Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Mwambie asilalelale sana kupitiliza,jioni ukirudi toka nae atembee hata kidogo kama mazoezi,

Isije ikaleta shida
 
Nakumbuka mama kijacho wangu enzi hizo alinambia nirudi na sanamu la posta na alikua siriazi[emoji23][emoji23]
Nyie watu daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hakuwa na tabia hio kabla ya ujauzito kuwa mpole Acha hasira,
Cheza na mudi yake weka uanaume pembeni, Ili asimstress mtoto tumboni. Mvumilie akishusha kama sio tabia yake ataacha tu
 
Feminist
 
Feminist hii usiisikilize
 

Tabia ya kulinganisha watu itakupa tabu sana. Mkeo ni mkeo na huyo wa kazini ni wa huko. Tafuta namna ya kuongea na mkeo mrekebishane acha kulinganisha na watu wa nje.Mkeo akianza kukulinganisha na wanaume wengine wee utamuelewa? Acha hizo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hayaa mkuu
 
Kama hakuwa na tabia hio kabla ya ujauzito kuwa mpole Acha hasira,
Cheza na mudi yake weka uanaume pembeni, Ili asimstress mtoto tumboni. Mvumilie akishusha kama sio tabia yake ataacha tu

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Sawa mkuu nimekuelewa
Jifanye fala kwa mda akubadilishie jina.
Mideko mingi sana kipindi hiki.
Wajawazito huwa na kichaa cha mda sababu ya formation ya process inayoendelea tumboni mwao
 
Nakumbukaga wangu alinitamkia "ww msenge" neno ambalo sijawahi tamkiwa na mtu yyte yule maishani mwangu, nilikasirika sana ila kwakuwa alikuwa amebeba mimba ya binti yangu mrembo wa kwanza niliamua kunyamaza tu maana kama ninge react basi bila shaka ningemtoa mimba pale pale ndani bila Miso Wala MVA.

Ujauzito una karaha zake issue ya kumpeleka kwao imekaa vizur .
 
Mimba chini ya miezi 3 inahitaji umakini, akipata stress inatoka hyo mzee baba.
 
Kama umejitahidi kuongea naye vizuri ikashindikana, mpeleke kwao.
Muda mwingine mnahitaji umbali ili mambo yakae vizuri.
 
Mkuu ukitaka kufa kabsa funga nae ndoa , kaa nae bila ndoa mkuu umsikilize mpka ajifungue ,pia usisite kupima dna kudhibitisha mtoto kama ni wako
 
Ila mimba za siku hizi zimegeuka fimbo kwa wanaume jamani,
Mengine ni makusudi hamna mtu hasumbuliwi na mimba ila kuna mda inabidi ujikaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…