Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Ufute usite siku ya hukumu ya haki ipo pale pale. Kama hakuna Mumgu nani husababisha kifo na wafu roho zao zimekwenda wapi?
Roho ni nini?
Haya kuku hana roho?, kama anakufa basi tuseme ana roho, je, akifa roho yake Inaenda wapi?
 
Kuamini kuwa yupo ni kufuata maelekezo yake kinyume na hapo huna tofauti na asiyeamini.Hata shetani anaamini Mungu yupo. Kutenda mema tu sio kigezo cha kwenda mbinguni.Kigezo cha kwenda mbinguni ni kuamini kuwa Yesu amesulubiwa na kufa kwa ajili ya dhambi zako ili wewe uhesabiwe haki na Mungu kupitia Yesu Kristu.Hii ndo condition pekee ya kuingia mbinguni na sio matendo mema tu.
 
Hilo swali nitalijibu kwa swali.
Huyo Mungu aliumbwa na nani?
Au wazo la kujiumba alipewa na nani?
Mungu hakuumbwa,hakuwa na mwanzo wala hana mwisho.Yeye ndo alimuumba time hivyo hawezi kufungwa na muda,yeye ndo aliumba matter (maada) hawezi kuwa sehemu ya matter (maada) maana kabla hapajawa na maada yeye alikuwepo na yeye ndo aliumba space na vyote vilivyomo.

Nikuulize wewe sasa,kama hakuna Mungu kila kilichopo ulimwenguni kimetoka wapi?
 
Science inaongoza na laws of nature(materialism) ambazo ziliwekwa na Mungu,hakuna laws pasipo na lawmaker...there must be one. Thinking inaongozwa na three laws of logic,if there is laws of logic who made them?
 
Mambo ya kwenda mbinguni ni mengine kabisaa.
Si kila mtu ana mpango wa kwenda huko japo ana amini Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…