Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
Wasalaam wapendwa.
Kuna page kama mbili hivi za kupitia instagram nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.
Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "usioe utakufa kabla ya wkati wako".
Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.
Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya, wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.
Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.
Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.
Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.
Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakwambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amfumue vizuri hadi marinda.
Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k.
Kuna page kama mbili hivi za kupitia instagram nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.
Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "usioe utakufa kabla ya wkati wako".
Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.
Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya, wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.
Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.
Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.
Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.
Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakwambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amfumue vizuri hadi marinda.
Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k.