Nimeghairisha kuoa baada ya kupitia page za watoa ushauri na confessions za matukio ya mahusiano

Nimeghairisha kuoa baada ya kupitia page za watoa ushauri na confessions za matukio ya mahusiano

Screenshot_20240707-124458~2.png
 
Wasalaam wapendwa.

Kuna page kama mbili hivi za INSTAGRAM nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo.

Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa dhati kabisa kuwa "USIOE UTAKUFA KABLA YA WAKATI WAKO".

Wanawake ni viumbe wakatili sana sikuwahi kujua, tena hapaswi kuonewa huruma hata chembe.

Hizi page za instagram nnazo sema zina majina ya dr_ushaur na nyingine inaitwa mr_misifaaa

Hizi page zote wanawake wenu wanatoa ushuhuda/ungamo au wao wanaita confessions kuhusu matukio waliyoyafanya,wanayoyafanya na wanayoendelea kuyafanya.

Yaani matukio yao ni ya ukatili wa kiwango ambacho sijawahi kudhania kuwa mwanamke anaweza kufanya, hawa watu ni mashetani sana.

Haya matukio siyo ku-edit kwa sababu wahusika wa hizo page/account hawaandiki upia bali wana screen shot sms walizotumiwa DM na wahusika kama zilivyo na kuzi post kwenye page zao.

Narudia tena wanawake hasa walioko kwenye ndoa ni wakatili hamna mfano na wala hampaswi kuwaonea huruma hata chembe.

Sitaki kuongea sana maana mtasema nna chuki nao binafsi, ingieni wenye hizo page nilizozitaji hapo juu mkajionee wenyewe jinsi wake zenu wanavyo usema ukatili wao huku wakiomba wafichiwe utambulisho wao.

My brothers nendeni mkaangalie ukatili mnao fanyiwa na wake zenu huku nyie mkijipa moyo kuwa mke wangu ni mtulivu sana.

Imagine mke wa mtu anakiri wazi kabisa kuwa ana watoto wa 5 na wote siyo wa mmewe na mmewe anajua ni wake, mwanamke ameolewa anakuambia ni mwaka wa 10 ana cheat na kila anapoenda ku cheat huwa anamlipa mwanaume 200k ili amafumue vizuri hadi marinda.

Yaani huko kuna ushuhuda wa mabinti kutembea na baba zao wa kuwa zaa, vijana kutembea na mama zao wa kuwa zaa, wake za watu kuliwa kisamvu na michepuko n.k

Nendeni mkajionee wenyewe mimi hamu ya kuoa sina tena.

Najuta kuifahamu page ya dr_ushaur na mr_
Sijaona Cha ajabu hapo.....be positive.
Tafiti walio nafuraha kwenye ndoa......................
18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo 2:18
 
Unachokitafuta ndo huwa unakiona siku zote .

Wanawake wazuri wapo the same wanaume .

Ungejua kuwa mambo negative ndo hufatiliwa na watu ambao ni negative

Mfano sio ajabu ukamkuta huyo Dr ushaur anaishi vizuri yeye pamoja na familia yake kupitia hela zenu.
😀😀😀

Kwenye hela zetu ni kweli, maana pia huwa anakutanisha wachumba VIP unalipia alafu unakutanishwa na mtu mwenye sifa unazozitaka.

Pia huwa naona anasema muwe mnakuna kuchitia kwenye appartment zangu (dr appartment).


Kwa hiyo yeye anapiga pesa
 
Mbona hata wanaume wana confesse huko tena mambo mabaya ya kutisha

Na sisi tutasema hatutaki kuolewa [emoji3][emoji3]
Wanaume wana afadhali.

Nyie mmezidisha ukatili mno, wanaume sawa wana cheat labda.

Maana case kubwa ya mwanaume ni ku-cheat.

Ila za wanawake duuh...Mungu anawaona.

Yaani mwanamke anafanya tukio mpaka unaanza kujisemea hivi "huyu ni binadamu wa kawaida kama wengine kweli " ?
 
Wanaume wana afadhali.

Nyie mmezidisha ukatili mno, wanaume sawa wana cheat labda.

Maana case kubwa ya mwanaume ni ku-cheat.

Ila za wanawake duuh...Mungu anawaona.

Yaani mwanamke anafanya tukio mpaka unaanza kujisemea hivi "huyu ni binadamu wa kawaida kama wengine kweli " ?
Mnafata nini huko....
 
Kwa akili hizo bora tu usioe maana huna sifa za kuwa Mume wa mtu.
.
Sikuzite Mume wa mtu ana_face challanges zilizopo mbele yake na kuzitatua na sio kuogopa asa inashangza sana wewe unaogopa kuoa lkn unadates na wanawake hao hao wenye maboko kama hayo.
.
Unakuta unadate na girl unampa kila kitu kama baba yake na bado unasema unaogopa kuoa wakat umeoa pasipo kujijua...
 
Kwa akili hizo bora tu usioe maana huna sifa za kuwa Mume wa mtu.
.
Sikuzite Mume wa mtu ana_face challanges zilizopo mbele yake na kuzitatua na sio kuogopa asa inashangza sana wewe unaogopa kuoa lkn unadates na wanawake hao hao wenye maboko kama hayo.
.
Unakuta unadate na girl unampa kila kitu kama baba yake na bado unasema unaogopa kuoa wakat umeoa pasipo kujijua...
Kwamfano hiyo case ya huyo aliyezaa watoto wa 5 nje ya ndoa tuchukulie wewe ndio mumewe unaisolve vipi mkuu, naomba kujifunza kupitia wewe.
 
Back
Top Bottom