Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimegee basi hata ka gunia kamoja mtu wanguMkuu, mie nimempa magunia 10 ya mpunga baada ya mavuno..[emoji52]
we acha utani, yaani na umri huu humujui mzee wa kinyamo ugomvi anayetaka round 16 kabla ya jogoo kuwika au unatania, na wewe, mpelekee mudi ili muwe bila bila, mukiwashe hadi majilaninwawaitie polisi kwa lugha za roho mtakatifu zinazotoka huko kusiko julikana.......
.........
............
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Jana wakati tunatoka shambani kidogo niliona mabadiliko kutoka kwa mamaenu (waifu). Alikua mtu mwenye hasira sana, basi nikamuuliza kipenzi changu kulukoni...??
Akanijibu kwamba hawezi akawa na furaha bila Mudi..☹️
Then nikamuuliza kwa upole kabisa kuhusu Mudi, ajabu akasisitiza kwamba yeye hawezi kufanya chochote bila Mudi.
Kwakweli kidogo niangushe jembe niloweka begani....🤨
Basi mwenyewe nikajikaza kisabuni huku nikijikongoja wakati moyo ukitweta kwa kasi ya 5G, basi tulipo fika home nikalianzisha kwamba hapalaliki leo hadi anieleze huyo Mudi anae mzungumzia ni Mudi wa Jf ama ni yule Mudi tajiriake Haji wa zamani..??
Cha ajabu waifu akacheka sana.... alafu bila wasiwasi akaniambia (wemzee unazeeka vibaya) na akasisitiza eti niache ushamba.
Sasa imebidi nije niwaombe ushauri wakuu, maana hapa naona kama sijielewi sababu ya Mudi.
Ebu mnisaidie kumjua huyu ni Mudi gani ambae anasababisha hani tafrani...??
nimeipenda hio salami yako ya ......... ..............
.........
............
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Jana wakati tunatoka shambani kidogo niliona mabadiliko kutoka kwa mamaenu (waifu). Alikua mtu mwenye hasira sana, basi nikamuuliza kipenzi changu kulukoni...??
Akanijibu kwamba hawezi akawa na furaha bila Mudi..☹️
Then nikamuuliza kwa upole kabisa kuhusu Mudi, ajabu akasisitiza kwamba yeye hawezi kufanya chochote bila Mudi.
Kwakweli kidogo niangushe jembe niloweka begani....🤨
Basi mwenyewe nikajikaza kisabuni huku nikijikongoja wakati moyo ukitweta kwa kasi ya 5G, basi tulipo fika home nikalianzisha kwamba hapalaliki leo hadi anieleze huyo Mudi anae mzungumzia ni Mudi wa Jf ama ni yule Mudi tajiriake Haji wa zamani..??
Cha ajabu waifu akacheka sana.... alafu bila wasiwasi akaniambia (wemzee unazeeka vibaya) na akasisitiza eti niache ushamba.
Sasa imebidi nije niwaombe ushauri wakuu, maana hapa naona kama sijielewi sababu ya Mudi.
Ebu mnisaidie kumjua huyu ni Mudi gani ambae anasababisha hani tafrani...??
Huko hamna za afadhaliUna buku hapo nitafune tot moja ya nyagi...😋
Hujawahi kupost kitu cha maana ni ujinga tu......
.........
............
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Jana wakati tunatoka shambani kidogo niliona mabadiliko kutoka kwa mamaenu (waifu). Alikua mtu mwenye hasira sana, basi nikamuuliza kipenzi changu kulukoni...??
Akanijibu kwamba hawezi akawa na furaha bila Mudi..☹️
Then nikamuuliza kwa upole kabisa kuhusu Mudi, ajabu akasisitiza kwamba yeye hawezi kufanya chochote bila Mudi.
Kwakweli kidogo niangushe jembe niloweka begani....🤨
Basi mwenyewe nikajikaza kisabuni huku nikijikongoja wakati moyo ukitweta kwa kasi ya 5G, basi tulipo fika home nikalianzisha kwamba hapalaliki leo hadi anieleze huyo Mudi anae mzungumzia ni Mudi wa Jf ama ni yule Mudi tajiriake Haji wa zamani..??
Cha ajabu waifu akacheka sana.... alafu bila wasiwasi akaniambia (wemzee unazeeka vibaya) na akasisitiza eti niache ushamba.
Sasa imebidi nije niwaombe ushauri wakuu, maana hapa naona kama sijielewi sababu ya Mudi.
Ebu mnisaidie kumjua huyu ni Mudi gani ambae anasababisha hani tafrani...??
aghondi na mabondeni mudi hufika huko?Sisi tunaishi kitopeni hapa itigi, huyo mudi wa uvinza wacha akazame majini ajifie kama Osama
nmecheka sana🤣🤣Si ungetoa salaam tu! Mbona salaam ni fupi sana ukiringanisha na hayo maelezo uliyotoa?