Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushirikina ndo dini yao wahindi!wanaamink miungu yao ambayo ni majini na kila Siku ina maana na ina miungu wake.Hata umkute professa km ni mhindu hukosi mkuta ana kamba mkononi au shingoni hirizi yaani kwao ni vitu vya kawaida sanaa kama siye huku tunavotembea may be na rozali au tasbihi hawakushangai.Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnooooooo
Wanafuga sana majini .........
Wanaroga sana usiku kwenye mito ,miti mikubwa n.k
Hela zao wanaweka kwenye chumba special au kabati special tena hawahesabu na huwa kuna Giza Nene na anayeingia kuchukua hizo hela ni MTU mmoja tu katika familiaaa,kiufupi wanaongoza kutoweka pesa benki
Wahindi pia ni wana akili sana za darasani ...nilipata kusoma nao .jamaa ni mwepesi kudaka mambo
Kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya,kuna baadhi ya waswahili pia ni washenzi sana.
nasikia wakinga ndo wanaongoza KariakooKuna biashara nje mnaona ni Wa Tz ila ndani owner ni msomali
Ooh. Sawa.Itakuwa kile kipengele cha ubahili nafikiri.
nasikia wakinga ndo wanaongoza Kariakoo
Nimrod mkono alilalamika live bungeni jinsi alivyofanyiwa figisu na serikali kuanzisha benki mpaka ikamlazimu kununua hisa kimya kimya kwa wahindi...kuhusu Akiba sina uhakika ila inawezekana anakula na wakubwakhs Mengi kulalamika kwny kitabu chake hio ni kweli ila khs bank kumilikiwa na mweusi hio sio kweli.Akiba Commercial bank unajua inamilikiwa na nani?Mtafute mtu anaitwa Ernest Massawe utasikia habari yake.
waarabu vipi??Kwenye Nguo wamejazana pande nyingine kuna wasomali na Wahindi
Hizo ni mbinu za Kibiashara hata wewe ukijakuwa mfanyabiashara utafanya hivyohivyo
Hizi not mbona nu CHAFU Za by asharaHizo ni mbinu za Kibiashara hata wewe ukijakuwa mfanyabiashara utafanya hivyohivyo
Hizo ni mbinu " CHAFU" za Biashara zinaweza kusapotiwa na watu un Ethical kama wewe katika biashara....Hizo ni mbinu za Kibiashara hata wewe ukijakuwa mfanyabiashara utafanya hivyohivyo
I agree, wengi wana hofu ya Mungu sanaKati ya Wahindi na Waarabu nani anahamisha hela Mkuu?
Halafu wapi ulisikia mwarabu anamnyonya mfanyakazi wake? Angalia makampuni ya waarabu kuanzia ya mafuta na mengineyo uliza kama utasikia kuna malalamiko kama wanayoyafanya wahindi.
Halafu mwarabu hana nongwa na anajichukulia yeye ni Mtanzania ila kwa Wahindi hili kizungumkuti. Na mwarabu hela azihamishie nchini mwake pesa zipi? Kwao hakuna njaa kama India ndugu! Wanaohamisha na kuficha pesa ni hao wahindi.
Hawa jengagi nyumba za kuishi kabisa Wana penda kukodi tuHizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.
Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
mimi kama mtoa mada nimesema kwa wema tu wala sina wivu wowote kwao.Sifa kuu ya mtu mweusi ni Kulalamika na hii ndio Nature yetu hadi mwisho wa DUNIA kama hatuto toka hapo kwenye fikra hasi tutabaki kulalamika hadi mwisho wa DUNIA.
Kazi yetu kulalama tu sijui Wahindi, warabu sijui wana roho mbaya,sijui sio WA-TANZANIA ,sio wazalendo,wabahili nk.ukitizama hao ndio waajiri wa kuu Tanzania ktk sector binafsi na ndio wanao changia kikubwa katika uchumi wa WANCHI pia ,hawa watu kiasili ni wajasiliamali toka zamani sasa wao kuwa matajiri ni haki yao hatutakiwi kuwaonea wivu kinachotakiwa nasisi tuwaige ili tufanikiwi.
Nikweli wanamambo tofauti laabda yasio kuwa ya kiungwana lkn sio wao tu peke yao hata Matajiri wangozi nyeusi pia wapo hivyo hivyo. Mtu ukiwa masikini naturally unakuwa na ROHO MBAYA na hii ndio taabia ya sisi watu WEUSI na hii sio Tanzania tu sehemu yeyote yenye watu WEUSI tunafanana kitabia wala sio siri.
mimi nimeishi uhindini Kisutu kabla ya kuingia judiciary na kuhamia morroco; Tabia zao ndio hizo kukazana mchana watoto wakiwa shule.Ukifanya hvo yata
98% wamepanga nyumba za shirika la nyumba ambazo hazina chumba kimoja kama unavyosema, saa za mchana wakati wa jua kali huwa wanarudi kuchoma ubani kwa ajili ya Mungu wao jua ili issue za biashara zizidi kwenda vizuri, pia kupata chakula cha mchana kwa kuwa wengi hawaishi mbali na sehemu zao za biashara
Mkuu wewe unaongelea waarabu wa wapi mkuu?au umechanganya na wale wapemba ndio unawaita waarabu?Kati ya Wahindi na Waarabu nani anahamisha hela Mkuu?
Halafu wapi ulisikia mwarabu anamnyonya mfanyakazi wake? Angalia makampuni ya waarabu kuanzia ya mafuta na mengineyo uliza kama utasikia kuna malalamiko kama wanayoyafanya wahindi.
Halafu mwarabu hana nongwa na anajichukulia yeye ni Mtanzania ila kwa Wahindi hili kizungumkuti. Na mwarabu hela azihamishie nchini mwake pesa zipi? Kwao hakuna njaa kama India ndugu! Wanaohamisha na kuficha pesa ni hao wahindi.
Mkuu kuna vitu hapa unachanganya,kwani wahindi wote ni matajiri?hakuna wahindi maskini?roho mbaya haina uhusiano wowote na utajiri,hao wahindi wengine wanaonyanyasa waafrika wengine ni waajiriwa tu ila wamepewa kazi ya usimamizi.Sifa kuu ya mtu mweusi ni Kulalamika na hii ndio Nature yetu hadi mwisho wa DUNIA kama hatuto toka hapo kwenye fikra hasi tutabaki kulalamika hadi mwisho wa DUNIA.
Kazi yetu kulalama tu sijui Wahindi, warabu sijui wana roho mbaya,sijui sio WA-TANZANIA ,sio wazalendo,wabahili nk.ukitizama hao ndio waajiri wa kuu Tanzania ktk sector binafsi na ndio wanao changia kikubwa katika uchumi wa WANCHI pia ,hawa watu kiasili ni wajasiliamali toka zamani sasa wao kuwa matajiri ni haki yao hatutakiwi kuwaonea wivu kinachotakiwa nasisi tuwaige ili tufanikiwi.
Nikweli wanamambo tofauti laabda yasio kuwa ya kiungwana lkn sio wao tu peke yao hata Matajiri wangozi nyeusi pia wapo hivyo hivyo. Mtu ukiwa masikini naturally unakuwa na ROHO MBAYA na hii ndio taabia ya sisi watu WEUSI na hii sio Tanzania tu sehemu yeyote yenye watu WEUSI tunafanana kitabia wala sio siri.
Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.