Ushauri huu natoa bure sitaki hata mia yako. Rudi home, tulia, muombe msamaha kabisa!
Kesho wahi kutoka job, Rudi home mchukue nendeni Dukani, mpitishe kwenye ice cream ama pahala penye miti mingi, ama maji, aone ukuu wa Mungu na ajue mimba siyo ugonjwa.
Mkeo ana upweke sana ni vile hujajua tu, suala la ww kwenda job kurudi siyo issue kwa kipindi hiki
Kesho kutwa yake mpeleke akafanyiwe massage nzuri kabisa, atengeneze kucha, nywele ukiwepo, nasisitiza ukiwepo!
taratibu kabisa utashangaa na roho yako, utarudi kushukuru.
Umpeleke kwao ndo wamemtia mimba? em tuliza akili mwanaume