Labda walipie wajukuu toka kwenye shina Hilo wakati Babu hayupo na hakuwatenga wanatoka shinani Kwa ubaya alioufanya.Kweli wapo wanao dhulumu na kula vya wenzao, lakini nao yatawarudia na kufanyiwa kama walivyo fanyia wenzao
Ni kweli watu wa nyuma wanapaswa kupewa heshima yao, wao pia waliishi kwa muda wao, mkate wao na pumzi yao kwa idadi iliyo pangwa na Mungu waoUwepo wa wewe ni matukio ya babu na bibi yako kukutana, hauwezi kupuuza ya nyuma wakati ndio yameleta matokeo ya sasa.
Hivi hii inaaply kwa wanyama? Maana ukimtazama ng'ombe asipokamuliwa basi atalima ila mwisho wake ni kisu njoo kwa nyau sasa sijui paka.Mwambie huyo dogo akae mkao wa kutoa na sio kupokea awe giver na sio taker .
Bahati huwa inaambatana na kujitoa kwa wengine.
Mfano wewe hapo unapomsaidia unakuwa unajisogeza na kupokea mambo mazuri Bahati.
hapana jinsi ya kutumia nyota yako na nini kinataka kupitia nyota yako.kwa leo nimechoka sana nitakuja kukueleza kuhusu hii elimu ndio maana wengine mnabaki kusema yule jamaa ana kismart au ngekewa wakati ufahamu kuhusu nyota na bahati yakoHuelew nini? Sasa ukiona mtu anabahat jua tayar nyota ipo vzr.
Sio watu tu pia kuna matukio yalipaswa yatokee nyuma ili kuandaa matokeo yako ya sasa ,unapoishi wewe kwa sasa ni matokea na maamuzi yaliyofanya nyuma mpaka ukawepo apo sasa, yangeweza pia kufanyika maamuzi apo pawe barabara ,ungekuta hauishi apo sasa , pia ilibidi vizazi vya kale vife ili wewe uweze kupata nafasi ya kuishi apo .Ni kweli watu wa nyuma wanapaswa kupewa heshima yao, wao pia waliishi kwa muda wao, mkate wao na pumzi yao kwa idadi iliyo pangwa na Mungu wao
Hapa umeupiga mwingi....ubarikiweNgoja nirejee maandiko yasemavyo kuhusiana na hili
MHUBIRI 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
mungu hapangi bahati bali kakupa vyote ila kwa vile ujui kuvitumia kupitia jicho la tatuNataka mmoja humu aseme bahati anapanga Mungu aliye juu...
Uone uzi unavyobadilika hapa
Ndo nini jicho la 3mungu hapangi bahati bali kakupa vyote ila kwa vile ujui kuvitumia kupitia jicho la tatu
View attachment 3035893
View attachment 3035894
Ni kweli kabisa mkuu, hiyo inathibitisha kwamba maisha yetu hayajatokea kwa bahati, bali ni matokeo ya muunganiko wa matukio mengi yaliyo pita.Sio watu tu pia kuna matukio yalipaswa yatokee nyuma ili kuandaa matokeo yako ya sasa ,unapoishi wewe kwa sasa ni matokea na maamuzi yaliyofanya nyuma mpaka ukawepo apo sasa, yangeweza pia kufanyika maamuzi apo pawe barabara ,ungekuta hauishi apo sasa , pia ilibidi vizazi vya kale vife ili wewe uweze kupata nafasi ya kuishi apo .
Wewe ni dini gani?Hakuna bahati hapa duniani, kila kitu kilisha pangwa na kila mtu anapata anacho stahili.
Mungu anatoa rizikiNataka mmoja humu aseme bahati anapanga Mungu aliye juu...
Uone uzi unavyobadilika hapa
Mimi naamini katika Mungu mmoja, mwingi wa huruma na mwenyezi wa wote, habagui dini wala kabilaWewe ni dini gani?
Kwahiyo wewe ni mkristo au muislamu?Mimi naamini katika Mungu mmoja, mwingi wa huruma na mwenyezi wa wote, habagui dini wala kabila