Nimeghairisha kuoa baada ya kupitia page za watoa ushauri na confessions za matukio ya mahusiano

Hahaha
 
Hivi hao wanawake wanaosemwa kila siku, wanacheat/kudate na vijana pekee wasiooa au sometimes na waume za watu?? Kama jibu ni wanadate waume za watu kwann wanahukumiwa wao pekee? Na hawaangaliwi wake waliosalitiwa???
 
Baba yako angekuwa na akili zako, wewe ungetoka wapi?
Mtoa mada kashibba ubwa bwa maharage anajaza server tu sasa kama confusion mbona unaendelea na uzinz jizuie turned unavopingana na nature kinyume na hapo leo umevibiwa
 
Dr ushauri ipo pande zipi nikapotezee muda huko?
 
Nishauri kama kijana mwenye future hapa nchini,jitahidini ku focus kwenye kilimo na ufugaji pale bonde la mto rufiji enyi vijana wa kitanzania, ndoa tuachieni sisi walume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…