Nimegombana na waifu kwasababu ya Mudi: Naombeni ushauri wakuu

we acha utani, yaani na umri huu humujui mzee wa kinyamo ugomvi anayetaka round 16 kabla ya jogoo kuwika au unatania, na wewe, mpelekee mudi ili muwe bila bila, mukiwashe hadi majilaninwawaitie polisi kwa lugha za roho mtakatifu zinazotoka huko kusiko julikana.
 
Mudi ni hali fulani anayojisikia mtu ndani ya mwili na nafsi yake. Ni mood, umeamua kuchekesha tu ukweli unaujua
Asante mkuu, maana nilikua nishanoa panga, mkuku na mishale kwa maandalizi ya vita..☹️
 
nimeipenda hio salami yako ya ......... ........
 
Hujawahi kupost kitu cha maana ni ujinga tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…