Nyinza waneNzashambwi
Haya uwe na asbh njema, mchana nakuja uyoleNyinza wane
Nakumbuka Mwaka Jana ,Miezi kama Hii Kuna Manzi nilikua na Appointment nae Before hapo nilikua na Mahusiano nae na nilikua nilisha lala Nae nikaskia skendo kwamba ana UKIMWI nikampiga chini,Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Habari mkuu..Unajikanyaga mwenyewe , nukuu ya maandishi yako;"Mzee kwa 98% Wote wanaopata Shingles Lazima wana HIV."
Hizo hesabu zinazosema ukiwa na shingles una HilIV tupe reference tukatoe ujinga
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Sawa,asante sanaHaya uwe na asbh njema, mchana nakuja uyole
1 Yohana 4:7, 8Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni ukimwi, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Yani acha tu mkuu, kitambaa cheupe amenifanya nichungulie kaburiWatu wa afya mmetumia kiingereza mno, ukiwa na stress hata kiingereza huelewi. Huyu jamaa, pamoja na sisi wengine anahitaji maelezo ya kawaida ili aelewe vizuri.
Mkuu mkanda wangu ulikuwa na matobo mawili tu Ila leo nimetoboa la TanoMkanda uwa hatutoboi matundu mapya, tunakata kwa nyuma uku.
Kuna rafiki yangu nilisomanae Olevel na yeye alikuwa na dalili zote za HIV mpaka mkanda wa jeshi alipata. Muda wote analia tonsils vidonda vimejaa mdomoni Kuna siku daktari alimuuliza au unamchezo wa kunyonya K, kichwa kumuuma ilifika kipindi koo lilikuwa linamuuma anakooa damu kwenda Hospital wakamkuta na TB . Ikabidi wa mcheki HIV wakakuta negative.
So kuliko ujitese bure bora uendee ukapime ngoma ili ubaki na Amani ya moyo maana hata usipoenda haita badilisha kitu zaidi ya kuumia
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Mkuu naumwa na hofu mda wote Nina hof hata nikikohoa tu naona ni ngomaMimi nilipima kupitia mwanamke niliyezaa nae π€£ akawa hana ngoma
Kupima sio mchezo
Mkuu haya maneno yako acha nikapimemaradhi kwa binadamu ni kawaida hilo ni Lazima ufahamu, na ni ulimbukeni kukata tamaa pasipo sababu π
kula vizuri, lala vizuri, fanya mazoezi pumzika mwili wako, vaa ujasiri ondoa woga, kubali unaweza ugua tayifodi, malaria au UTI ukapata dalili izo izo au ukakonda pia. Usihitimishe unaugua nini mpaka pale utakapopata majibu ya vipimo π
starehe tunazipenda ila mwisho wake ni mbaya π
Hata hivyo ni kwa Neema na Baraka za Mungu tunaishi π
Mkuu,Yani acha tu mkuu, kitambaa cheupe amenifanya nichungulie kaburi
Mkuu unanishauri nikapime?Mkuu achana na ishu za ku guglu! Kuugua mkanda wa Jeshi haimaanishi una ngoma. Kuna dogo nilikua naishi nae alidhoofu sana ingawa kila kitu alikua anapatiwa. Najua ni mawazo tu kwa sababu hakuwa na wazazi na kuishi ugenini hakuzoea.
Alipatwa na vipele mbavuni vinatoka mgongoni kuja kifuani. Nilipompeleka hospital, jamaa wakasema huu ni mkanda wa jeshi. Wakautaja kwa kimombo sikumbuki vizuri ni jingoz sijui π. Sasa wakaniita pembeni wakasema bana inabidi huyu dogo tumpime na HIV kabisa tujue status.
Lakini baada ya kupima, alikua Negative. So wakamwanzishia dawa. Alipomaliza vile vipele vikauka kabisa. Hivyo vipele vinakua kama Skonzi vile na
Vimejaa maji vinang'aa halafu vinauma. Mpaka sasa hivi dogo amekop mazingira afya safi kabisa.
Kwa hiyo wewe kinachokumaliza ni kuwaza sana mpaka kinga inapungua na kusababisha magonjwa yaanze kuingia kwa urahisi