binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kama mimba haimsumbui basi mkeo ni mvivu kupitiliza, Hivi kwanini mtu upende kukaa nyumbani tu bila kujishughulisha? na wewe kwa upande wako ni mkosa uvumilivu wa kiwango cha kimataifa.
Mmekutana!
Mmekutana!