Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukarudia baada miez 3 lkn still unahisi kam sio majib yk au dr ananakuonea tuu huruma anakufichaunawez kupimwa na kuambiwa uko negative. Lkn hofu uliojijengea unakuta huuami i majib
Sikiliza huu wimbo kwanza:Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Halafu unapata faida ipiUnasubiri nini kuusambaza pimbi wewe
Mkuu vip umeenda tenaHalafu unapata faida ipi
Nimeenda wapi?Mkuu vip umeenda tena
KupimNimeenda wapi?
Sio rahisi 😂😂😂, Leo nimetoboa tundu jingine la mkandaKupim
Naona unafuraha ni kweli una hofu. WwSio rahisi 😂😂😂, Leo nimetoboa tundu jingine la mkanda
Mkuu nimekonda ghafla, Kila siku natoboa matundu ya mkanda.. Najiskia uchovu, kichwa mishipa inapasua kinomaNaona unafuraha ni kweli una hofu. Ww
Na TB juu halafu akose ngwengwe?Kuna rafiki yangu nilisomanae Olevel na yeye alikuwa na dalili zote za HIV mpaka mkanda wa jeshi alipata. Muda wote analia tonsils vidonda vimejaa mdomoni Kuna siku daktari alimuuliza au unamchezo wa kunyonya K, kichwa kumuuma ilifika kipindi koo lilikuwa linamuuma anakooa damu kwenda Hospital wakamkuta na TB . Ikabidi wa mcheki HIV wakakuta negative.
So kuliko ujitese bure bora uendee ukapime ngoma ili ubaki na Amani ya moyo maana hata usipoenda haita badilisha kitu zaidi ya kuumia
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Wewe muuongo bhana 😂Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Mkuu, ikitokea Nimeenda kupima nikakuta Sina, naowa siku hiyo hiyoWazee wa kula kimasihara na kataa ndoa.
Pambana na hali yako.
Ss si uende hospital kwa kutibiwaMkuu nimekonda ghafla, Kila siku natoboa matundu ya mkanda.. Najiskia uchovu, kichwa mishipa inapasua kinoma
Mkuu, ikitokea Nimeenda kupima nikakuta Sina, naowa
Itakuwa jmbo zuri fanya hivo bc utupe mrejeshoMkuu, ikitokea Nimeenda kupima nikakuta Sina, naowa siku hiyo hiyo
Itakuw jambo zuri fanya hivoMkuu, ikitokea Nimeenda kupima nikakuta Sina, naowa siku hiyo hiyo