Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Kila mimba Ina style yake nyingine anaweza kuja kuwa mchapakazi mpaka ukashangaa ,tabia moja wapo ya kina mama k.ni hasira ulizidisha maneno
 
Ila nnachojua kwenye mahusiano ukianza kumlinganisha mwenza wako na mtu mwingine
Wala hamna muda mrefu

How mkuu maana mimi sijamlinganisha na mtu nimeongeanae tu kwa wema
 
Ushauri huu natoa bure sitaki hata mia yako. Rudi home, tulia, muombe msamaha kabisa!

Kesho wahi kutoka job, Rudi home mchukue nendeni Dukani, mpitishe kwenye ice cream ama pahala penye miti mingi, ama maji, aone ukuu wa Mungu na ajue mimba siyo ugonjwa.

Mkeo ana upweke sana ni vile hujajua tu, suala la ww kwenda job kurudi siyo issue kwa kipindi hiki

Kesho kutwa yake mpeleke akafanyiwe massage nzuri kabisa, atengeneze kucha, nywele ukiwepo, nasisitiza ukiwepo!

taratibu kabisa utashangaa na roho yako, utarudi kushukuru.

Umpeleke kwao ndo wamemtia mimba? em tuliza akili mwanaume
 
Oyaaa mzee mchachushe uyoo akizaa ndio utajuta yaani ata kuzimaTv atasau ,dukani hatapajua ata clinic atapasahau , nakambia mchashushe uyoo

As you said mkuu akili italala na anko wenu atakuja kuadapt misitaki
 
Nikampigia sim kumjulia hali kashindaje leo then nikamuuliza unafanya nini akajibu yupo kitandani amelala.
Kosa lako lilianzia hapa.

Hujawahi kufuatilia mambo ambayo mwanaume hapaswi kumuuliza mwanamke.

Hilo swali hukupaswa kumuuliza kwa njia ya simu umeharibu dogo, kosa lingine ni wewe kuzozana na mjamzito.
Nadhani umri wako bado mdogo ktk ndoa.

Nikushauri tu "ahirisha kumpeleka kwao badala yake mtake radhi, jishushe kabisa" utakuja kunishukuru

Kumbuka hasira huzaa hasara.
 
How mkuu maana mimi sijamlinganisha na mtu nimeongeanae tu kwa wema
mkuu umemlinganisha na wanawake wengine wanaopiga kazi wakiwa na mimba zao na matumbo yao makubwa, Wala usibishe!

achana na hizo habari, tulia kuwa nae karibu kutengeneza akili yake na mtt ajae, labda kama unaplan ya kupata mtt asiye na akili timamu
 
Shukuru hata simu yako anapokea. Kuna mimba zingine hazitaki hata kukuona nyumbani, zingine unaamshwa usiku umchotee maji ya kunywa halafu hayanywi, na kuna zingine upendo unaongezeka zaidi yaani hawezi kukuacha ukae mbali nae hata kazini kwako mtaenda tu! [emoji16]

Lakini usijali, hapo anahitaji care kutoka kwako. Huna budi kumvumilia. Mtreat tu vizuri.

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Kila mimba Ina style yake nyingine anaweza kuja kuwa mchapakazi mpaka ukashangaa ,tabia moja wapo ya kina mama k.ni hasira ulizidisha maneno

Daah haya bhana mkuu lakin niliongea nae kwa upole sana yaan
 
Back
Top Bottom