakubali.Unakubali uwepo wa kiumbe anayeitwa jini?
Miili ya majini ipoje?Nakubali.
Unaanza kunikwepa? Thibitisha kwanza uwepo wa MUNGU kwa ushahidi ulio hai.Miili ya majini ipoje?
Mimi sikukwepi ila hua napenda mtu niende nae taratibu mpaka aelewe. Umekubali kuwa majini wapo. Na huko juu nimeona unamwambia mtu kuwa alete picha ya Mungu. Kupitia kwenye uwepo wa majini utaelewa tu. Umekubali kuwa majini yapo je unaweza kuniambia majini wana maumbile gani?Unaanza kunikwepa? Thibitisha kwanza uwepo wa MUNGU kwa ushahidi ulio hai.
munngu~Utakuwa unamaanisha Mungu=MUNGUKwa mimi naamini mungu yupo ila naanza kupata mashaka yaweza kuwa tumepigwa mwingi
Nilichogundua hiyo kauli ya "thibitisha kama Mungu yupo" mmeikariri tu kama kasuku basi.Mikwara hii, thibitisha kwanza kama MUNGU yupo.
Leta ushahidi ase acha fujo.Nilichogundua hiyo kauli ya "thibitisha kama Mungu yupo" mmeikariri tu kama kasuku basi.
Kipi hasa ambacho unataka nifanye ili ndio iwe uthibitisho wa kuwepo Mungu?Leta ushahidi ase acha fujo.
Unachoona kinafaaKipi hasa ambacho unataka nifanye ili ndio iwe uthibitisho wa kuwepo Mungu?
Mimi nataka wewe unayetaka uthibitishiwe ndio uniambie ni kitu gani nifanye ambacho kitakuwa ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Maana ni nyie ndio ambao mnasema hakuna Mungu na hakuna uthibitisho hivyo ni vyema ukaeleza ambacho kifanyike ili iwe ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.Unachoona kinafaa
Thibitisha,
Sisi tunakuthibitishia hayupo kwa maandishi tu. Hatuwezi kukuonyesha au kumeleta au kumwambia afanye hili au lile kwakuwa hayupo.
Wewe unayesema yupo thibitisha
Daaaahhh ngoma ngumu.Mimi nataka wewe unayetaka uthibitishiwe ndio uniambie ni kitu gani nifanye ambacho kitakuwa ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Maana ni nyie ndio ambao mnasema hakuna Mungu na hakuna uthibitisho hivyo ni vyema ukaeleza ambacho kifanyike ili iwe ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.
Kuhusu ninyie hamjaambiwa mthibitishe kisichokuwepo bali mnaambiwa mthibitishe kutokuwepo kwa hicho mnachodai kuwa hakipo,mtofautishe kusema kitu fulani hakipo na uhakika wa kutokuwepo hicho kitu.
Wote wanasema(wanadai) hivyo wote wanapaswa kuthibitisha madai yao. Kusema tu kuna mtu hakufanyi huyo mtu kuwepo na kusema tu hakuna mtu hakufanyi huyo mtu asiwepo.Daaaahhh ngoma ngumu.
Hivi kati ya watu 2 ambao mmoja anasema humu ndani hakuna mtu na mwingine anasema humu ndani kuna mtu, ni yupi atapaswa kuthibitisha kauli yake mara watakapoingia humo ndani?
Nashukuru kakaSave your energy for better things. Huyo kachagua upande tayari. Si kwa sababu ya ushahidi au kitu chochote. Wengi hupenda kuogelea kwenye maisha ya dhambi na wakikubali Mungu yupo itawalazimu kuyaacha hayo maisha. Hii kitu hawaitaki so only solution ni kujaribu kujiaminisha kuwa hakuna Mungu na kwa kuwa nafsi zao zinawasuta wanakuja huku nje kutafuta angalau consolation kuwa ah kumbe siko peke yangu.
Hakuna idadi ya ushahidi inamsaidia mtu wa aina hii kwa sababu shida yake sio ushahidi. Kwa hiyo tunza nguvu zako katumie kufanya kitu bora. Acha wafu wazikane kwa kutiana moyo. Ipo siku watajua ukweli na hawatahitaji kubishana na mtu kwa sababu hakutakuwa na mtu wa kubishana naye na watajua kwa hakika kama Mungu yupo au hayupo!
fanya chochote ilimradi uthibitishe tu, nakumpa uwanja mpanaWote wanasema(wanadai) hivyo wote wanapaswa kuthibitisha madai yao. Kusema tu kuna mtu hakufanyi huyo mtu kuwepo na kusema tu hakuna mtu hakufanyi huyo mtu asiwepo.
Niambie ni kipi unahitaji nifanye ili iwe uthibitisho wa kuwepo Mungu? Mimi naamini uwepo wa Mungu ila wewe unataka uthibitisho.
Nithibitishe nini?fanya chochote ilimradi uthibitishe tu, nakumpa uwanja mpana