Nimeghairisha kuoa baada ya kupitia page za watoa ushauri na confessions za matukio ya mahusiano

Nimeghairisha kuoa baada ya kupitia page za watoa ushauri na confessions za matukio ya mahusiano

Searching for the truth

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2022
Posts
903
Reaction score
1,851
Wasalaam wapendwa.

Kuna page kama mbili hivi za kupitia instagram nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.

Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "usioe utakufa kabla ya wkati wako".

Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.

Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya, wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.

Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.

Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.

Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.

Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakwambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amfumue vizuri hadi marinda.

Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k.
 
Bure kabisa
Yaan wapumbavu wachache walioamua MAISHA Yao yawe hvyo ndo uje Kucompare na zaidi ya 30mln ya wanawake wa Tanzania una AKILI wewe

Mfn huyu hapa chini ni msanii wa NIGERIA huko akiwa UCHI jukwaaani akitumbuiza
kwa hiyo kwa mfano mpuuzi MMOJA kama huyu kisa Umeona PICHA yake ndo uwatukane wasanii wote wakike kuwa huwapendi kisa tu huyu mpuuzi kaamua kutumbuiza UCHI WA MNYAMA
FB_IMG_1720344691548.jpg
 
Kwa dr ushauri pale nasomaga nabaki kusikitika 😂😂
Wewe nadhani unaelewa kama ushapita hiyo page.

Kuna watu wanadhani nafanya tangazo ili wakawaongezee followers.

Ila ukweli hiyo page imenifanya nikiona wanawake mpaka mwili unazizima.

Yaani kwa kifupi sasahivi naona kila mwanamke ni LUCIFER aliyejificha kwa umbo la mwanamke ili amuangamize mwanaume.

Kuna kosa moja niliwahi kulifanya huko nyuma mwaka 2015 (nilimsaidia girl friend wangu kutoa mimba) na huwa najuta mpaka leo kwamba nilishiriki kwenye dhambi kubwa sana.

Ila nilikutana na hiyo confession moja kwa dr_ushaur dada anasema ameshatoa mimba 7 (za mwanaume mmoja) na sasahivi ameshika ya nane na bado mwanaume wake anamwambia aitoe tena, aisee mpaka simu yangu ilianguka chini kwa kutetemeka.
 
Binadamu huwa tunatafuta uhalali wa maamuzi. Umeingia mitandaoni kutafuta uhalali wa kutokuoa, ungetaka kuoa ungetafuta uhalali kutoka katika ndoa zilizodumu kwa amani ambazo zipo nyingi tu kwenye jamii.
 
Bure kabisa
Yaan wapumbavu wachache walioamua MAISHA Yao yawe hvyo ndo uje Kucompare na zaidi ya 30mln ya wanawake wa Tanzania una AKILI wewe

Mfn huyu hapa chini ni msanii wa NIGERIA huko akiwa UCHI jukwaaani akitumbuiza
kwa hiyo kwa mfano mpuuzi MMOJA kama huyu kisa Umeona PICHA yake ndo uwatukane wasanii wote wakike kuwa huwapendi kisa tu huyu mpuuzi kaamua kutumbuiza UCHI WA MNYAMAView attachment 3035613
Hivi kuwa uchi ni ukatili ?

Hivi unaelewa ukatili ninao uzungumzia mimi.

Kwanza huyo msanii hayuko uchi wa mnyama kama unavyosema wewe.

Mimi nimemwona amevaa hata kama mavazi hayana staha ilia amevaa, alafu hapo ni burudani/tamasha siyo kanisani wala msikitini
 
Wasalaam wapendwa.

Kuna page kama mbili hivi za INSTAGRAM nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.

Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "USIOE UTAKUFA KABLA YA WAKATI WAKO".

Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.

Hizi page za instagram nnazo sema zina majina ya dr_ushaur na nyingine inaitwa mr_misifaaa

Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya,wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.

Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.

Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.

Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.

Sitaki kuongea sana maana mtasema nna chuki nao binafsi, ingieni wenye hizo page nilizozitaji hapo juu mkajionee wenyewe jinsi wake zenu wanavyo usema ukatili wao huku wakiomba wafichiwe utambulisho wao.

My brothers nendeni mkaangalie ukatili mnao fanyiwa na wake zenu huku nyie mkijipa moyo kuwa mke wangu ni mtulivu sana.

Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakuambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amafumue vizuri hadi marinda.

Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k

Nendeni mkajionee wenyewe mimi hamu ya kuoa sina tena.

Najuta kuifahamu page ya dr_ushaur na mr_
huo wakat wako ni upi? unajua? vipi ukifa na miaka yako 30 hata bila kuoa, hilo umeliwaza? kufa hakuchagui age, marital status, nk
 
Wasalaam wapendwa.

Kuna page kama mbili hivi za INSTAGRAM nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.

Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "USIOE UTAKUFA KABLA YA WAKATI WAKO".

Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.

Hizi page za instagram nnazo sema zina majina ya dr_ushaur na nyingine inaitwa mr_misifaaa

Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya,wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.

Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.

Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.

Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.

Sitaki kuongea sana maana mtasema nna chuki nao binafsi, ingieni wenye hizo page nilizozitaji hapo juu mkajionee wenyewe jinsi wake zenu wanavyo usema ukatili wao huku wakiomba wafichiwe utambulisho wao.

My brothers nendeni mkaangalie ukatili mnao fanyiwa na wake zenu huku nyie mkijipa moyo kuwa mke wangu ni mtulivu sana.

Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakuambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amafumue vizuri hadi marinda.

Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k

Nendeni mkajionee wenyewe mimi hamu ya kuoa sina tena.

Najuta kuifahamu page ya dr_ushaur na mr_
Hivi kigezo chako cha kuoa kipo kwenye social media?

Majanga.
 
Unachokitafuta ndo huwa unakiona siku zote.

Wanawake wazuri wapo the same wanaume.

Ungejua kuwa mambo negative ndo hufatiliwa na watu ambao ni negative

Mfano sio ajabu ukamkuta huyo Dr ushaur anaishi vizuri yeye pamoja na familia yake kupitia hela zenu.
 
Back
Top Bottom