dictson
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 257
- 557
Kapime kaka, kumbuka homa ya ini iba dalili sawa na hiv. Pima ili urudishe furaha yakoMkuu unanishauri nikapime?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapime kaka, kumbuka homa ya ini iba dalili sawa na hiv. Pima ili urudishe furaha yakoMkuu unanishauri nikapime?
Nikikutwa Nina ngoma jeKapime kaka, kumbuka homa ya ini iba dalili sawa na hiv. Pima ili urudishe furaha yako
Kutoka kilo 80 mpaka 69 ndani ya wiki tatu tuuMkuu,
Uzito wako umeshuka toka kilo ngapi hadi ngapi? Nadhani kwa vile kuna viashiria umeviona usiogope tena, nenda kapime uondoe hofu uliyonayo.
Kwa makadirio yako unadhani uliupata mwaka gani?Kutoka kilo 80 mpaka 69 ndani ya wiki tatu tuu
kupima ni muhimu na ni kawaida ila usiende na majibu yako mfukoni, just relax 🐒Mkuu haya maneno yako acha nikapime
kwa umri na kimo chako ulipaswaga uwe na kilo 52 zaidi sana 58🐒Kutoka kilo 80 mpaka 69 ndani ya wiki tatu tuu
Kama si wanzuki ni lile Jani lileNiliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kama tayari, hakuna namna unavyoweza kuuepuka kinachofuata ni kukabiliana nao tuMkuu kupima mm hapana naogopa naweza kukutwa na ng'weng'we [emoji1787]
Bora kupima mkuu ukajua afya yako mm nilipatwa na woga km huo nika geogle pia lkn badae nikaona bora nipime tuu na nimeshapim zaid ya mara 4 ktk miez 3 na nimeambiw imetosha namshkur mungu piaUlipata Mkanda wa jeshi au uligoogle pia na wenyewe? nenda kapima achana na Google. Ulipopata Mkanda wa jeshi ulitibiwaje na ulitibiwa wapi? Ninaamini kama uliambiwa Hospitali kuwa una mkanda wa Jeshi basi lazIma walikupima
Mkuu Asante Sana, naomba unifundishe njia ya kupokea matokeo nakuamua kukubali kama yamekuja mabayaAliyekwambia kwamba ukikutwa na maambuzi ya VVU/UKIMWI ndiyo mwisho wa Dunia nani?
Usisite kutimiza ndoto zako za Kifamilia na ndoto zako binafsi Kwa hofu ya Kuwa na maambukizi.
Wapo watu Wana hayo maambukizi Mwaka wa 25 huu bado wanadunda.
Muhimu uzingatie taratibu zote za Afya ikiwemo Kula mlo Kamili/Kufanya mazoezi/ kupata muda wa kupumzika.
Acha kutumika sana(Usiwe unafanya sana Ngono hata kama na Mkeo), nimeona watu wengi walio na maambukizi kupenda kufanya ngono mara Kwa mara Kwa Lengo eti la "Tufe wengi" na hawapendi kabisa Matumizi ya Condom.
Kufa tutakufa tu uwe Mzima wa Afya tele ama Mgonjwa lazima Siku yako ikifika lazima utalamba udongo.
Tuendelee kujinyenyekeza Kwa Muumba wetu, tukiendelea kuishi Kwa kumpendeza yeye.
Wahi hospitali ukatambue Afya yako na Uanze tiba sasa.
Tanzania bila maambukizi mapya inawezekana, Chukua hatua 💪
Mkuu nipe njia ya kupata ujasiri ili nipimeBora kupima mkuu ukajua afya yako mm nilipatwa na woga km huo nika geogle pia lkn badae nikaona bora nipime tuu na nimeshapim zaid ya mara 4 ktk miez 3 na nimeambiw imetosha namshkur mungu pia
Asante brookupima ni muhimu na ni kawaida ila usiende na majibu yako mfukoni, just relax 🐒
I'm sure kuna uwezekano mkubwa huna unachohisi kabisaa 🐒
Ahhh mm nilijitoa tuu nilimtanguliz mungu pia mbele alf nilitak kujua ili kujiondolea wacwac niwe naa aman nisonge mbeleMkuu nipe njia ya kupata ujasiri ili nipime
Kweli kbc mkuu mm niliptwa pia hii na ukipimwa ukiambiw hun bc unao km sio majib yk au dr kakuonea huruma yaani ww acha tuukupima ni muhimu na ni kawaida ila usiende na majibu yako mfukoni, just relax 🐒
I'm sure kuna uwezekano mkubwa huna unachohisi kabisaa 🐒
Nenda ukapime kwenye Vituo vya Afya ambapo kazi ya kutoa Ushauri kabla na baada ya kupima, ni Jukumu la mtaalamu ambaye amesomea zaidi ya miaka 2 kufanya kazi hiyo.Mkuu Asante Sana, naomba unifundishe njia ya kupokea matokeo nakuamua kukubali kama yamekuja mabaya
Kweli kabisa umeongea ukweli mtupu alafu mkanda wa jeshi naona ni ukimwi wa zamani ndonulikuwa makali sana huu wa Sasa una dawa za kufubaza virusi kwa hyo ni ngumu mtu kuumwa na huo mkanda wa jeshiTrue
Mnaongea kirahisi sanaKweli kabisa umeongea ukweli mtupu alafu mkanda wa jeshi naona ni ukimwi wa zamani ndonulikuwa makali sana huu wa Sasa una dawa za kufubaza virusi kwa hyo ni ngumu mtu kuumwa na huo mkanda wa jeshi
Mkuu fanya ukapime ujue tu afy yk utaishi na hofu mpk lin na waswasMnaongea kirahisi sana