Nimefuta na kublock namba 50 kwenye simu yangu za wanaojiita marafiki zangu

Nimefuta na kublock namba 50 kwenye simu yangu za wanaojiita marafiki zangu

Ila na wewe ulikuwa na marafiki wengi sana aisee.

Wachache tu wanatosha kabisa tena saa ingine unaangalia wale wanaofanya kazi idara ambazo unajua ipo siku utahitaji msaada kwao tena usipende sana uwe wa kifedha mfano Hospitali na kwingineko.
 
Kwa hio unawapima wanaume🤔 Kama hawana wafanyaje afu nilijua tu unatupima haikuwa issue ya serious
Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.

Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.

So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.

Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.

Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!

Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
 
Una marafiki 50?
Au huwa unajichekesha kwa watu na wakitoa positive response unaanza kuwaita marafiki. Nina watu ninaofahamiana nao wengi na naongea na wengi ila sina marafiki zaidi ya 10. Na siombiombi hela kwa marafiki, sio donors hao. Huwezi pima urafiki kwa kuomba hela tena ukitarajia upewe instantly
Hao ndo wale wa save for save unadhani kuona status ya mtu wasap ndo anakuwa kashakuwa rafiki yako
 
Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.

Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.

So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.

Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.

Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!

Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Kabla ya tarehe 31 nilifuta zaidi ya contacts 600 na kufanya tathmini upya ya marafiki wote na watu wa karibu.
Kwa hiyo walibaki marafiki wawili tu kwenye inner circle.
 
Mimi nadhani kuna kitu kidogo umekosea umehukumu watu kwa kushindwa kukusaidia pesa lakini kumbuka kuna siri nyingi kwa watu hata hao unaotaka kwao kitu hujui wako katika hali gani inawezekana mtu hana kitu anaona hata aibu kukwambia sina ila ningekuelewa kama hukupata hata msaada wa mtu kutaka kujuwa umefikia wapi je umeweza kupata sehemu mimi kwa kweli sina lakini naamini utapata sehemu au kufuatilia issue yako hata kwa kujali tu kukupigia simu lakini kama yote haya umekosa hata mtu kukupigia siku ya pili vipi yameisha vipi jana sikuwa na amani nafikria issue yako tu la kufanya sina... msaada au rafiki sio lazima pesa kuonesha kujali tu ina umuhimu sana. Kukwambia hivi ume wa block lakini unajuwa na wao shida zao?
 
Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu lazima nimsaidie.

Lakini recently kuna viashiria niliviona vikanistua mpaka nikaamua kuwafanyia tathmini marafiki zangu.

So tarehe 31 December 2022, nilijifungia ndani siku nzima, nikaanza kuwapigia rafiki zangu simu kuwaomba msaada kuwa nimepatwa na majanga flani nimetaitiwa na polisi so kuna kiasi flani cha kama elfu 50 kimenipelea hivyo naomba msaada then next day narudisha.

Ebana huwezi amini wale niliokua nawachukulia kama washkaji zangu hakuna hata aliyejigusa na mimi. Ila kuna mdau mmoja tena ni fundi ujenzi nae niliona nimpime coz huwa ananipiga vizinga vya hapa na pale ndiye aliyejitutumua akanitumia elfu 10 akaniambia hiyo nyingine hana nijaribu kucheck wadau wengine.

Na kuna demu mama ntilie nae nilikua nagonga kipindi flani huko nyuma nae akaniwezesha elfu 15, ila hawa washkaji tunaokaa nao kwenye viti virefu hakuna hata aliyeuliza hao polisi wamenitait kwa issue gani!

Kwa kweli hili jambo lilinitafakarisha sana aina ya watu ninaomingle nao katika maisha yangu. Nilichoamua niliblock number zao na kuzifuta kabisa, maana haina haja ya kuendelea kuongozana na watu wa aina hiyo.
Uamuzi wa busara refer ule wimbo unaitwa "mpunguze" (sijui hata aliyeimba au kama unaitwa hivyo kweli)
Ngoja weekend hii na mimi nijifungie ndani ila ntaanza na wadada nliowahi kupita nao na bado wananipiga mizinga kama bado nipo nao.

Wiki ile nyingine napita na washkaji nliowahi kufanya nao kazi au kusoma nao na wapo mbali tena hawana msaada.

Halafu mwisho wa mwezi huu namalizia na hawa washkaji ninaowanunulia bia hapa Dodoma ila wakipata hela wanahama viwanja
 
Makosa nayoyaona mimi;
1. Kuwa na marafiki wengi, huwezi kuwa na marafiki wote hao. Labda useme ni watu tu mnawasilina lakini marafiki kama marafiki huwa ni idadi ndogo sana, labda watano tu.
2. Kufanya huku ukisubiri fadhila, kama ni mtu wa kusaidia huna haja ya kuangalia nimemsaidia nani kwa ajili gani na atanipa nini nikipata majanga.
3. Unasaidia kupitiliza, watu wengi hivyo unajitoa kwao? Ni wengi mno...
 
Sijawahi kuwa namarafiki ila kuna watu wengi nafahamiana nao na tunasaidiana kukiwa na uhitaji.

Huwa naona watu wanasema Wana best friends nashangaa inatokeaje hiyo?
 
Mimi nadhani kuna kitu kidogo umekosea umehukumu watu kwa kushindwa kukusaidia pesa lakini kumbuka kuna siri nyingi kwa watu hata hao unaotaka kwao kitu hujui wako katika hali gani inawezekana mtu hana kitu anaona hata aibu kukwambia sina ila ningekuelewa kama hukupata hata msaada wa mtu kutaka kujuwa umefikia wapi je umeweza kupata sehemu mimi kwa kweli sina lakini naamini utapata sehemu au kufuatilia issue yako hata kwa kujali tu kukupigia simu lakini kama yote haya umekosa hata mtu kukupigia siku ya pili vipi yameisha vipi jana sikuwa na amani nafikria issue yako tu la kufanya sina... msaada au rafiki sio lazima pesa kuonesha kujali tu ina umuhimu sana. Kukwambia hivi ume wa block lakini unajuwa na wao shida zao?
Kiukweli umenena vyema ..
 
Back
Top Bottom